Kwa Matajiri wa JF

Kwa Matajiri wa JF

Ni kweli! Plan zangu ilikuwa niezeke japo chumba kimoja pagale langu la vyumba vinne inayobaki nifanye biashara!
Nikajua unakopa kuendeleza uwekezaji fulani.

Kumbe unakopa kwa ajili ya kutumia halafu eti kiasi kitachobaki ndiyo uanzishe biashara?

Mkuu unahitaji kwanza "Elimu Ya Fedha" kabla hujaanza hatua yeyote ya kuomba mkopo.
 
Hii ni kwenu matajiri wa JF,

Heshima nyingi kwenu!

Nawaandikia baada ya kufikiri na kutafakari kwa kina juu ya hatima ya maisha yangu.

Kila nikitafakari na kuangalia kesho yangu naona kama hakuna nuru. Na kama maisha yangu yakiendelea hivi bila external force kuingilia kati naona dalili ya kufa pasipo kuonja mema ya nchi Mungu aliyotuahidia.

Hivyo basi, kwa heshima na taadhima naomba japo tajiri mmoja mwenye Roho Mtakatifu wa Mungu anikopeshe mtaji nami nimlipe kulingana na tutakavyokubaliana.

Natumaini ombi langu limefika. Mungu akubariki. Barikiwa.

Ahsante
Njoo Nachingwea tulime wewe
 
Nikajua unakopa kuendeleza uwekezaji fulani.

Kumbe unakopa kwa ajili ya kutumia halafu eti kiasi kitachobaki ndiyo uanzishe biashara?

Mkuu unahitaji kwanza "Elimu Ya Fedha" kabla hujaanza hatua yeyote ya kuomba mkopo.
Nimewaza kama nikiwa kwangu itanisaidia kupunguza gharama za maisha so sitaumia sana na marejesho!
 
Hii ni kwenu matajiri wa JF,

Heshima nyingi kwenu!

Nawaandikia baada ya kufikiri na kutafakari kwa kina juu ya hatima ya maisha yangu.

Kila nikitafakari na kuangalia kesho yangu naona kama hakuna nuru. Na kama maisha yangu yakiendelea hivi bila external force kuingilia kati naona dalili ya kufa pasipo kuonja mema ya nchi Mungu aliyotuahidia.

Hivyo basi, kwa heshima na taadhima naomba japo tajiri mmoja mwenye Roho Mtakatifu wa Mungu anikopeshe mtaji nami nimlipe kulingana na tutakavyokubaliana.

Natumaini ombi langu limefika. Mungu akubariki. Barikiwa.

Ahsante
Andikia watu wa kawaida matajiri ni zaidi ya uwajuavyo
 
Gharama za pango ninapoishi ni Shs laki moja na nusu! Niliwaza kutumia Shs milioni mbili laki Tano kufanya ukarabati na inayobaki nifanye biashara! Niliwaza kufanya biashara ya mitumba
Mkuu mi nakushauri utafute kwanza kitabu kimoja kinaitwa "Elimu ya msingi wa fedha" by Makirita Amani, Kitakusaidia sana.

www.amkamtanzania.com
www.kisimachamaarifa.co.tz
+255 752 977 170

Mimi ninacho cha mfumo wa hardcopy hivyo sitaweza kushare.

NB: Unao uwezo wa kuanzia na hichohicho ulichonacho na ukapiga hatua.

Kwasasa pitia pitia hichi, kuna kitu utafunguka; mkuu.
 

Attachments

Back
Top Bottom