Kwa masikitiko makubwa, mwandani wangu ananisaliti na wanaume zaidi ya wa 5

Sipendi na naomba unisamehe wewe ni fala
shida ya afya ya akili ni kubwa humu nchini na sasa linawazonga hadi watu wenye afya ya Mwili 🐒

Tatizo la afya ya akili ni pamoja na kuwaza, kusema, kuamua kisha kutenda mambo ambayo yanakuathiri na kukuumiza wew mwenyewe 🐒
 
shida ya afya ya akili ni kubwa humu nchini na sasa linawazonga hadi watu wenye afya ya Mwili 🐒

Tatizo la afya ya akili ni pamoja na kuwaza, kusema, kuamua kisha kutenda mambo ambayo yanakuathiri na kukuumiza wew mwenyewe 🐒
Mkuu tuachane na uendawazimu mwanamke wa mwana anatombesha sana hawezi badilika
 
Kukuta chatting za mwanamke anakusaliti inaumza. Ila inaumiza zaidi pale unakuta kwenye hizo chat ni mwanamke ndiye anambembeleza mwanaume halafu huyo mwanaume ni kama hana time naye demu. Yaani dem ndiye anayeforce na ashaliwa. Hahaha.
 
Atatajiwa 3m mahari kwa vile binti katunzwa vizuri, kasomeshwa nk. Huu ni wizi wa mchana kweupe. Hivi vitu binafsi navipinga sana, unalipishwa mahari kwa mabinti wa namna hii kama sio wizi ni kitu gani.
Unalipa mahari mamilioni halafu kuna muhuni alimtoa bikra kwa Chipsi kavu za buku...

Ndoa ni utapeli.

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Mkuu tuachane na uendawazimu mwanamke wa mwana anatombesha sana hawezi badilika
relax bas 🤣

mbona unauchungu sana si uwashauri majamaa yaachane na mke wa wenyewe bas 🐒

usimchochee ndungu yetu atoke njia kuu kwa meseji tu 🐒
 
Pole sana ndugu. Nakusihi tu usifanye uamzi wowote wa kumdhuru.
 
Sema watoto wa vyuoni wana wenge sana, party and fake life huwaweusha, akishakuja kitaa huwa akili ndio huwa zinarudi kwenye default setting. Kuna bro wangu mmoja wa kitaa alikuwaga anamuelewa sana dem mmoja pale SAUT, na alikua akimuhudumia sana. Ila dem ndio alikua na akili za ajabu, mara wanaccm wameahidiwa kazi na mwakyembe bandarini wakimaliza chuo, mara atafanya kazi ggm sijui ex wake kamuahidi. Jamaa akachemka kapiga chini, sasa hivi mwanamke ni mtendaji wa kijiji magu huko, baada ya kukaa kitaa muda mrefu. Na anatafuta ndoa kwa nguvu.
 
Unfortunately, asilimia kubwa ya wadada hasa awe mzuri mzuri na ana shepu, lazima ana wanaume kuanzia 10 na kuendelea, achilia mbali wale wanaomega na kusepa now and then ambao kwa jumla wanaweza fika 100 na zaidi. Huyo ndio mwanamke wa Kitanzania wa kawaida, na huyo sio hawa wanaojiuza.
 
Kile sijaelewa ni hiki , ushapata evidence yote kuhusu hulka yake na bado unajipa moyo au unatakaje hivi ??? Ningekuwa ww ningeendelea kumla tu kimya ila tafuta chumba kingine na pia tafuta vibinti vingine nje, ila chumba ukishapata hama akiwa hayupo na potelea mazima. Huyo ukikaa naye utapata regrets nyingi sana mbeleni.
 
Pole sana mkuu ila kiufupi siku hizi wanawake wamechanganyikiwa. Ni kama wanahitaji wanaume wengi ili kukamilika uumbaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…