Amina!Mungu akuguse .
Ila haujaweka kiasi cha loan unahitaji mkuu.
Ila weweπππ, unataka mtaji wa shingapi kwani?Wakuu na mimi pia..
Mkuu mimi ofisi yangu ambayo ni computer imezima gafula na ndoto zangu naona zinaenda kupotea mazima...Ila weweπππ, unataka mtaji wa shingapi kwani?
Heeeeey yote hiyo looh,Mkuu mimi ofisi yangu ambayo ni computer imezima gafula na ndoto zangu naona zinaenda kupotea mazima...
Mimi mtaji wangu nahitaji Laki 8 tuu..
Ili nipate hvi vitu
Laptop 540,000tsh
Nyingine Nitanunua maiki maana nataka niwe na shoot kwa simu za kuazima
Jana tu umetoka kusema unanipenda, kumbe hata pesa huna?Mkuu mimi ofisi yangu ambayo ni computer imezima gafula na ndoto zangu naona zinaenda kupotea mazima...
Mimi mtaji wangu nahitaji Laki 8 tuu..
Ili nipate hvi vitu
Laptop 540,000tsh
Nyingine Nitanunua maiki maana nataka niwe na shoot kwa simu za kuazima
Kwahyo na mimi nifungue uzi jamni seriously π³ π³ π³ π³Heeeeey yote hiyo looh,
Kumbe we ndio tajiri unayezungumziwa hapaπ.
Haya huku njoo tufunge novena tatu kavu Mungu atende muujiza,. Hapa tusimzibie riziki mleta madaπ
Tufungue uzi wetu wa maombi,Kwahyo na mimi nifungue uzi jamni seriously π³ π³ π³ π³
kadada upoTufungue uzi wetu wa maombi,
Kwani wewe haukuvuka na chako safari hii kwa mwamposa?π
Mweeeeh sasa jamni nisiseme ukweli kama sina salio...Jana tu umetoka kusema unanipenda, kumbe hata pesa huna?
Bro sikutaki tena