Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Karibu sn kiongoziUWT wanasumbua kiongozi 😁😁😁 ulinifanya nikatafuta hii tafsiri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karibu sn kiongoziUWT wanasumbua kiongozi 😁😁😁 ulinifanya nikatafuta hii tafsiri.
Nakubali sana bro.Karibu sn kiongozi
Mi kazi yangu ni kushughulika na haya majangili ya mali za umma kupitia CCM, sema kupambana nayo inahitaji moyo kifo nje nje. Tupambanie nchi yetu kwa gharama zozoteNakubali sana bro.
Kwani haya anayosema yana shida gani? Tunajua wewe ni timu Mbowe na mlitumia fedha nyingi kuhonga mkiwa na mategemeo kuwa Mbowe anabaki kuwa mwenyekiti wa maisha lakini mka-fail. Dr Slaa alichozungumza hapa hakina ubaya wowote kiasi cha kumuweka ndani ili kumkomoa. Tunajua ni amri ya Samia baada ya kuumbuka lakini arobaini yake inakuja. Kuwa rais siyo certificate ya kutumia madaraka yako kwa kukomoa na kuua watu.AI na ndiyo maana nimesema hapo mwanzo
Ni sauti ya dr Slaa na hakufanya kosa lolote. Angekuwa amefanya kosa wangeyaandika kwenye hati ya mashtaka.Mbowe ndo katengeneza hii sauti feki
''Kwaiyo'' ndiyo nini?JOHN konyagi mwitu si ndio GONGO 😊☺️
Kwaio ndio maana akipiga konyagi mwitu anasinziaga Mara kwa Mara
Zee ongo hili. Lisote jela tu.Nisipoteze muda wenu, sikiliza wenyewe.
Mods tulikuwa tunajiuliza Huyu mzee kasema nini mpaka wamshikilie hivi? Spare this watu wajue the inside out of this saga
View attachment 3234463
In English THEREFORE ☺️''Kwaiyo'' ndiyo nini?
Wasabato hatutumii hiyo kitu banaWazee wa Mara ile Kitu hawaachagi 😂
Haya 🐼Wasabato hatutumii hiyo kitu bana
Nafahamu watu wengi wa Mara wanapiga Sana konyagi mwitu..Kuna mmoja mpaka kwenye MITIHANI alikua lazima apige glass moja ya konyagi mwitu.Wasabato hatutumii hiyo kitu bana
Kwahiyo Wasabato kwa Mzee Wasira tumepigwa 😂😂😂?Nafahamu watu wengi wa Mara wanapiga Sana konyagi mwitu..Kuna mmoja mpaka kwenye MITIHANI alikua lazima apige glass moja ya konyagi mwitu.
Alafu anatuambia MITIHANI kwake ni. Kitu kidogo 🤣🤣 siku akiingia kwenye pepa bila KUPIGA hulalamika MITIANI imekua migumu.
Poleni kwenu wasabato.
Mara nyingi kutojua kuandika maneno rahisi kabisa tena ya kiswahili ambacho umesoma tangu darasa la kwanza ni dalili ya jambo fulani kubwa lililojificha. Hivi unawezaje kusoma shule mpaka ukahitimu lakini neno muhimu kama hili ukashindwa kuliandika? Badala ya kubishana ungeshukuru kwa kufunzwa.In English THEREFORE ☺️
wewe mwenyewe "kwaiyo" ""kwaio"" sio pia,
Kwahiyo ndio sahihi.
Kwahiyo Mkuu, kwani ulitaka kusemaje? Maana umetoa kasoro zenye kasoro.
Huu uapuuzi wa muungano waliotuletea maCCM ni taabu sanaAnaonea wabara lakini hagusi wazanzibar wenzake
Umenifunza kitu gani mzee wewe unasema KWAIYO NA KWAHIYO NI SAWA????Mara nyingi kutojua kuandika maneno rahisi kabisa tena ya kiswahili ambacho umesoma tangu darasa la kwanza ni dalili ya jambo fulani kubwa lililojificha. Hivi unawezaje kusoma shule mpaka ukahitimu lakini neno muhimu kama hili ukashindwa kuliandika? Badala ya kubishana ungeshukuru kwa kufunzwa.
Konyagi mwitu sio mbaya..inaongeza uwezo wa kufikiri ikitumika kwa KIASI ☺️😊Kwahiyo Wasabato kwa Mzee Wasira tumepigwa 😂😂😂?
Hivi vi emoji unavyoweka kila baada ya maneno mawili ni summary tosha ya wewe ni nani. Pull up your socks dude!Umenifunza kitu gani mzee wewe unasema KWAIYO NA KWAHIYO NI SAWA????
Umenikosoa sawa Ila na wewe kwenye ukosoaji wako umekosea KWAIYO sio kiswahili sanifu bali ni KWAHIYO.
Brain your eyes 🧠