miviga
JF-Expert Member
- Jan 27, 2024
- 1,721
- 6,037
Wapo walotulia sio wote wabayauko sawa kiongozi, haya majitu haya fai kabisaa kuwekeza moyo na akili, acha tuwe wapitaji watusamehe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapo walotulia sio wote wabayauko sawa kiongozi, haya majitu haya fai kabisaa kuwekeza moyo na akili, acha tuwe wapitaji watusamehe
Wapo walotulia
wachache sanaaa ten labd mabikira , sio hawa wananzengoWapo walotulia sio wote wabaya
kitu kingine mkubwa nachojua dem bora umfungue mwenyewe, hawa walio tiari ni wasumbufu huwa hawasahau waliowafunguaDuuhhh pole mkuu huyo sio mwandani ni mwa nje
[emoji23][emoji23]***** utakufa mdogo wangu
[emoji28][emoji28]Yes Huna kinyongo huo ndo uanaume je huna ukimwi ! Achana nae Peaceful
Pole sana mkuu, pole mno lakini Mungu ana watu hajaishiwa tulia muombe Mungu akuponye nafsi yako, pia masihi akupe mwenye stara na wingi wa hofu yake.. changamoto zitakuwepo maana hamna mkamilifu lakini asokuumiza moyo kwa usaliti utajaliwa mkuu.Ok ila wengine nahisi tumesha haribika kisaikolojia, mimi nimeshaapa sitakuja kumpenda mwanamke wala kumuonea huruma especially kwenye mahusiano, hata ndoa nimesha give up mkuu, kwa yalioyonikuta two times , hapana kbsa.
Wazee wakuignore red flags [emoji23][emoji23][emoji23]Leo nimefanikiwa kushika simu yake na nilimuona akitoa lock so nikakariri lock passcode yake, kifupi chat za wanaume:-
1. Huyu nimekuta tu amemtumia text moja ambayo haina muendelezo, text inasema " natamani leo tukutane"
2. Huyu anaonekana amefika hadi chumba anachoishi huko chuo kifupi wamelana, miongoni mwa text ni yeye mwanamke akimuelekeza uyo jamaa kituo cha kushuka, kisha kuna text anamuomba avumilie bibie ataenda kupika chakula soon. Inaonekana jamaa alifika huyu mwanamke akiwa mbali, labda anafunguo au aliegeshewa mlango ili akija aingie.
Kuna text za karibuni February 20 za mwanamke akiomba akutane na jamaa, jamaa akasema ndo ametoka kazini amechoka siku nyingine.
3. Huyu anaonekana wanasoma wote, jamaa anaonekana alimjibu mwanamke mwengine kwenye kundi la chuo ki romantic, so huyu mwandani wangu mimi ndo analalamika kwanini anafanyiwa vile.
Kwenye whatsApp nimeona kuna picha ya chupi ambayo jamaa amereply ila bibie aliifuta.
4. Huyu inaonekana hawajawasiliana kwa muda mana text zao ni za kulaumiana kua kila mmoja hajali shida za mwenzake
5. Huyu pia anaonekana ni classmate, lakini text nilizokuta ni za mwanamke wangu akimwambia huyo jamaa wasitishe mapenzi mana yatawaletea uadui
6. Huyu jamaa anaonekana anatokea mkoa wa mbali, mana wameanza kuwasiliana kua ameshapanda basi na atafika usiku sana, text za mbeleni ni mwanamke anaonekana mchana alitoka kwenda darasani na kumuacha jamaa ndani, hivyo ametuma kua jamaa ajisikie " comfortable"
7. Huyu jamaa amepiga haipokelewi, hajui kua mwenzie yuko huku, text za mwisho za jamaa ni yeye kuomba wasitishe mahusiano mana anapata wasiwasi kua anaoiga simu usiku na mwanamke hapokei.
Pamoja na hayo, kwenye hidden album nimekuta picha alizopiga na wanaume wawili.
Mmoja wamepiga self, mwanaume akimbusu mwanake, wanaonekana wako chumbani ila wako na nguo zao, sijui ni baada ya game au vipi.
Picha ya mwanume wa pili mwanamke haonekani ila inaonesha wapo chumbani, jamaa yuko na bukta tu hana shati, na mwanamke ni kama kajifunika shuka mana inaonekana miguu yake tu.
Kuna tiketi mbili, moja ya kwenda tanga, na nyingine ni ya kilimanjaro.
Kuna picha nyingine tatu za kiuno, sijui ni nani alitumiwa. Hizi conversations zote ni za 2024, imagine?
Hapa amelala, nimerudisha simu kama ilivyokua. Sina kinyongo wala sina mpango wa kumdhuru mtu.
Acha hizi mambo jamaa, why you are obsessed with shit?mle Tako uachane nae... usimuache bila kumla nnya