Bro, hapo hakuna sensor ila vacuum switch. Sio vifaa vyote viingiazo wire ni sensor. Hizo kw picha ni solenoid switch za kufunga/fungulia upepo/vacuum. Hua zinazingua mafundi kuziregesha kwani ukichanganya hizo pipe gari linachanganyikiwa pia!Mkuu mimi engine yangu ni 1mz V6,nimeambiwa sensor zilizopo kwenye hicho kifaa zimekufa,nipo tabora naomba msaada wako ni wapi naweza pata ufumbuzi wa tatizo hili.....ASANYEView attachment 736061View attachment 736063
Asante sana mkuu,nimeshakufuata PMBro, hapo hakuna sensor ila vacuum switch. Sio vifaa vyote viingiazo wire ni sensor. Hizo kw picha ni solenoid switch za kufunga/fungulia upepo/vacuum. Hua zinazingua mafundi kuziregesha kwani ukichanganya hizo pipe gari linachanganyikiwa pia!
Tupatane PM nikuelezee utakvyo fanya kubaini shida na hata kuitatua! Kwa malipo, ufahamu mapema!
Mkuu nimerudi tena kuleta mrejesho,juzi nilitimiza km 10000 engen oil niliongezea litre 1 na bado nilipofanya service oil imepungua maana nimetoa kama litre 3 na nusu,bado napata shida ni lingi zimekufa au,nikiwasha asbh baada ya dkk 5 mvuke unatoka na gari bado ina compression kama mpya leakage ndogondogo sana msaada tafadhari.Nashukuru Mkuu toka nilipobadili mpaka Leo nimetembea kilomita zaidi ya buku naona haijapungua na utofauti ni mkubwa tofauti na ili niliyoitumia kabla ingeonesha utofauti Wa kupungua kidogo.
Engine yapatikana rahisi na wala hakuna matatizo yeyote.Nataka ku-over all engen ya ALTEZZA 4 cylinder....maswali yangu
-je kuna uwezekano wa kupata hiyo engene
-Na kuna matatizo yoyote kama nitareplace hyo engen??
Asante kw swaliStyvo254 Habari mkuu
Ninaomba Ushauri juu ya Gari Toyota Verosa,kwasababu ni Gari ninayoipenda sana.
Natanguliza shukrani
Ufunguo wako ni Electronic Key na yaonekana umepoteza mawasiliano na ignition switch yake. Hili lilisababishwa na kukatika kw moto ufunguo ukiwa bado kw switch, mwiko sana kw mifumo hii.Mkuu nina gari Hyundai Santa Fe ya diesel manual 2006 kuna kipindi Fundi alichomoa terminal kwenye betri Wakati Funguo zikiwa kwenye switch tangu siku hiyo hiyo gari haijawai waka Nimehangaika na mafundi wa kila aina na bado sijafanikiwa nipo Dar tegeta msaaada please
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu styvo umenipita hapa bila ushauri lkn niliexperience inapungua zaidi km @1600 tokea kuweka oil mpya.Mkuu nimerudi tena kuleta mrejesho,juzi nilitimiza km 10000 engen oil niliongezea litre 1 na bado nilipofanya service oil imepungua maana nimetoa kama litre 3 na nusu,bado napata shida ni lingi zimekufa au,nikiwasha asbh baada ya dkk 5 mvuke unatoka na gari bado ina compression kama mpya leakage ndogondogo sana msaada tafadhari.
Vipi mkuu,Mkuu styvo umenipita hapa bila ushauri lkn niliexperience inapungua zaidi km @1600 tokea kuweka oil mpya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Subaru na VW ni waundaji magari shupavu sana na magari yao yamethibitisha hili mara kw mara. Advantage moja ya Subaru ni haina spare parts gushi/fake! VW pia wanaongoza kw uzinduzi wa teknolojia mpya kama vile DSG transmission na engine zao.Mkuu styvo254,kwanza nikupongeze kwa darsa zuri. Kiukweli uko vizuri sana. Elimu yako imetusaidia sana.
Kuna magari mawili mimi nataka kufanya option. Magari hayo siyo kampuni ya Toyota bali ni nje kabisa. Moja ni la kijerumani aina ya VW Touran na lingine ni Subaru Forester angalau la mwaka 2006 na kuzidi 2008.
Naomba kama ukiwa na data,unipe wasifu wa magari hayo mawili,je spea zipo au ni pasua kichwa? Na kama zipo,je kuna mafundi na garage ambazo zina mafundi kuweza kutatua kama dash board ikionyesha hitilafu. Na hapa wasiwasi wangu mkubwa ni hilo VW Touran,kuna mafundi kweli?
Nashukuru kama utanipa A,B,C za hayo magari.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahsante sana mkuu kwa kunitia moyo. So kwa maoni yako,kipekee kati ya VW Touran na Subaru Forester,unanishauri nichukue ipi?(just kwa mtazamo wako tu na maoni,other factors being kept constant)Subaru na VW ni waundaji magari shupavu sana na magari yao yamethibitisha hili mara kw mara. Advantage moja ya Subaru ni haina spare parts gushi/fake! VW pia wanaongoza kw uzinduzi wa teknolojia mpya kama vile DSG transmission na engine zao.
Cha muhimu sana kw haya magari ni kuzingatia service na kuweka spare zinazofaa. Kw kua gari zenyewe sio dhaifu, usiwe na wasiwasi kuhusu fundi sababu service za kawaida sio tatizo kubwa. Mambo ya diagnosis na mifumo ya engine na transmission haiwi na shida mara kw mara.
Sent from my Infinix-X600 using Tapatalk