TANZIA Kwa masikitiko makubwa tunatangaza kifo cha ndugu yetu Mtanzania mwezetu Michael a.k.a Mike kilichotokea Afrika Kusini

Tamaa, uchu, chuki, husuda, ni mambo yakiutawala moyo wako ubinadamu lazima ukutoke na ufanye mambo ya ajabu mpaka binadamu wenzako tukushangae. Roho ya marehe ipate pumziko la milele apumzike kwa amani Amina.
 
Bora ukutane na mnyama kuliko binadamu; sijui walikuwa wanamaanisha nini kwenye huu msemo.
 
MAYFAIR
 
Wasubiri uchunguzi ukamilike inawezekana kauliwa na watu wengine tofauti na rafiki yake, SA wahalifu wengi sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…