Kura ya maoni ilikuwa na maana Gani Kwa Taifa ikiwa CCM ilihakikisha imevuruga Rasimu ikawa mbovu kuliko Katiba iliyopo?Alitamka kww mdomo wake na tulimsikia kwa masikio yetu, ifahamike tulikuwa tumefikia hatua ya kura ya maoni akagomea. Wakati wake hakukuwa na CCM, yeye ndio alikuwa CCM.
Natamani ujumbe huu Kila Mtu ausome.ili Ajue ni jinsi Gani CCM Ina Nguvu katika hii nchi na CCM haitokuja Kutoka madarakani.Nimekatazwa, nimefunzwa na nimeaswa ni haramu kushiriki mchezo wowote wa kuiondoa CCM, mimi ni nani nisisikilize wosia huo
Mbowewe ni mtu mmoja, kama ameamua kuunga juhudi apishe, aje mkt mwingine.Ndio nimekuambia anzisha chama uongee unachotaka, yeye Mbowe na chama chake wameamua kuongea hayo usiyoyapenda.
Kura ya maoni ilikuwa na maana Gani Kwa Taifa ikiwa CCM ilihakikisha imevurugwa Rasimu ikawa mbovu kuliko Katiba iliyopo?
Huo mchakato Unadhani kwann haukumaliziwa na aliyekuwa madarakani wakati Ule?
CCM ndo haitaki Katiba mpya, msimsingizie Magu pekee.
Wengi hawawezi kukuelewa mkuuChadema ni CCM B
Mbowewe ni mtu mmoja, kama ameamua kuunga juhudi apishe, aje mkt mwingine.
Mchakato ulianza mara tu baada ya kuingia madarakani 004, miaka 5 haikutosha kukamilisha mchakato?Labda hujui unaongea nini, bunge la katiba lilimalizika muda mfupi kabla ya uchaguzi mkuu wa 2015, hivyo ikabidi ufanyike uchaguzi kwanza, kisha utawala unaofuata usimamie kura ya maoni. Lakini dhalimu alikataa waziwazi. Kura ya maoni ingefanyika ndio wananchi wangeweza wazi wakitakacho. Kwahiyo kama unataka kupotosha ubaki kwenye mstari huo.
Amseme Kwa MABAYA na akiri MAZURI yake pia.Anzisha chama mkuu ukae nafasi uitakayo. Mbowe atatoka, tena ni kama amechelewa, lakini kumsema yule kiongozi muovu yuko sahihi.
Mkt anakera sn,Chadema ni CCM B
Mchakato ulianza mara tu baada ya kuingia madarakani 004, miaka 5 haikutosha kukamilisha mchakato?
Na ikiwa aliyepo anataka Katiba mpya, Kwann alimpeleka Mbowwee gerezani,
Adui yetu ni CCM, tusipoteze target.
Amseme Kwa MABAYA na akiri MAZURI yake pia.
Mtu ambaye ktk utawala wake tulinunua Mchele 1000 Kwa kilo, umtukane na kushukuru kiongozi anaesababisha tunanunua Mchele 3500?
Wewe acha kupotosha mbona kasema Kanda ya Nyasa inailisha nchi kwa 70% ila ndio Ina umaskini wa kutosha. Na akasema 2025 uchaguzi utakua mrahisi maana CCM wamefeli Kila kitu. Ameenda mbali zaidi na kusema yeyote chini ya miaka 40 akiipigia kura CCM akatolewe mapepo!!Mwambieni mkt anakera,
Kila mkutano anashukuru khs mikutano kufunguliwa,
Anamtukana Magu kuifunga na kusahau kuwa Mikutano Magu alizuia Kwa miaka 5 na.... Sa100 akaendeleza ZUIO Kwa miaka 2 kinyume Cha Katiba,
Ukimuuliza Mbowwee ghafula aliyekufunga JELA Kwa miezi 8, gerezani aweza jibu ni Magu😳😳
Mbowewe asimame nafasi yake kama Mpinzani, aikosoe sirikali. Kumshukuru sa100 ni sawa na kuishukuru CCM.
CCM ndo inaumiza wananchi Kwa Kodi na mitozo Kwa wananchi, hapasi kuishukuru Kila mkutano.
Vyama vya siasa vinatakiwa visizidi 3.Hayo mazuri yake nani amekuzuia ww kuyasema? Sio wajibu wa Mbowe kusemea matamanio yako. Kama bei ya chakula ni ghali, huu si ndio muda sahihi wa kuanzisha chama ili uongelee hiyo bei ndogo maana uungwaji mkono upo wa kutosha?
Mnapompongeza sa100 Kwa kuruhusu mikutano aliyoifungia Kwa miaka 2 ambayo haikuwahi kukatazwa na KATIBA.Mchakato wa katiba huwa unapaswa kuchukua muda gani boss? Alimpeleka Mbowe gerezani maana hizo ndio siasa alizorithi toka kwa dhalimu.
Ni wapi umeonyeshwa CCM sio adui yetu?
HawatakuelewaYaani anavyomtukana Magu na kumshukuru sa100 waeza Dhani Magu alikuwa kiongozi Kutoka ACT wazalendo.
Mabaya ya Magu yaungwe na kutupiwa CCM Kwa ujumla maana ndiyo ilomchagua.
Tatizo chama hiki ni Cha wale LGBTQ, chini ya Makamu mwenyekiti wa chama..ambaye ni LGBTQ mwandamizi.....hahahahah..wajameni mnataka kuharibu inchi hiiHabari jf ,kwanza niweke Wazi Mimi ni mfuasi wa lile kundi linalosemwa vibaya la Hayati JPM na msimamo wangu utabaki pale pale ndiye best president to rule this country .
CHADEMA kiuhalisia ukiwatoa Wilbroad slaa na Tundu Lissu hakuna kiongozi aliyewahi kuwa serious na kuchukua Nchi ,ni huwa wanaingiza mtu kugombea au anagombea Mwenyekiti kama ushahidi tu .
Hivyo Kwa akili yangu timamu 2025 mbali na kuwa na dalili :-
1.Mwenyekiti Mbowe kuwa hana makali tena kutokana na makubaliano ya maridhiano
2.Nafasi zilizopo ni upande wa ubunge na madiwani upande wa Urais hakuna namna
Nitakuwa upande wa chama changu CHADEMA na nitashawishi wananchi wengine wakiunge ili tuweze chukua dola na sio wabunge maana 2025 nafasi iko Wazi .
Wananchi tuwasamehe CHADEMA na tuwaunge mkono tena .
"Say NO to CCM "Uwezo wao tushaujua hautoshi kutuletea maendeleo .
Tusisahau Katiba MPYA sio jambo la kuombwa na la CHADEMA peke yake ni jambo la kila MTU tuungane ipatikane .
Katiba mpya ilikwamishwa na Magufuli?Hivi umeanza kufuatilia siasa 2015?Alitamka kww mdomo wake na tulimsikia kwa masikio yetu, ifahamike tulikuwa tumefikia hatua ya kura ya maoni akagomea. Wakati wake hakukuwa na CCM, yeye ndio alikuwa CCM.
Anyway naisupport CDM,
Bt iache Utaratibu wa mkt kuanzia na shukrani Kwa sa100 na kumtukana Magu,
Kinatakiwa kionyeshe kuwa baada ya Katiba mpya kitasimamisha mgombea urais ktk next election.
Chukueni UKWELI huo. LISSU mbona anamsema sa100, kwann Mbowe hathubutu?
Yule ni kiongozi wa watu, lazima aonyeshwe alipokosea Ili arekebishe Kwa maslah ya wananchi.
Vyama vya siasa vinatakiwa visizidi 3.
Why Kila anaekuwa na mawazo tofauti aanzishe chama?
Viongozi wapokee tu ushauri, ni Kwa Nia njema.