Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Prove it?Sio Yeye ...... Ya kupika.
Wanamkomoa amekataa kuwa chawaSio Yeye ...... Ya kupika.
laana inamtesa mzee slaa,Nisipoteze muda wenu, sikiliza wenyewe.
Mods tulikuwa tunajiuliza Huyu mzee kasema nini mpaka wamshikilie hivi? Spare this watu wajue the inside out of this saga

AI na ndiyo maana nimesema hapo mwanzoSio Yeye ...... Ya kupika.
Phonology & Articulation ya Dr. huifaham ..... Find audition tools aonisha SautiProve it?
Yule mzee alizidiSio Yeye ...... Ya kupika.
Na habari hizi ni za kweli kabisa 100% ndiyo maana hawataki kumuachia Samia kaumbuka sana, ingekuwa uzushi wangekanusha tu na kuacha uzushi ufe natural death.Nisipoteze muda wenu, sikiliza wenyewe.
Mods tulikuwa tunajiuliza Huyu mzee kasema nini mpaka wamshikilie hivi? Spare this watu wajue the inside out of this saga
View attachment 3234463
Machawa wa Mbowe ndo mmelaniwa Kwa ajiri ya tamaa zenulaana inamtesa mzee slaa,
na may friends, ladies and gentleman,
ukiwa na laana unajikuta tu unajipeleka mwenyewe hadi kwenye mdomo wa mamba au simba ili akuhenyente na kukutafuna kwa urahisi na vizuri sana![]()
kazee kanateseka korokoroni watu wake wa karibu hata hawana habari,Machawa wa Mbowe ndo mmelaniwa Kwa ajiri ya tamaa zenu

Chawa mkuu katika ubora wakeMachawa wa Mbowe ndo mmelaniwa Kwa ajiri ya tamaa zenu
Hata Wassira alikuwa anaenda na kidumu kununua Konyagi Mwitu kule Msasani mwisho Lakini Leo ndiye Boss wa CCM 😄AI na ndiyo maana nimesema hapo mwanzo
JOHN konyagi mwitu si ndio GONGO 😊☺️Hata Wassira alikuwa anaenda na kidumu kununua Konyagi Mwitu kule Msasani mwisho Lakini Leo ndiye Boss wa CCM 😄
Tatizo lako unaishi machame ungekuwa hapa Mjini ungelijua Dr Slaa anapitia mapito ya kawaida sana Siasani
Wazee wa Mara ile Kitu hawaachagi 😂JOHN konyagi mwitu si ndio GONGO 😊☺️
Kwaio ndio maana akipiga konyagi mwitu anasinziaga Mara kwa Mara
Awe chawa mara ngapi? Kwa sababu Samia muislam tuWanamkomoa amekataa kuwa chawa