Kwa masikitiko makubwa, mwandani wangu ananisaliti na wanaume zaidi ya wa 5

Mkuu piga chini kabisa huyo siyo mke wa kuoa sana jiandae kuambulia the silent killer disease.
 
Huyo ni changudoa, hayo ni uliyo yaona achilia mbali aliyo fanya na akafuta. Kwenye papuchi atakuwa na sugu huyo.
 
Kama uko salama na huna ukimwi tumia nguvu hizo kujiimarisha kiuchumi,hawa jamaa zetu ni pasua kichwa,ukichanganya utapata tatizo la afya ya akili,pambana Sana uwe na amani ya moyo,kwa jinsi ulivyoandika hapo,huenda wote anawalia pesa na hawajamla in my opinion
 
Naweza sema ni mke, tumeishi wote kabla ya mambo ya masomo, ngazi za chini mimi ndo nimemsomesha, wazazi wananijua. Kifupi nilishakabidhiwa na wazazi wake muda mrefu.
Umejimbato
 
Wanachuo ni wa kupiga tu acha wahuni wanyooshe, nawe chafua scene pita hivi ila usiiache kondom iende zake utaondoka nao.
 
Kwamba mwanetu anachapiwa na Kijiji, huyo mwanamke mi muuaji kabisa tena jangiri.

Ila mi niseme tu mwandishi ana uzezeta flan achilia mbali utulivu, we unasomeshaje mchumba tena unamruhusuje aishi pake yake afu unaombeaje ushauri usaliti mkubwa ka huo manake bado unaweza kuendelea ukipata support ya kimtazamo.

Kama yupo mwaka wa kwanza sitisha huduma chapu utunze vibunda vyako mdate for free kama naye anakupenda kweli.
 
Mmeamua kufukua makaburi, pengine jamaa alishapona maumivu.
 
Chai
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…