Dexta
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 2,096
- 5,211
Hata taasisi huwa hazitoi kiasi kama hicho kwa mara ya kwanza.Mkuu, 5 Millions naona kama ni nyingi kwa kuanzia, ijapo sijajua plan zako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata taasisi huwa hazitoi kiasi kama hicho kwa mara ya kwanza.Mkuu, 5 Millions naona kama ni nyingi kwa kuanzia, ijapo sijajua plan zako.
Mungu akutangulie
Sahihi mkuu.Hata taasisi huwa hazitoi kiasi kama hicho kwa mara ya kwanza.
Ni kweli! Plan zangu ilikuwa niezeke japo chumba kimoja pagale langu la vyumba vinne inayobaki nifanye biashara!Mkuu, 5 Millions naona kama ni nyingi kwa kuanzia, ijapo sijajua plan zako.
Una assets gani za kuwekezea?
Unazingua wewe, haupo serious uza pagala hilo.Ni kweli! Plan zangu ilikuwa niezeke japo chumba kimoja pagale langu la vyumba vinne inayobaki nifanye biashara!
Nikajua unakopa kuendeleza uwekezaji fulani.Ni kweli! Plan zangu ilikuwa niezeke japo chumba kimoja pagale langu la vyumba vinne inayobaki nifanye biashara!
Njoo Nachingwea tulime weweHii ni kwenu matajiri wa JF,
Heshima nyingi kwenu!
Nawaandikia baada ya kufikiri na kutafakari kwa kina juu ya hatima ya maisha yangu.
Kila nikitafakari na kuangalia kesho yangu naona kama hakuna nuru. Na kama maisha yangu yakiendelea hivi bila external force kuingilia kati naona dalili ya kufa pasipo kuonja mema ya nchi Mungu aliyotuahidia.
Hivyo basi, kwa heshima na taadhima naomba japo tajiri mmoja mwenye Roho Mtakatifu wa Mungu anikopeshe mtaji nami nimlipe kulingana na tutakavyokubaliana.
Natumaini ombi langu limefika. Mungu akubariki. Barikiwa.
Ahsante
Nilichojua ni kama nikihamia kwangu itakusaidia kupungza gharama za maisha!Nikajua unakopa kuendeleza uwekezaji fulani.
Kumbe unakopa kwa ajili ya kutumia halafu eti kiasi kitachobaki ndiyo uanzishe biashara?
Mkuu unahitaji kwanza "Elimu Ya Fedha" kabla hujaanza hatua yeyote ya kuomba mkopo.
Nimewaza kama nikiwa kwangu itanisaidia kupunguza gharama za maisha so sitaumia sana na marejesho!Nikajua unakopa kuendeleza uwekezaji fulani.
Kumbe unakopa kwa ajili ya kutumia halafu eti kiasi kitachobaki ndiyo uanzishe biashara?
Mkuu unahitaji kwanza "Elimu Ya Fedha" kabla hujaanza hatua yeyote ya kuomba mkopo.
Unakoishi unalipia kiasi gani kwa mwezi?Nilichojua ni kama nikihamia kwangu itakusaidia kupungza gharama za maisha!
Kilimo ni miongoni mwa mambo nawaza kufanya!Njoo Nachingwea tulime wewe
Shs laki moja na nusu!Unakoishi unalipia kiasi gani kwa mwezi?
Na gharama za unapotaka kukarabati na kuhamia ni kiasi gani?
Hujajibu swali mkuu, soma vizuri!Shs laki moja na nusu!
Andikia watu wa kawaida matajiri ni zaidi ya uwajuavyoHii ni kwenu matajiri wa JF,
Heshima nyingi kwenu!
Nawaandikia baada ya kufikiri na kutafakari kwa kina juu ya hatima ya maisha yangu.
Kila nikitafakari na kuangalia kesho yangu naona kama hakuna nuru. Na kama maisha yangu yakiendelea hivi bila external force kuingilia kati naona dalili ya kufa pasipo kuonja mema ya nchi Mungu aliyotuahidia.
Hivyo basi, kwa heshima na taadhima naomba japo tajiri mmoja mwenye Roho Mtakatifu wa Mungu anikopeshe mtaji nami nimlipe kulingana na tutakavyokubaliana.
Natumaini ombi langu limefika. Mungu akubariki. Barikiwa.
Ahsante
Gharama za pango ninapoishi ni Shs laki moja na nusu! Niliwaza kutumia Shs milioni mbili laki Tano kufanya ukarabati na inayobaki nifanye biashara! Niliwaza kufanya biashara ya mitumbaUnakoishi unalipia kiasi gani kwa mwezi?
Na gharama za unapotaka kukarabati na kuhamia ni kiasi gani?
Mkuu mi nakushauri utafute kwanza kitabu kimoja kinaitwa "Elimu ya msingi wa fedha" by Makirita Amani, Kitakusaidia sana.Gharama za pango ninapoishi ni Shs laki moja na nusu! Niliwaza kutumia Shs milioni mbili laki Tano kufanya ukarabati na inayobaki nifanye biashara! Niliwaza kufanya biashara ya mitumba