Kwa matamshi haya, Dr. Wilbrod Slaa atakaa sana korokoroni! (kama kweli kayatamka maana kuna AI)

Kwa matamshi haya, Dr. Wilbrod Slaa atakaa sana korokoroni! (kama kweli kayatamka maana kuna AI)

AI na ndiyo maana nimesema hapo mwanzo
Kwani haya anayosema yana shida gani? Tunajua wewe ni timu Mbowe na mlitumia fedha nyingi kuhonga mkiwa na mategemeo kuwa Mbowe anabaki kuwa mwenyekiti wa maisha lakini mka-fail. Dr Slaa alichozungumza hapa hakina ubaya wowote kiasi cha kumuweka ndani ili kumkomoa. Tunajua ni amri ya Samia baada ya kuumbuka lakini arobaini yake inakuja. Kuwa rais siyo certificate ya kutumia madaraka yako kwa kukomoa na kuua watu.
 
Kwa uzee wake angeacha mapambano na Serikali angeishi vizuri tu. Mlio karibu naye mshaurini, lwa sasa yeye anaihitaji Serikali kuliko serikali inavyomuhitaji
 
Wasabato hatutumii hiyo kitu bana
Nafahamu watu wengi wa Mara wanapiga Sana konyagi mwitu..Kuna mmoja mpaka kwenye MITIHANI alikua lazima apige glass moja ya konyagi mwitu.

Alafu anatuambia MITIHANI kwake ni. Kitu kidogo 🤣🤣 siku akiingia kwenye pepa bila KUPIGA hulalamika MITIANI imekua migumu.

Poleni kwenu wasabato.
 
Nafahamu watu wengi wa Mara wanapiga Sana konyagi mwitu..Kuna mmoja mpaka kwenye MITIHANI alikua lazima apige glass moja ya konyagi mwitu.

Alafu anatuambia MITIHANI kwake ni. Kitu kidogo 🤣🤣 siku akiingia kwenye pepa bila KUPIGA hulalamika MITIANI imekua migumu.

Poleni kwenu wasabato.
Kwahiyo Wasabato kwa Mzee Wasira tumepigwa 😂😂😂?
 
In English THEREFORE ☺️
wewe mwenyewe "kwaiyo" ""kwaio"" sio pia,
Kwahiyo ndio sahihi.

Kwahiyo Mkuu, kwani ulitaka kusemaje? Maana umetoa kasoro zenye kasoro.
Mara nyingi kutojua kuandika maneno rahisi kabisa tena ya kiswahili ambacho umesoma tangu darasa la kwanza ni dalili ya jambo fulani kubwa lililojificha. Hivi unawezaje kusoma shule mpaka ukahitimu lakini neno muhimu kama hili ukashindwa kuliandika? Badala ya kubishana ungeshukuru kwa kufunzwa.
 
Mara nyingi kutojua kuandika maneno rahisi kabisa tena ya kiswahili ambacho umesoma tangu darasa la kwanza ni dalili ya jambo fulani kubwa lililojificha. Hivi unawezaje kusoma shule mpaka ukahitimu lakini neno muhimu kama hili ukashindwa kuliandika? Badala ya kubishana ungeshukuru kwa kufunzwa.
Umenifunza kitu gani mzee wewe unasema KWAIYO NA KWAHIYO NI SAWA????
Umenikosoa sawa Ila na wewe kwenye ukosoaji wako umekosea KWAIYO sio kiswahili sanifu bali ni KWAHIYO.

Brain your eyes 🧠
 
Umenifunza kitu gani mzee wewe unasema KWAIYO NA KWAHIYO NI SAWA????
Umenikosoa sawa Ila na wewe kwenye ukosoaji wako umekosea KWAIYO sio kiswahili sanifu bali ni KWAHIYO.

Brain your eyes 🧠
Hivi vi emoji unavyoweka kila baada ya maneno mawili ni summary tosha ya wewe ni nani. Pull up your socks dude!
 
Back
Top Bottom