Kwa matamshi haya, Dr. Wilbrod Slaa atakaa sana korokoroni! (kama kweli kayatamka maana kuna AI)

Kwa matamshi haya, Dr. Wilbrod Slaa atakaa sana korokoroni! (kama kweli kayatamka maana kuna AI)

Nisipoteze muda wenu, sikiliza wenyewe.

Mods tulikuwa tunajiuliza Huyu mzee kasema nini mpaka wamshikilie hivi? Spare this watu wajue the inside out of this saga
laana inamtesa mzee slaa,

na my friends, ladies and gentleman,
ukiwa na laana unajikuta tu unajipeleka mwenyewe hadi kwenye mdomo wa mamba au simba ili akuhenyente na kukutafuna kwa urahisi na vizuri sana :MODS:
 
Nisipoteze muda wenu, sikiliza wenyewe.

Mods tulikuwa tunajiuliza Huyu mzee kasema nini mpaka wamshikilie hivi? Spare this watu wajue the inside out of this saga
View attachment 3234463
Na habari hizi ni za kweli kabisa 100% ndiyo maana hawataki kumuachia Samia kaumbuka sana, ingekuwa uzushi wangekanusha tu na kuacha uzushi ufe natural death.
 
Sijamaliza kuisikiliza yote sababu ni FAKE VOICE RECORDED, lafudhi kaanza nayo vizuri ila inaenda inapotea, aliyerekodi (maybe) alijaribu ila sitaki kuamini hiki hadi siku ifike.
 
laana inamtesa mzee slaa,

na may friends, ladies and gentleman,
ukiwa na laana unajikuta tu unajipeleka mwenyewe hadi kwenye mdomo wa mamba au simba ili akuhenyente na kukutafuna kwa urahisi na vizuri sana :MODS:
Machawa wa Mbowe ndo mmelaniwa Kwa ajiri ya tamaa zenu
 
..mambo ya kampeni hayo.

..uchaguzi umeshakwisha na wameshindwa haina haja ya kuendelea kumshikilia.
 
Hata Wassira alikuwa anaenda na kidumu kununua Konyagi Mwitu kule Msasani mwisho Lakini Leo ndiye Boss wa CCM 😄

Tatizo lako unaishi machame ungekuwa hapa Mjini ungelijua Dr Slaa anapitia mapito ya kawaida sana Siasani
JOHN konyagi mwitu si ndio GONGO 😊☺️

Kwaio ndio maana akipiga konyagi mwitu anasinziaga Mara kwa Mara
 
Back
Top Bottom