Kwa marafiki mnaohoji kazi yangu

heaven on desert

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2013
Posts
1,025
Reaction score
393



Samahan ikiwa nimekosea jukwaa,but nia yangu ni kuzungumza na marafiki. Lakin samahan pia kwa nitakaemkwaza kwa thread yangu, japo nafaham wapo watakaochukia tuu,no matter what u do.

Ok,kuna watu wamekuwa wakihoji ni ipi haswa kazi yangu,japo wapio wanaokejeli kuwa najipendekeza ,etc bila shaka plofile imejieleza so nitapunguza maswali ya namna hiyo..na hapa sizungumzi na wale ambao kaz yao ni kukejeli ama kuchukia tu watu pasipo sababu.. nazungumza na marafiki ambao kweli walitaka kufaham majukumu yangu ni yepi.


na kuhusu mimi kuwa napost kuhusu Dai sizani kama ni vibaya.. me ni mtu wa karibu,nafamu info mapema kwa nini nisishare kwa fans?? na huwez niambia nipost kuhusu msanii flan ama flan,nikaaacha kupost habari kuhusu\mtu anaenilipa mshahara na isitoshe the more anafanikiwa,ndivyo
tuanaochangia mafanikio .tunafanikiwa pia.


Mwisho,wapo wanonibeza humu,wanabeza kaz yangu,etc...let me tell you....nimefanya kaz nae kwa mda mlefU sasa ni yeye anaefaham umhimu wa kaz yangu,ni yeye anefahm ubora na ufanisi wa kazi yangu..

Ni msani mkubwa mwenye pesa,kaz zangu zingekuwa mbovu ama ufanis wangu ungekuwa siyo angeshatafuta mwingine ,mda wowote na kwa pesa yoyote..lakin mfaham pia mbali na kufanya nae,nina manage social networks za celeb wengine kadhaa ikiwemo teentz.com ya Bdozen..na kuna
wengi wanaonitaka nifanye nao kazi so badala ya kukalia majungu kwa kuumizwa na mafanikio ya mtu.. Hebu tufanyeni kaz kwa bidii..

Ahsanteni,endeleeni kunisoma kwa taarifa exclusivu za Dai na kuna project kubwa inakuja kati ya Dai na msanii mkubwa Africa, soon nitawajuza mda mwafaka ukiwadia

Usiku mwema....
 

Attachments

  • plofile.jpg
    84.8 KB · Views: 2,782
heaven on desert
hongera sn toka moyoni unaipenda kazi yako na njia ya mafanikio ni kupenda unachofanya MUNGU akubariki,tatizo lako ni uwasilishaji wako wa mada ni mbovu sana sidhani km unachukiwa ila hauna sababu ya kuweka maneno ya vijembe kila kwny uzi wako usijikweze kaka la msingi weka uzi kueleza kile kitu "specific" unachokusudia pili uandishi wako unachosha sidhani km unahakiki baada ya kuandika mfn:-yepi,R na L nk nikutakie kazi njema na nashukuru kwa taarifa mm pia leo nimejua majukumu yako hapo WCB.
 
Last edited by a moderator:
Ahsante,nitafanyia kaz ushauri wako mkuu McDonaldJr
 
Last edited by a moderator:
[h=2]
Members wa JF waonana uso kwa uso na heaven on desert jana[/h]
Usiku wa jana nikiwa fiesta backstage na boss wangu.
nilishangaa kuitwa na watu 3 tofaut kwa nyakat tofauti.
ambapo wote walianza kwa kuniuliza ikiwa mimi ndie Heaven wa jf
ilipokuwa ikitajwa jf sikutaka kushangaa sana ..
mtu husika kanitambuaje
bila shaka ni kwa vile sura yangu ipo kwenye avatar..
na kilichokuwa kikinishangaza na kunifurahisha ni vile rafiki zangu hawa walivyokuwa wakionyesha kufurahishwa n kukutana na mm na zaidi kunipongeza na kunisifia kwa kile ninakifanya jf pasipo kujali
maneno watu wanazungumza..na ninakumbuka mmoja aliweza hata kuonana na boss wangu na kumweleza ni kiasi gan ninafanya kitu kizuri bout him..nachukua nafasi hii kuwashukuru sana nyote kwa kunitia moyo na kuna mmoja alinipa hata offer ya bia ..
bahat nzuri situmiag hayo makitu.ila nasema ahsan
na busnes card uliyonipatia kuna kitu nimekiona
nitakutafuta..i think we can do somethn,

Na bahat mbaya sikuweza kupata nick names mnazotumia hum.naamin wwhusika ujumbe mtauona naamin mtakuwa wajumbe wangu wazuri
na mta prove wrong zidi ya wale wanaopenda kutoa kashfa na kujiongelea vitu wasivyovijua kunihusu kana kwamba wananifaham kuliko hata ninavyojifaham mm..
AHSANTEN​
 
Reactions: amu
Heaven on desert nimenasa kwa binti msomi(masters)
Habari wakuru,siyo jukwaa langu hili

ila naombeni mnikaribishe tu kwa leo

kwa hili linalonisibu

Sikuwa na mpenzi kwa mda kidogo kutokana na kazi yangu

kuniweka busy mda mwingi

kiasi nakosa mda wa kukaa nifanye searching ya binti wa kutulia nae

japo kazi yangu inanikutanisha na wadada wa kila aina kila siku.

napengine ni vile nimetulia siyo player otherwise
ningekuwa na Burungutu la wadada (wakiwemo wa JF maana PM zao zilivyojaa nafahamu mwenyewe).(ebwanaweee)

Hatimae siku chache zilizopita tukiwa kwenye event flan iliyohusisha mameneja na watu toka makampuni

mbali mbali,

ndipo nillikutana na huyu mdada ninaetaka kumzungumzia sasa.

Ni mrembo sana,i mean sana ,kichwani yupo vizuri(masters)

anaishi Mikocheni(kwake na si kwao)

na anafanya kazi kwenye kampuni flani kubwa nchini

na zaidi nikiri ananizid hata kipato

Nafahamu kanipenda mimi kama mimi

Sababu kawaida yangu nitafutapo mwenzi wa maisha

huwa sipend kufake naisha

napenda kuishi maisha yangu harisi

na sipendi kujionyesha..means kama mdada anaamua kuwa na mimi

anakuwa na mtu aliyemridhia

Na kingine kanizidi umri (2)
Kiukweli ananipenda si kwa maneno bali vitendo sababu anadai nina sifa za mwanamme aliyemhitaji

Wapendwa wazoefu wa haya makitu(mapenzi)naombeni mnifahamishe kuna changamoto zipi nitakumbana nazo

na nifanye nini niziepuke

je ni sahihi kuwa nae kwa mahusiano ya seriouz??

Ahasanteni​
 
Reactions: amu
Uko sawa ila usilinge sana, na kumpaisha kiivyo boss wako kwamba ana,pesa sana dai ana pesa ya kawaida, tukipewa nafasi hapa kila mtu aeleze kipato cha boss wake labda dai wakO ATAKUWA POOR TOP TEN, JITAHIDI USIONYESHE JEURI YA PESA WAKATI HUNA, WENYE PESA HAWAONGEI, NI HAYO TU,
 
nimepata taarifa kuwa bosi wako Diamond magari huwa anaazima kwa PApaa Ndama mutoto ya ng'ombe mwana ya Chimbuvu ilhali bosi wako alijitapa amenunua kumbe sio kweli na hajakanusha je unasemaje kuhusiana na hilo?
 
Last edited by a moderator:
Hongera mkuu..kumbe we we ndio una host teentz.com...mie nilijua...ni ya wale jamaa Wa G5 click .
 
Hongera, ila hiyo project si ni Diamond na Iyanya sio?
 
Gari ya CHIEF KIUMBE a.k.a CHIEF BEING MMEMRUDISHIA????????????!!!!!!! MBONA HUJAJIBU HOJA? Publicist unaliongeleaje hilo?
 
badala ya kukalia majungu kwa kuumizwa na mafanikio ya mtu...
Hebu tufanyeni kaz kwa bidii..


Kwenye red nimepapenda sana, HAPA KAMA NI FIMBO BASI ZITAKUWA ZA KICHWANI TENA ZA MKAMILWA, Maana kuna mamtu hayafanyi kazi ila wivu tu yakiona dogo ametoka yaanaanza kuona wivu hapo umeonyesha wafuasi wanaokufata ni idadi kubwa thats mean kijana unakubalika ila mimtu inayokuonea Wivu ndio iache sasa ifanye kazi...........................Dogo piga kazi achana na wapika majungu

mzee rashidi alisema mwanaharamu ni mwanaharamu hata ukimweka kwenye chupa atanyoosha kidole Asubuhi njema.
 
nimepata taarifa kuwa bosi wako Diamond magari huwa anaazima kwa PApaa Ndama mutoto ya ng'ombe mwana ya Chimbuvu ilhali bosi wako alijitapa amenunua kumbe sio kweli na hajakanusha je unasemaje kuhusiana na hilo?

Siyo kweli!!!
 
Last edited by a moderator:
Ahsante ndugu
 
All the best,but reveal your identity watu watakufagilia otherwise kama hutajenga credibility humu watu watendelea kukusemanga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…