Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Kupata msaada kutoka kwa tajiri ni ngumu sana
Kutoa tu hivi ni kazi mkuu
Ila kila la kheri
Kutoa tu hivi ni kazi mkuu
Ila kila la kheri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AminaBinafsi ninakuelewa na nakuombea upate mtu wa kukushika mkono. Kila la kheri!
Weka mchanganuo wake uonekane mana kwa mtu anaeanza biashara milion tano expectation ya return kwa mwezi ni kias gan na kwa biashara gani? Utafungwa mzee hela hiyo kwa kuanzia ni nyingi sana. Omba less than 2 mAmina!
Nikipata japo milioni Tano, naamini kuna kitu naweza kufanya!
Ah wap unafanya kazi zakoMkuu mimi ofisi yangu ambayo ni computer imezima gafula na ndoto zangu naona zinaenda kupotea mazima...
Mimi mtaji wangu nahitaji Laki 8 tuu..
Ili nipate hvi vitu
Laptop 540,000tsh
Nyingine Nitanunua maiki maana nataka niwe na shoot kwa simu za kuazima
Umesoma ukaelewa? Siombi hela ya bure! Nimeomba mkopo!! Unaelewa maana ya mkopo?Maisha sio mepesi hivyo! Mtoto wa kiume inabidi ukomae
Unatakiwa utafute pesa uanze hiyo biashara faida ndio ukaezeke pagale halafu matajiri wa humu wengi wamepanga na wengine wanaishi kwao bado 🤫.Ni kweli! Plan zangu ilikuwa niezeke japo chumba kimoja pagale langu la vyumba vinne inayobaki nifanye biashara!
Mkuu kuna jamaa wanakutafuta kuleNa wewe pia nini
Nyosha maelezo
Wapi huko mkuu niibuke this timeMkuu kuna jamaa wanakutafuta kule
Huku gongo la mboto mkuuAh wap unafanya kazi zako
😀😀😀😀😀 Jukwaala mapishiWapi huko mkuu niibuke this time
Pole😀😀😀😀😀😀 Mi selewi hapa
Dah sasa mimi na mapishi wapi na wapi mkuu😀😀😀😀😀 Jukwaala mapishi
Me tooBadi i love you
Alafu wewe kuna majukwaa ukigusa watakupga mpaka watakung'ata menoPole
Kuna jamaa wanasema sijui ulimpa ushauri mambo ya kula tangawiziDah sasa mimi na mapishi wapi na wapi mkuu
Lingekuwa jukwaa la dini la sawa
Where yu are madam coze naona kabisa usiku wangu leo utakua hovyo sanaMe too
AiseeKuna jamaa wanasema sijui ulimpa ushauri mambo ya kula tangawizi
Why?Alafu wewe kuna majukwaa ukigusa watakupga mpaka watakung'ata meno
Why?Where yu are madam coze naona kabisa usiku wangu leo utakua hovyo sana
Mkuu wewe ni content creatorMkuu mimi ofisi yangu ambayo ni computer imezima gafula na ndoto zangu naona zinaenda kupotea mazima...
Mimi mtaji wangu nahitaji Laki 8 tuu..
Ili nipate hvi vitu
Laptop 540,000tsh
Nyingine Nitanunua maiki maana nataka niwe na shoot kwa simu za kuazima