Kwa mara ya kwanza, tumeonyeshwa jinsi Majengo marefu ya GTC yanavyofanana kutoka ndani

They know where to put their money. Nyinyi jazeni zile gorofa zenu tatu kwanza ndio at least mtapata hata investor moja ajenge gorofa ya 10 floors happy Dar.
Unlike majirani zetu, Wabongo tumejenga Jiji kubwa na la Kisasa zaidi Africa Mashariki na kati bila misaada ya wasamaria kutoka uchina wala ulaya ya kati na Marekani.
Moral of the story : Siri ya mafanikio ni Kujiamini na Kuthubutu.
 

Attachments

  • dsm22.jpg
    79.9 KB · Views: 2
Hii video inaonyesha jinsi Majengo ya GTC ni ya kisasa na yanavutia kweli. Halafu upeo kutoka juu la jengo ni nzuri sana. Mtu anaweza kutazama Nairobi yote bila tatizo
Mmejipangaje na magaidi?
 
Hahaha usibadilishe story bro. Your sick country cannot atrract foreign investments into your real estate sector ndio maana mumeamua kujenga ghorofa zenu wenyewe. Sio kwamba mlichagua, la. Ni kwamba hamkuwa na option nyingine ila kujenga wenyewe maana investors waliwakataa. Investors wa real estate wanajua nchi yenu ni mbovu na hawawezi kuja kuwekeza maghorofa za kisasa huko.
 
Kipi bora? Ujenge mwenyewe au usaidiwe?
 
Dude linapanda haijulikani mwisho wake

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…