Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
thanks to them for investing their money in KenyaGood work,
Thanks to the People of the Republic of China.
They know where to put their money. Nyinyi jazeni zile gorofa zenu tatu kwanza ndio at least mtapata hata investor moja ajenge gorofa ya 10 floors happy Dar.Good work,
Thanks to the People of the Republic of China.
Sio tatu pekee Zipo nyingi sana,They know where to put their money. Nyinyi jazeni zile gorofa zenu tatu kwanza ndio at least mtapata hata investor moja ajenge gorofa ya 10 floors happy Dar.
Unlike majirani zetu, Wabongo tumejenga Jiji kubwa na la Kisasa zaidi Africa Mashariki na kati bila misaada ya wasamaria kutoka uchina wala ulaya ya kati na Marekani.They know where to put their money. Nyinyi jazeni zile gorofa zenu tatu kwanza ndio at least mtapata hata investor moja ajenge gorofa ya 10 floors happy Dar.
Hii video inaonyesha jinsi Majengo ya GTC ni ya kisasa na yanavutia kweli. Halafu upeo kutoka juu la jengo ni nzuri sana. Mtu anaweza kutazama Nairobi yote bila tatizo
Ghorofa hizo zenu zimejengwa na taxpayer's money kwa sababu Tanzania imeshindwa kuattract foreign investors kuja kuinvest huko Dar kwa majengo ya kisasa kama GTC.Sio tatu pekee Zipo nyingi sana,
Sema hizi zote zimejengwa kwa Pesa za Watanzania, yaani waafrica weusi kama wewe ( Black Power ) View attachment 1871032View attachment 1871033View attachment 1871034View attachment 1871035
Hahaha usibadilishe story bro. Your sick country cannot atrract foreign investments into your real estate sector ndio maana mumeamua kujenga ghorofa zenu wenyewe. Sio kwamba mlichagua, la. Ni kwamba hamkuwa na option nyingine ila kujenga wenyewe maana investors waliwakataa. Investors wa real estate wanajua nchi yenu ni mbovu na hawawezi kuja kuwekeza maghorofa za kisasa huko.Unlike majirani zetu, Wabongo tumejenga Jiji kubwa na la Kisasa zaidi Africa Mashariki na kati bila misaada ya wasamaria kutoka uchina wala ulaya ya kati na Marekani.
Moral of the story : Siri ya mafanikio ni Kujiamini na Kuthubutu.
View attachment 1871047View attachment 1871049View attachment 1871051View attachment 1871052
Hivi akina Bakhresa na Rostam na Mo Dewji ni Wafrika weusi?🤣🤣Sio tatu pekee Zipo nyingi sana,
Sema hizi zote zimejengwa kwa Pesa za Watanzania, yaani waafrica weusi kama wewe ( Black Power ) View attachment 1871032View attachment 1871033View attachment 1871034View attachment 1871035
Zaidi ya hapa, hakuna Dar., 😂 😂 😂Sio tatu pekee Zipo nyingi sana,
Sema hizi zote zimejengwa kwa Pesa za Watanzania, yaani waafrica weusi kama wewe ( Black Power ) View attachment 1871032View attachment 1871033View attachment 1871034View attachment 1871035
Kipi bora? Ujenge mwenyewe au usaidiwe?Hahaha usibadilishe story bro. Your sick country cannot atrract foreign investments into your real estate sector ndio maana mumeamua kujenga ghorofa zenu wenyewe. Sio kwamba mlichagua, la. Ni kwamba hamkuwa na option nyingine ila kujenga wenyewe maana investors waliwakataa. Investors wa real estate wanajua nchi yenu ni mbovu na hawawezi kuja kuwekeza maghorofa za kisasa huko.
Bakresa na Mo wanamiliki majengo gani Dar ?Hivi akina Bakhresa na Rostam na Mo Dewji ni Wafrika weusi?[emoji1787][emoji1787]
hana akili kalewa wanzuki huyoBakresa na Mo wanamiliki majengo gani Dar ?
They know where to put their money. Nyinyi jazeni zile gorofa zenu tatu kwanza ndio at least mtapata hata investor moja ajenge gorofa ya 10 floors happy Dar.
www.propertypro.ng
Dude linafanyiwa cladding saii since 2019