Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 16,388
- 51,970
Heeeeey Miss pally🙋♀️kadada upo
happy to see you here 🤗
Am doing great, happy to see you too mamie💞
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Heeeeey Miss pally🙋♀️kadada upo
happy to see you here 🤗
Jamani weeeTufungue uzi wetu wa maombi,
Kwani wewe haukuvuka na chako safari hii kwa mwamposa?😑
Hamna bhana, kuna matajiri humu wameona post yako na kiasi unachohitaji hope watakushika mkonoJamani weee
Madam unAtaka mambo yawe magumu sasa
Ahahaha ngoja tuone naona AmKATRINA kaanza na mimi walahHamna bhana, kuna matajiri humu wameona post yako na kiasi unachohitaji hope watakushika mkono
MakubwaMweeeeh sasa jamni nisiseme ukweli kama sina salio...
Bana wee kama mapenzi yenyewe ndo hivo basi et..
Mi kukaza et nijitutumie kuwa ninazo kumbe sina siwezi 😄😄😀😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄
Badi i love you
😀😀😀😀😀😀 Mi selewi hapaHapana aisee
Duuuuuu...! Nadhani watakuwa na nia mbaya na mimi! Naamini wanaweza kufasanya jambo toka huko mafichoni waliko!Matajiri wameenda vacation mkuu. Subiri warudi baada ya mwaka mpya.
Ni kweli kabisa mkuu! Ndiyo maana nimekuja kutafuta mtaji!Kijana tafuta hela akuna aliezaliwa na pesa mkononi pambana
Na iwe hivyo!Hamna bhana, kuna matajiri humu wameona post yako na kiasi unachohitaji hope watakushika mkono
Kabla ya kwenda kufaidi raha za peponi inabidi nifaidi na mema ya nchi pia!Usiwaze kuna bikra 72 kule peponi
Amina