heaven on desert
JF-Expert Member
- Jan 25, 2013
- 1,025
- 393
- Thread starter
-
- #21
Gari ya CHIEF KIUMBE a.k.a CHIEF BEING MMEMRUDISHIA????????????!!!!!!! MBONA HUJAJIBU HOJA? Publicist unaliongeleaje hilo?
Focus on your career. Haters will always be there. Take critism positively.
All the best.
Hongera mkuu..kumbe we we ndio una host teentz.com...mie nilijua...ni ya wale jamaa Wa G5 click .
heaven on desert Umebadilika katika uandishi wako this time. Achana na misifa you will be higher.
Wish you the best
Hongera, ila hiyo project si ni Diamond na Iyanya sio?
Mi naomba kuona picha yako
heaven on desert Umebadilika katika uandishi wako this time. Achana na misifa you will be higher.
Wish you the best
shukrani kwa info mkuu!Yeah zipo project mbili
Diamond kamshilikisha Iyanya na Iyanya kamshilikisha Dai
video shootin itafanyika UK ..Mungu akijaalia mwanzon mwa mwez wa 3
Ushauliza nimejiunga lin instagram ndugu?heaven on desert
nilidhani kwa kuwa most of the time una hang na masupa star the like of diomond,kule instagram ungekuwa na 5K-6K followers.amount of 1590 followers is very low for a celebrity wannabe like you.amekushinda hata mdogo wangu ambaye ni self made popular instagramer na ana 3000 followers.you have a long way to go to become as femous as your boss.congrats though.
.naona kama wafanya vyema pamoja na kwamba kutakuwa na maneno ya kashfa ama majungu humu ndani, si mbaya kwani hayo yote ni ushindani wa kibiashara hasa ukizingatia eneo ulilopo (yaani muziki na sanaa) una vijana wengi na inanifanya niamaini wengi wa wapingao kazi yako huenda wakawa washindani wa bosi wako, ko kuwa makini na ongeza mbinu za ushindani, lengo ni kutengeneza pesa na hizo ndo sifa za wavaa suruali. na pili baada ya kukutambua u nani na wafanya kazi gani kwanini usibadili ID na kuleta jina kamili ambalo haswaa ndo litumike KIBIASHARA, kinyume na hapo unatuchanganya HOD, funguka tumia jina kamili..mwisho piga kazi kijana madamu unatengeneza PESA, maneno ni mapangilio wa herufi tu (irabu na konsonati) mfano: B.w.e.g.e ni B+w+e+g+e ko yasikupe shida wala usitafute mda wa kujibu yasiyo kujenga.
Huyo Dai ndio nani? alafu hakuna mtz mwenye pesa kama hiyo uisemayo.mimi binafsi nina web inayotumia seva zilizoko pasadena tx.US ila sina nyodo,nimekusoma maneno yako inaelekea wewe ni mtakasifa flani na husubiri kusifiwa.
hongera mkuu..kumbe we we ndio una host teentz.com...mie nilijua...ni ya wale jamaa wa g5 click .
We ni mhaya?