Kwa matamshi haya, Dr. Wilbrod Slaa atakaa sana korokoroni! (kama kweli kayatamka maana kuna AI)

Kwa matamshi haya, Dr. Wilbrod Slaa atakaa sana korokoroni! (kama kweli kayatamka maana kuna AI)

Hivi vi emoji unavyoweka kila baada ya maneno mawili ni summary tosha ya wewe ni nani. Pull up your socks dude!
IMG-20250212-WA0003.jpg

Karibu Ule mkuu naona njaa imekupanda kichwani,
Nakuhakikishia kitu pekee unacho nizidi ni UJINGA.
Sito jibishana na wewe Tena tupo ligi tofauti kabisa.
Endelea na hiyo tabia haitokufikisha popote.
Sikuweki ignore list Ila Mimi na wewe tumemalizana sitojibu chochote Kwako Tena.
Bye bye.
 
Nisipoteze muda wenu, sikiliza wenyewe.

Mods tulikuwa tunajiuliza Huyu mzee kasema nini mpaka wamshikilie hivi? Spare this watu wajue the inside out of this saga
View attachment 3234463
Hii nchi inaongozwa na wapumbavu. Period. Criminality ya maneno ya Dr. Slaa iko wapi? Mimi nilidhani pengine alikuwa anahamasisha uhaini, kumbe alikuwa anaendesha uamsho wa kawaida wa kisiasa? Enzi za Kikwete, CHADEMA (kupitia Dr. Slaa) iliwahi kutoa list of shame ya mafisadi kumi na moja, akiwemo Kikwete mwenyewe, kama sikosei, lakini hakuna mtu aliyewekwa mahabusu hata kwa sekunde moja. What’s so special about Samia, zaidi ya kuwa kiongozi anayebebwa kwa mbeleko?

Dr. Slaa kasema wenzao (political foes) wako kazini wameanza mapema, Samia tayari yuko busy na harakati za kuhakikisha anabaki Ikulu! This is most likely true; tumejionea wenyewe kilichojili kwenye Mkutano Mkuu wa CCM. Katika historia ya CCM hakuna mgombea Urais kwa ticket ya CCM mwingine ambaye amewahi kupatikana kwa style iliyotumika safari hii, tena miezi tisa na ushee kabla ya uchaguzi.

Dr. Slaa is a victim of wrongful imprisonment. He should be set free!
 
Sijamaliza kuisikiliza yote sababu ni FAKE VOICE RECORDED, lafudhi kaanza nayo vizuri ila inaenda inapotea, aliyerekodi (maybe) alijaribu ila sitaki kuamini hiki hadi siku ifike.
Nadhani aliongea kwenye Club house..Maana alivyokamatwa tu nikakumbana nayo.Ko ni kweli mkuu wala usiwe na mashaka na hiyo voice.
 
Back
Top Bottom