Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Na wanafura kweli jamaa akiwagusa mwiko wao.😂😂😂Anataka awavuruge tu mkuu, si anajua bado Feisal hajaripoti Kigamboni 😆
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wanafura kweli jamaa akiwagusa mwiko wao.😂😂😂Anataka awavuruge tu mkuu, si anajua bado Feisal hajaripoti Kigamboni 😆
Hapo hakuna ubishi washaingia kwenye Mashundano ambayo wanaoshuriki sio Mashabiki au watu wanaweza kuwapangia nini wanataka
We kumbe fyatu hiyo ndio nembo total energies au unajikulupukia tuKanembo kenyewe ndo haka unako kaongelea?
Kama ni hako Yanga lazima watakaweka
Usipende kudandia vitu usivovielewa, we ukiona lini klabu bingwa au shirikisho wakivaa nembo ya Total Energies zaidi ya hiyo nilipost hapoW
We kumbe fyatu hiyo ndio nembo total energies au unajikulupukia tu