Kwa masikitiko makubwa, mwandani wangu ananisaliti na wanaume zaidi ya wa 5

Ok ila wengine nahisi tumesha haribika kisaikolojia, mimi nimeshaapa sitakuja kumpenda mwanamke wala kumuonea huruma especially kwenye mahusiano, hata ndoa nimesha give up mkuu, kwa yalioyonikuta two times , hapana kbsa.
 
Piga chini hiyo mbwa yaan unashare shimo moja na mijamaa yote hiyo bado ukute anataka umnyonye papa na ule denda mamaaae uchafu tupu
 
Ok ila wengine nahisi tumesha haribika kisaikolojia, mimi nimeshaapa sitakuja kumpenda mwanamke wala kumuonea huruma especially kwenye mahusiano, hata ndoa nimesha give up mkuu, kwa yalioyonikuta two times , hapana kbsa.
Pole sana mkuu, pole mno lakini Mungu ana watu hajaishiwa tulia muombe Mungu akuponye nafsi yako, pia masihi akupe mwenye stara na wingi wa hofu yake.. changamoto zitakuwepo maana hamna mkamilifu lakini asokuumiza moyo kwa usaliti utajaliwa mkuu.
 
Wazee wakuignore red flags [emoji23][emoji23][emoji23]
 
1. Achana naye songa 'mbere'. Akiuliza sababu mpe kama ulivyozipata.
2. Endelea naye ila naye awe 'mchepuko', tafuta mwanamke mwingine akijua mueleze mbona kama unavyofanya tu wewe.
 
Mkuu kwema?
Heriiii?
Shwariii?

Thread yako umeitosa huku, imegeuka kuwa chungu kwako pia.

Au kipepe aliiona pia?.
 
Fanya kumchana alaf piga chini ukitaka kubugi mistake ww jifanye kumsamehe nakuambia msaliti ni ngumu kuacha usaliti hasa jinsia ya kike tena mwananchuo heeee[emoji81][emoji81][emoji81]
 
Mm nilikuwa na wa hivo chuo anachati Hadi ananiita bwege kwa washkaji zangu.nilichofanya niliamua kumla jicho mwaka watatu mzima .yaan nilikuwa namfilimba haiishi wiki Ila nilitunza ushahidi wa kejeli zote kwa washkaji na za kuliwa nao.wiki baada ya graduation nikamforwadia zote wasap .alipiga kama mara 3 sikupokea .sikujua muendelezo maana nilitupa line nkanunua mpya na kupata kazi mkoani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…