jogoo wa maajabu
JF-Expert Member
- Mar 4, 2018
- 773
- 1,589
maisha yalivyo ya ajabu jamaa anaweza kumsamehe demu na wakarudi kama mwanzo
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
shida ya afya ya akili ni kubwa humu nchini na sasa linawazonga hadi watu wenye afya ya Mwili 🐒Sipendi na naomba unisamehe wewe ni fala
Mkuu tuachane na uendawazimu mwanamke wa mwana anatombesha sana hawezi badilikashida ya afya ya akili ni kubwa humu nchini na sasa linawazonga hadi watu wenye afya ya Mwili 🐒
Tatizo la afya ya akili ni pamoja na kuwaza, kusema, kuamua kisha kutenda mambo ambayo yanakuathiri na kukuumiza wew mwenyewe 🐒
Maana hata huko chuoni alipompangia inaonekana jamaa hajawah kufika, ila wenzie wana ufunguo na wanaulizwa kama wana njaa wavumilie mdada atarejea kuwapikiamkuu inawezekana wewe ndo mchepuko wake na yeye ana mwandani wake. Kuwa makini sana.
Unalipa mahari mamilioni halafu kuna muhuni alimtoa bikra kwa Chipsi kavu za buku...Atatajiwa 3m mahari kwa vile binti katunzwa vizuri, kasomeshwa nk. Huu ni wizi wa mchana kweupe. Hivi vitu binafsi navipinga sana, unalipishwa mahari kwa mabinti wa namna hii kama sio wizi ni kitu gani.
Za kuambiwa changanya na zakoAcheni kumpa ujinga mwana anamiliki demu wa mtaaa
relax bas 🤣Mkuu tuachane na uendawazimu mwanamke wa mwana anatombesha sana hawezi badilika
Ngoja wamalizane aturudishie huku chuoni tuendeleze sebene, na hatakaa akute chats tena wala picha katika simu husikamkuu inawezekana wewe ndo mchepuko wake na yeye ana mwandani wake. Kuwa makini sana.
Aikooo ila dharau sana hizi 🤣 🤣Acheni kumpa ujinga mwana anamiliki demu wa mtaaa
Pole sana ndugu. Nakusihi tu usifanye uamzi wowote wa kumdhuru.Leo nimefanikiwa kushika simu yake na nilimuona akitoa lock so nikakariri lock passcode yake, kifupi chat za wanaume:-
1. Huyu nimekuta tu amemtumia text moja ambayo haina muendelezo, text inasema " natamani leo tukutane"
2. Huyu anaonekana amefika hadi chumba anachoishi huko chuo kifupi wamelana, miongoni mwa text ni yeye mwanamke akimuelekeza uyo jamaa kituo cha kushuka, kisha kuna text anamuomba avumilie bibie ataenda kupika chakula soon. Inaonekana jamaa alifika huyu mwanamke akiwa mbali, labda anafunguo au aliegeshewa mlango ili akija aingie.
Kuna text za karibuni February 20 za mwanamke akiomba akutane na jamaa, jamaa akasema ndo ametoka kazini amechoka siku nyingine.
3. Huyu anaonekana wanasoma wote, jamaa anaonekana alimjibu mwanamke mwengine kwenye kundi la chuo ki romantic, so huyu mwandani wangu mimi ndo analalamika kwanini anafanyiwa vile.
Kwenye whatsApp nimeona kuna picha ya chupi ambayo jamaa amereply ila bibie aliifuta.
4. Huyu inaonekana hawajawasiliana kwa muda mana text zao ni za kulaumiana kua kila mmoja hajali shida za mwenzake
5. Huyu pia anaonekana ni classmate, lakini text nilizokuta ni za mwanamke wangu akimwambia huyo jamaa wasitishe mapenzi mana yatawaletea uadui
6. Huyu jamaa anaonekana anatokea mkoa wa mbali, mana wameanza kuwasiliana kua ameshapanda basi na atafika usiku sana, text za mbeleni ni mwanamke anaonekana mchana alitoka kwenda darasani na kumuacha jamaa ndani, hivyo ametuma kua jamaa ajisikie " comfortable"
7. Huyu jamaa amepiga haipokelewi, hajui kua mwenzie yuko huku, text za mwisho za jamaa ni yeye kuomba wasitishe mahusiano mana anapata wasiwasi kua anaoiga simu usiku na mwanamke hapokei.
Pamoja na hayo, kwenye hidden album nimekuta picha alizopiga na wanaume wawili.
Mmoja wamepiga self, mwanaume akimbusu mwanake, wanaonekana wako chumbani ila wako na nguo zao, sijui ni baada ya game au vipi.
Picha ya mwanume wa pili mwanamke haonekani ila inaonesha wapo chumbani, jamaa yuko na bukta tu hana shati, na mwanamke ni kama kajifunika shuka mana inaonekana miguu yake tu.
Kuna tiketi mbili, moja ya kwenda tanga, na nyingine ni ya kilimanjaro.
Kuna picha nyingine tatu za kiuno, sijui ni nani alitumiwa. Hizi conversations zote ni za 2024, imagine?
Hapa amelala, nimerudisha simu kama ilivyokua. Sina kinyongo wala sina mpango wa kumdhuru mtu.
Unamla kimapenzi kisha unakaa nae mbali mwez ushahidi unakufa unamwambiaYatamkuta ya yule wa njombe miaka 30
Huna haja ya kunifundisha Mimi mwenyewe na juaNjoo nikufundishe