Kwa Matajiri wa JF

Kwa Matajiri wa JF

Elisha

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2011
Posts
381
Reaction score
662
Hii ni kwenu matajiri wa JF,

Heshima nyingi kwenu!

Nawaandikia baada ya kufikiri na kutafakari kwa kina juu ya hatima ya maisha yangu.

Kila nikitafakari na kuangalia kesho yangu naona kama hakuna nuru. Na kama maisha yangu yakiendelea hivi bila external force kuingilia kati naona dalili ya kufa pasipo kuonja mema ya nchi Mungu aliyotuahidia.

Hivyo basi, kwa heshima na taadhima naomba japo tajiri mmoja mwenye Roho Mtakatifu wa Mungu anikopeshe mtaji nami nimlipe kulingana na tutakavyokubaliana.

Natumaini ombi langu limefika. Mungu akubariki. Barikiwa.

Ahsante
 
Ila wewe😂😂😂, unataka mtaji wa shingapi kwani?
Mkuu mimi ofisi yangu ambayo ni computer imezima gafula na ndoto zangu naona zinaenda kupotea mazima...

Mimi mtaji wangu nahitaji Laki 8 tuu..
Ili nipate hvi vitu

Laptop 540,000tsh
Nyingine Nitanunua maiki maana nataka niwe na shoot kwa simu za kuazima
 
Mkuu mimi ofisi yangu ambayo ni computer imezima gafula na ndoto zangu naona zinaenda kupotea mazima...

Mimi mtaji wangu nahitaji Laki 8 tuu..
Ili nipate hvi vitu

Laptop 540,000tsh
Nyingine Nitanunua maiki maana nataka niwe na shoot kwa simu za kuazima
Heeeeey yote hiyo looh,
Kumbe we ndio tajiri unayezungumziwa hapa😑.

Haya huku njoo tufunge novena tatu kavu Mungu atende muujiza,. Hapa tusimzibie riziki mleta mada😁
 
Mkuu mimi ofisi yangu ambayo ni computer imezima gafula na ndoto zangu naona zinaenda kupotea mazima...

Mimi mtaji wangu nahitaji Laki 8 tuu..
Ili nipate hvi vitu

Laptop 540,000tsh
Nyingine Nitanunua maiki maana nataka niwe na shoot kwa simu za kuazima
Jana tu umetoka kusema unanipenda, kumbe hata pesa huna?
Bro sikutaki tena
 
Back
Top Bottom