Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa unakuta ameuza manzese kahamia au kanunua nyumba mbezi beach huko nani anamfahamu?Pesa ya urithi ni pesa ya aibu, hata ukanunulia gari utaishia kudhalilikantu, maana kila utakapojaribu kuoshea utasikia, pesa ya urithi...,
Yeye kaja kutukana watu asiowajuaTumpe ndugu yetu mwongozo ulio mwema yaani watu wanamchuria mabaya tu dah ngozi nyeusi bana
Qul haki inkana mula! Sema kweli japo inaumaWabarikiwe wazee waliojipinda kutafuta mali na kupiga kitabu kwa sana, leo hii wajukuu tunakula matunda yenu ..na sisi wajukuu tunapambana kwa jasho na damu kutafuta mali ili wajukuu zetu waje kula matunda ya Babu zao wasije kuishi kwa shida.
Poleni kwa wale ambao wazee/Babu zenu walikimbia shule ingawa walikuwa na utajiri wa ardhi mwenge,osterbay,masaki ila waliendekeza ngono wakauza ardhi yote ....wao wamekufa wajukuu mmeachiwa msala mnakula msoto na bahasha mkononi...pole sana
Mjifunze muanze kupambana muwatengenezee njia wajukuu wenu
Wivu tu unakusumbuaYeye kaja kutukana watu asiowajua
Kwani katafika mbali sasaMilioni 350 ya urithi inakupa jeuri ya kutukana watu hata huwajui na matusi yako based na hisia kuwa Baba zao walikimbia umande na waliendekeza ngono?..
Wewe bado sio tajiri..na hiyo mentality itaku cost very soon
Mbona ni hela ndogo sana! Unazungumzia milioni 350 mpaka mjukuu azipate wakati ni kama nyumba 4 tu za milioni 80 kila moja! Umasikini mbaya sana!Wabarikiwe wazee waliojipinda kutafuta mali na kupiga kitabu kwa sana, leo hii wajukuu tunakula matunda yenu ..na sisi wajukuu tunapambana kwa jasho na damu kutafuta mali ili wajukuu zetu waje kula matunda ya Babu zao wasije kuishi kwa shida.
Poleni kwa wale ambao wazee/Babu zenu walikimbia shule ingawa walikuwa na utajiri wa ardhi mwenge,osterbay,masaki ila waliendekeza ngono wakauza ardhi yote ....wao wamekufa wajukuu mmeachiwa msala mnakula msoto na bahasha mkononi...pole sana
Mjifunze muanze kupambana muwatengenezee njia wajukuu wenu
Wee,usiniambie mkuu ....Mbona ni hela ndogo sana! Unazungumzia milioni 350 mpaka mjukuu azipate wakati ni kama nyumba 4 tu za milioni 80 kila moja! Umasikini mbaya sana!
Do you think 350M is owe by the person spoke like you.Wabarikiwe wazee waliojipinda kutafuta mali na kupiga kitabu kwa sana, leo hii wajukuu tunakula matunda yenu ..na sisi wajukuu tunapambana kwa jasho na damu kutafuta mali ili wajukuu zetu waje kula matunda ya Babu zao wasije kuishi kwa shida.
Poleni kwa wale ambao wazee/Babu zenu walikimbia shule ingawa walikuwa na utajiri wa ardhi mwenge,osterbay,masaki ila waliendekeza ngono wakauza ardhi yote ....wao wamekufa wajukuu mmeachiwa msala mnakula msoto na bahasha mkononi...pole sana
Mjifunze muanze kupambana muwatengenezee njia wajukuu wenu
Afya ya akili ni vita ya tatu ya duniaWabarikiwe wazee waliojipinda kutafuta mali na kupiga kitabu kwa sana, leo hii wajukuu tunakula matunda yenu ..na sisi wajukuu tunapambana kwa jasho na damu kutafuta mali ili wajukuu zetu waje kula matunda ya Babu zao wasije kuishi kwa shida.
Poleni kwa wale ambao wazee/Babu zenu walikimbia shule ingawa walikuwa na utajiri wa ardhi mwenge,osterbay,masaki ila waliendekeza ngono wakauza ardhi yote ....wao wamekufa wajukuu mmeachiwa msala mnakula msoto na bahasha mkononi...pole sana
Mjifunze muanze kupambana muwatengenezee njia wajukuu wenu
Nikueleweshe tu kidogo ukiachana hiyo pesa binafsi kwa mwezi nina uhakika wa kuingiza mil 7 kupitia kodi za majengo k/koo ..ukiachilia nyumba ambazo zipo mwenge,mbezi beach na osterbay.Mhaya huyo!! Hizo hela watu wanazo na hawanaga mambo mengi! Hiyo pesa ni yakununua gari moja ya kutembelea na inabaki kidogo ya mafuta! Lakini kwa vile yeye kichwa maji anaona kashatoboa!
Wewe huna uwezo wa kuingiza million 7 kwa mwezi usingekuja kubweka hapa! Wewe mshamba mmoja tu!Nikueleweshe tu kidogo ukiachana hiyo pesa binafsi kwa mwezi nina uhakika wa kuingiza mil 7 kupitia kodi za majengo k/koo ..ukiachilia nyumba ambazo zipo mwenge,mbezi beach na osterbay.
Makasiriko hayafai pambania wajukuu zako wasiteseke kama wewe babu yao
Pole ndugu yangu wakulaumu ni wazee wakoWewe huna uwezo wa kuingiza million 7 kwa mwezi usingekuja kubweka hapa! Wewe mshamba mmoja tu!
Ameuza nyumba ya urithiMbona mipasho tena mleta mada?!