Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We ndiyo hujui, nembo zinavaliwa mabegani. Mlizoeshwa tz, huko msipovaa au kubadili rangi halisi ya logo ya mdhamini (total energies) mnalimwa faini kali.Hebu uwe unafwatilia mpira mkuu.
Hakunaga hizo mambo za kuvaa nembo ya mdhamini kwenye shirikisho wala klabu bingwa.
Lete mfano wa timu zilizovaa hizo nembo msimu ulopitaWe ndiyo hujui, nembo zinavaliwa mabegani. Mlizoeshwa tz, huko msipovaa au kubadili rangi halisi ya logo ya mdhamini (total energies) mnalimwa faini kali.
Nipo hapa kusubir huo mfanoLete mfano wa timu zilizovaa hizo nembo msimu ulopita
Mbona kuna mambo mengi tu ya kufanya kuliko kuifatilia Yanga. Mfano tukivaa au tusivae itawasaidia nini?Wadhamini wa michuano ya CAF (club bingwa na shirikisho) ni total energies rangi yao ni nyekundu na huvaliwa na timu shiriki kwenye jezi zao
Sasa basi Yanga mtavunjwa huo mwiko uko nyuma kwa kuvaa beji ya rangi nyekundu ya Total energies?
Hizi ngada mnazianza kutumia asubuhi sanaaWadhamini wa michuano ya CAF (club bingwa na shirikisho) ni total energies rangi yao ni nyekundu na huvaliwa na timu shiriki kwenye jezi zao
Sasa basi Yanga mtavunjwa huo mwiko uko nyuma kwa kuvaa beji ya rangi nyekundu ya Total energies?
Lazima uzae logo ya caf ambayo inakuwa na wadhamini wakuuHebu uwe unafwatilia mpira mkuu.
Hakunaga hizo mambo za kuvaa nembo ya mdhamini kwenye shirikisho wala klabu bingwa.
Mliwagomea NBC BANK tunapenda kuona mkiwagomea CAF au huo mwiko wa uko nyuma ambao hautakiwi kuvunjwa ni kwa ajili ya wadhamini wanyonge?Mbona kuna mambo mengi tu ya kufanya kuliko kuifatilia Yanga. Mfano tukivaa au tusivae itawasaidia nini?
Hii hapaNipo hapa kusubir huo mfano
Kama ni hicho tu bc hata nyanya itabd wasile
Hako kadude kadogo ndo kakuwafanya muanzishe hadi Uzi?Mliwagomea NBC BANK tunapenda kuona mkiwagomea CAF au huo mwiko wa uko nyuma ambao hautakiwi kuvunjwa ni kwa ajili ya wadhamini wanyonge?
Refer kauli ya Rage mkuu.Hako kadude kadogo ndo kakuwafanya muanzishe hadi Uzi?
Kauli zako tu zinatosha kukuelezea upo kwenye hali ganiMliwagomea NBC BANK tunapenda kuona mkiwagomea CAF au huo mwiko wa uko nyuma ambao hautakiwi kuvunjwa ni kwa ajili ya wadhamini wanyonge?
Watavunjwa huo mwiko huko nyuma.Unawatania utopolo!😂😂😂😂😂Wadhamini wa michuano ya CAF (club bingwa na shirikisho) ni total energies rangi yao ni nyekundu na huvaliwa na timu shiriki kwenye jezi zao.
Sasa basi Yanga mtavunjwa huo mwiko uko nyuma kwa kuvaa beji ya rangi nyekundu ya Total energies?
Anataka awavuruge tu mkuu, si anajua bado Feisal hajaripoti Kigamboni 😆Hako kadude kadogo ndo kakuwafanya muanzishe hadi Uzi?