Kwa matokeo haya ya wajumbe wa NEC, kipo kitu nyuma ya Pazia, Mwenyekiti shtuka

Kwa matokeo haya ya wajumbe wa NEC, kipo kitu nyuma ya Pazia, Mwenyekiti shtuka

Uchaguzi umekwisha , na wajumbe wa NEC wamechaguliwa.
Itoshe kusema kanda ya ziwa ndio walio shinda kwa kurudi na wagombea wao wote.

Matokeo Uchaguzi wa Wajumbe wa NEC-CCM Kwa Upande wa Tanzania Bara

[emoji1370][emoji1370][emoji1370][emoji1370][emoji1370]
Mkutano wa kumi wa CCM umefanyika na haya ndio majina ya wajumbe waliochaguliwa kuwa wajumbe wa NEC-CCM kwa Tanzania bara.

Wanawake
1. Dkt Angelina S Mabula Kura 770
2. Dkt Ashatu Kijaji Kura 764
3. Christina Solomon Mndeme Kura 761
4. Hellen Makungu Kura 755
5. Fenela A. Mukangara Kura 747
6. Angellah J. Kairuki Kura 730

Wanaume
1. Mahenda Leonard 845
2. Bashungwa Innocent 720
3. Wasira Steven 680
4. Msome Jackson William 591
5. Kasheku Msukuma 587
6. Kasesela Richard 574
7. Wambura Chacha Mwita 545
8. Bashe Hussein 510
9. Nnauye Nape Mosses 508
10. Gwajima Josephat 497
11. January Makamba 452
12. Mwigulu Nchemba 450
13. Macha 435
14. Msengi Ibrahimu 428

Kimsingi washindi karibu wote wametoka kanda moja huku maeneo mengine wakirudi mikono mitupu na wagombea wao, wakiendelea kulaumiana kwamba wapiga kura wao wamekosa umoja lakini kikubwa nilichokiona ni mshikamano wa wajumbe toka kanda ya ziwa kuamua kuwabeba watu wao, lakini pia kikubwa wasukuma wameamua kushikamana na kuonyesha kwamba wao ni wengi nchi hii na kuamua watu wao waingie katika chombo cha maamuzi. Pamoja na kutumia nguvu ya pesa. Lakini umoja na mshikamano wao umeonyesha dhahiri wakidhamiria kitu wanaweza, Hivi sasa wanapongezana kwamba wamefanikiwa mission yao kwa 100%

Swali la kujiuliza ni nani aliye nyuma ya hii kadhia, Mimi na wewe hakuna anayejua, lakini kuanzia sasa hadi 2025 tutaona kila aina ya rangi.

Mikoa ya kanda ya kusini kwa maana ya Lindi, Mtwara, Ruvuma na Njombe aliyepita ni Nape pekee. Tafsiri yake mikoa hiyo inabaki na wawakilishi wachache mno kwenye chombo hicho chenye mamlaka ya kupiga kura ya kumchagua Rais.

Mikoa ya Mbeya, Katavi, Rukwa, Iringa na Morogoro nadhani wameambulia patupu, wameondoka wakilaumiana.
Matokeo haya yanaashiria nini, mikoa ya kusini ndio ambayo imekuwa ngome kuu ya CCM, wamenyang"anywa rasmi ukuu huo, kwa kuwa hawana wawakilishi wengi. Kanda hiyo iliyoongoza kwa kutoa makada wakuu kama akina Nchimbi na wengineo sasa sio kitu tena.

Tutegemee nini?
Hawa wajumbe wa mkutano mkuu kwa matokeo haya tutegemee kwamba lolote linaweza kutokea 2025, kwa sababu wajumbe walio wengi ni ukanda ambao wamebezwa mno baada ya kifo cha mpendwa wao. Mikoa mingine kura walizonazo ni chache mno,hazitaweza kupingana na walio wengi kama tulivyoona.
Nini kifanyike

Kwa sasa anachoweza kufanya mwenyekiti ni kuhakikisha analichota kundi kubwa toka ukanda wenye wajumbe wengi ili kuvunja makundi, na kuhakikisha anapata uungwaji mkono mkubwa ili kujiweka katika mahali salama.
Hivi sasa maamuzi ya nani awe Rais yanategemea maamuzi ya kanda moja tu, kanda nyingine ni wasindikizaji tu. Maamuzi yanategemea mikoa michache yenye uwingi wa wajumbe.

Hii ni tafakuri fupi, itakayokusaidia kukuonyesha nguvu ya akina msukuma, Gwajima, Mabula, Bashiru ndani ya CCM.

Itoshe tu kusema kanda ya ziwa mmeupiga mwingi
kumbuka utamaduni wa mambuzi ni kuwa na mgombea mmoja awamu ya pili ktk uongozi wa urais hivyo kuwa kwao wengi 2025 hakuna impact yoyote
 
Uchaguzi umekwisha , na wajumbe wa NEC wamechaguliwa.
Itoshe kusema kanda ya ziwa ndio walio shinda kwa kurudi na wagombea wao wote.

Matokeo Uchaguzi wa Wajumbe wa NEC-CCM Kwa Upande wa Tanzania Bara

👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼
Mkutano wa kumi wa CCM umefanyika na haya ndio majina ya wajumbe waliochaguliwa kuwa wajumbe wa NEC-CCM kwa Tanzania bara.

Wanawake
1. Dkt Angelina S Mabula Kura 770
2. Dkt Ashatu Kijaji Kura 764
3. Christina Solomon Mndeme Kura 761
4. Hellen Makungu Kura 755
5. Fenela A. Mukangara Kura 747
6. Angellah J. Kairuki Kura 730

Wanaume
1. Mahenda Leonard 845
2. Bashungwa Innocent 720
3. Wasira Steven 680
4. Msome Jackson William 591
5. Kasheku Msukuma 587
6. Kasesela Richard 574
7. Wambura Chacha Mwita 545
8. Bashe Hussein 510
9. Nnauye Nape Mosses 508
10. Gwajima Josephat 497
11. January Makamba 452
12. Mwigulu Nchemba 450
13. Macha 435
14. Msengi Ibrahimu 428

Kimsingi washindi karibu wote wametoka kanda moja huku maeneo mengine wakirudi mikono mitupu na wagombea wao, wakiendelea kulaumiana kwamba wapiga kura wao wamekosa umoja lakini kikubwa nilichokiona ni mshikamano wa wajumbe toka kanda ya ziwa kuamua kuwabeba watu wao, lakini pia kikubwa wasukuma wameamua kushikamana na kuonyesha kwamba wao ni wengi nchi hii na kuamua watu wao waingie katika chombo cha maamuzi. Pamoja na kutumia nguvu ya pesa. Lakini umoja na mshikamano wao umeonyesha dhahiri wakidhamiria kitu wanaweza, Hivi sasa wanapongezana kwamba wamefanikiwa mission yao kwa 100%

Swali la kujiuliza ni nani aliye nyuma ya hii kadhia, Mimi na wewe hakuna anayejua, lakini kuanzia sasa hadi 2025 tutaona kila aina ya rangi.

Mikoa ya kanda ya kusini kwa maana ya Lindi, Mtwara, Ruvuma na Njombe aliyepita ni Nape pekee. Tafsiri yake mikoa hiyo inabaki na wawakilishi wachache mno kwenye chombo hicho chenye mamlaka ya kupiga kura ya kumchagua Rais.

Mikoa ya Mbeya, Katavi, Rukwa, Iringa na Morogoro nadhani wameambulia patupu, wameondoka wakilaumiana.
Matokeo haya yanaashiria nini, mikoa ya kusini ndio ambayo imekuwa ngome kuu ya CCM, wamenyang"anywa rasmi ukuu huo, kwa kuwa hawana wawakilishi wengi. Kanda hiyo iliyoongoza kwa kutoa makada wakuu kama akina Nchimbi na wengineo sasa sio kitu tena.

Tutegemee nini?
Hawa wajumbe wa mkutano mkuu kwa matokeo haya tutegemee kwamba lolote linaweza kutokea 2025, kwa sababu wajumbe walio wengi ni ukanda ambao wamebezwa mno baada ya kifo cha mpendwa wao. Mikoa mingine kura walizonazo ni chache mno,hazitaweza kupingana na walio wengi kama tulivyoona.
Nini kifanyike

Kwa sasa anachoweza kufanya mwenyekiti ni kuhakikisha analichota kundi kubwa toka ukanda wenye wajumbe wengi ili kuvunja makundi, na kuhakikisha anapata uungwaji mkono mkubwa ili kujiweka katika mahali salama.
Hivi sasa maamuzi ya nani awe Rais yanategemea maamuzi ya kanda moja tu, kanda nyingine ni wasindikizaji tu. Maamuzi yanategemea mikoa michache yenye uwingi wa wajumbe.

Hii ni tafakuri fupi, itakayokusaidia kukuonyesha nguvu ya akina msukuma, Gwajima, Mabula, Bashiru ndani ya CCM.

Itoshe tu kusema kanda ya ziwa mmeupiga mwingi
EQUATIONS SOLVED!, ndio maana ya mikutano ya namna hii, lengo ni kupima upepo, A. I, shall know how to solves this....!
 
Mleta mada hayo ni mawazo Yako tu wala hakuna MTU Yuko nyuma ya pazia. Ninachokijua mimi ni Kanda ya ziwa TU utakuta mchaga ni Mnec au Mwenyekiti wa chama ni Muha au mmakonde. Hakuna ktk nchi ambapo wenyeji wanapenda Wageni kama Kanda ya ziwa labda kidogo kwa mbaaaali Mkoa wa Kagera.

CCM ni chama cha kihistoria Kwa maana kitaendelea kujitanua vizazi hata vizazi. Mfumo wake wa Upatikanaji wa uongozi pamoja na uandaaji wa viongozi wa siku za mbeleni umekifanya kuwa imara zaidi.

Vyama vya upinzani nchini mbali na viongozi Wake kuwa walamba asali pia wamejisahau kabisa Kuweka mfumo wa kulea na kuwaandaa vijana kuwa viongozi baadae. Tunayoyaona ya kanda ya ziwa ni matokeo hayo ya mfumo tu mzuri wa kuandaa vijana

CCM hailei vijana wenye uwezo wa ushindani wa kisiasa, bali waabudubu viongozi ili wapewe madaraka ya mbeleko. Ukitaka kuamini nisemayo tazama kwenye uchaguzi, CCM inategemea wizi wa kura tu ili kubaki madarakani. Kama ingekuwa na vijana madhubuti isingetemea mbeleko ya dola miaka yote.
 
Uchaguzi umekwisha , na wajumbe wa NEC wamechaguliwa.
Itoshe kusema kanda ya ziwa ndio walio shinda kwa kurudi na wagombea wao wote.

Matokeo Uchaguzi wa Wajumbe wa NEC-CCM Kwa Upande wa Tanzania Bara

👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼
Mkutano wa kumi wa CCM umefanyika na haya ndio majina ya wajumbe waliochaguliwa kuwa wajumbe wa NEC-CCM kwa Tanzania bara.

Wanawake
1. Dkt Angelina S Mabula Kura 770
2. Dkt Ashatu Kijaji Kura 764
3. Christina Solomon Mndeme Kura 761
4. Hellen Makungu Kura 755
5. Fenela A. Mukangara Kura 747
6. Angellah J. Kairuki Kura 730

Wanaume
1. Mahenda Leonard 845
2. Bashungwa Innocent 720
3. Wasira Steven 680
4. Msome Jackson William 591
5. Kasheku Msukuma 587
6. Kasesela Richard 574
7. Wambura Chacha Mwita 545
8. Bashe Hussein 510
9. Nnauye Nape Mosses 508
10. Gwajima Josephat 497
11. January Makamba 452
12. Mwigulu Nchemba 450
13. Macha 435
14. Msengi Ibrahimu 428

Kimsingi washindi karibu wote wametoka kanda moja huku maeneo mengine wakirudi mikono mitupu na wagombea wao, wakiendelea kulaumiana kwamba wapiga kura wao wamekosa umoja lakini kikubwa nilichokiona ni mshikamano wa wajumbe toka kanda ya ziwa kuamua kuwabeba watu wao, lakini pia kikubwa wasukuma wameamua kushikamana na kuonyesha kwamba wao ni wengi nchi hii na kuamua watu wao waingie katika chombo cha maamuzi. Pamoja na kutumia nguvu ya pesa. Lakini umoja na mshikamano wao umeonyesha dhahiri wakidhamiria kitu wanaweza, Hivi sasa wanapongezana kwamba wamefanikiwa mission yao kwa 100%

Swali la kujiuliza ni nani aliye nyuma ya hii kadhia, Mimi na wewe hakuna anayejua, lakini kuanzia sasa hadi 2025 tutaona kila aina ya rangi.

Mikoa ya kanda ya kusini kwa maana ya Lindi, Mtwara, Ruvuma na Njombe aliyepita ni Nape pekee. Tafsiri yake mikoa hiyo inabaki na wawakilishi wachache mno kwenye chombo hicho chenye mamlaka ya kupiga kura ya kumchagua Rais.

Mikoa ya Mbeya, Katavi, Rukwa, Iringa na Morogoro nadhani wameambulia patupu, wameondoka wakilaumiana.
Matokeo haya yanaashiria nini, mikoa ya kusini ndio ambayo imekuwa ngome kuu ya CCM, wamenyang"anywa rasmi ukuu huo, kwa kuwa hawana wawakilishi wengi. Kanda hiyo iliyoongoza kwa kutoa makada wakuu kama akina Nchimbi na wengineo sasa sio kitu tena.

Tutegemee nini?
Hawa wajumbe wa mkutano mkuu kwa matokeo haya tutegemee kwamba lolote linaweza kutokea 2025, kwa sababu wajumbe walio wengi ni ukanda ambao wamebezwa mno baada ya kifo cha mpendwa wao. Mikoa mingine kura walizonazo ni chache mno,hazitaweza kupingana na walio wengi kama tulivyoona.
Nini kifanyike

Kwa sasa anachoweza kufanya mwenyekiti ni kuhakikisha analichota kundi kubwa toka ukanda wenye wajumbe wengi ili kuvunja makundi, na kuhakikisha anapata uungwaji mkono mkubwa ili kujiweka katika mahali salama.
Hivi sasa maamuzi ya nani awe Rais yanategemea maamuzi ya kanda moja tu, kanda nyingine ni wasindikizaji tu. Maamuzi yanategemea mikoa michache yenye uwingi wa wajumbe.

Hii ni tafakuri fupi, itakayokusaidia kukuonyesha nguvu ya akina msukuma, Gwajima, Mabula, Bashiru ndani ya CCM.

Itoshe tu kusema kanda ya ziwa mmeupiga mwingi
Kwanza pole na ugonjwa wa ukabila. Pili NEC ni zaidi ya hao wajumbe 20. Tatu NEC siyo wapiga kura. Nne km ni suala la wasukuma wako wanne tu kati ya wajumbe 20 sawa na 20%. Ni Angela Mabula, Kasheku Joseph, Gwajima Joseph na nafikiri Mahenda Leonard ingawa sina uhahika na huyu bwana. Tano composition ya NEC ni kubwa sana nje ya hao wajumbe 20 ndugu. Hebu katibiwe huo ugonjwa utakufa kabla ya muda wako, hii nchi ni kubwa sana kahamasishe umoja na mshikamano. Halafu kwanini hamuoni aibu jukwaa hili ni wasukuma tu kati ya makabila 120? mna nini? mnajionaje? KWANINI HAMSTAARABIKI? NI KWELI JPM ALIHARIBU NCHI ILA HAITATOKEA TENA HATA BAADA YA WE KUFA SUBIRI WAJUKUU ZAKO KABURINI WATAKUELEZA HATATOKEA TENA RAIS MSUKUMA.
 
Huwajui watu wakanda ya ziwa, wajumbe zaidi ya 75% wanatoka ukanda huo, halafu kamati kuu wakate jina la Mtu wao, halafu NEC watoke nje wajumbe zaidi ya 75%, wabaki kina nape peke yao ukumbini , unafikiri kuna kitu kitafanyika ndani humo, huwajui akina Gwajima ,msukuma wanapokuwa na mission town zao.

Mshikamano walio uonyesha kwenye huu uchaguzi, unafikiri wakiamua kuuonyesha 2025 watashindwa, Kwenye system kwenyewe Magufuri aliwajaza vijana kibao sana, kuanzia juu hadi chini
we kweli popoma, huyo mgombea wenu kwanza ni nani? Hiyo 75% unaota? Hapo 20% wasukuma.
 
Alichoona mtoa mada wengi hamjakiona Ila ukiangalia Kwa jicho la Tatu haya aliyosema yatakuja kutokea 2025.
Uzi huu utakuja kuwa valid 2025 najua Kwa SASA wenye Akili za kuchungulia kesho tumeshaona Hilo, sijui mtoa mada Kadoda nguku anatokea ukanda na wala sihitaji kujua ila ameongea Hali halisi
Tushazoea figisu hizi,, mambo yataenda kama kawaida
 
Uchaguzi umekwisha , na wajumbe wa NEC wamechaguliwa.
Itoshe kusema kanda ya ziwa ndio walio shinda kwa kurudi na wagombea wao wote.

Matokeo Uchaguzi wa Wajumbe wa NEC-CCM Kwa Upande wa Tanzania Bara

👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼
Mkutano wa kumi wa CCM umefanyika na haya ndio majina ya wajumbe waliochaguliwa kuwa wajumbe wa NEC-CCM kwa Tanzania bara.

Wanawake
1. Dkt Angelina S Mabula Kura 770
2. Dkt Ashatu Kijaji Kura 764
3. Christina Solomon Mndeme Kura 761
4. Hellen Makungu Kura 755
5. Fenela A. Mukangara Kura 747
6. Angellah J. Kairuki Kura 730

Wanaume
1. Mahenda Leonard 845
2. Bashungwa Innocent 720
3. Wasira Steven 680
4. Msome Jackson William 591
5. Kasheku Msukuma 587
6. Kasesela Richard 574
7. Wambura Chacha Mwita 545
8. Bashe Hussein 510
9. Nnauye Nape Mosses 508
10. Gwajima Josephat 497
11. January Makamba 452
12. Mwigulu Nchemba 450
13. Macha 435
14. Msengi Ibrahimu 428

Kimsingi washindi karibu wote wametoka kanda moja huku maeneo mengine wakirudi mikono mitupu na wagombea wao, wakiendelea kulaumiana kwamba wapiga kura wao wamekosa umoja lakini kikubwa nilichokiona ni mshikamano wa wajumbe toka kanda ya ziwa kuamua kuwabeba watu wao, lakini pia kikubwa wasukuma wameamua kushikamana na kuonyesha kwamba wao ni wengi nchi hii na kuamua watu wao waingie katika chombo cha maamuzi. Pamoja na kutumia nguvu ya pesa. Lakini umoja na mshikamano wao umeonyesha dhahiri wakidhamiria kitu wanaweza, Hivi sasa wanapongezana kwamba wamefanikiwa mission yao kwa 100%

Swali la kujiuliza ni nani aliye nyuma ya hii kadhia, Mimi na wewe hakuna anayejua, lakini kuanzia sasa hadi 2025 tutaona kila aina ya rangi.

Mikoa ya kanda ya kusini kwa maana ya Lindi, Mtwara, Ruvuma na Njombe aliyepita ni Nape pekee. Tafsiri yake mikoa hiyo inabaki na wawakilishi wachache mno kwenye chombo hicho chenye mamlaka ya kupiga kura ya kumchagua Rais.

Mikoa ya Mbeya, Katavi, Rukwa, Iringa na Morogoro nadhani wameambulia patupu, wameondoka wakilaumiana.
Matokeo haya yanaashiria nini, mikoa ya kusini ndio ambayo imekuwa ngome kuu ya CCM, wamenyang"anywa rasmi ukuu huo, kwa kuwa hawana wawakilishi wengi. Kanda hiyo iliyoongoza kwa kutoa makada wakuu kama akina Nchimbi na wengineo sasa sio kitu tena.

Tutegemee nini?
Hawa wajumbe wa mkutano mkuu kwa matokeo haya tutegemee kwamba lolote linaweza kutokea 2025, kwa sababu wajumbe walio wengi ni ukanda ambao wamebezwa mno baada ya kifo cha mpendwa wao. Mikoa mingine kura walizonazo ni chache mno,hazitaweza kupingana na walio wengi kama tulivyoona.
Nini kifanyike

Kwa sasa anachoweza kufanya mwenyekiti ni kuhakikisha analichota kundi kubwa toka ukanda wenye wajumbe wengi ili kuvunja makundi, na kuhakikisha anapata uungwaji mkono mkubwa ili kujiweka katika mahali salama.
Hivi sasa maamuzi ya nani awe Rais yanategemea maamuzi ya kanda moja tu, kanda nyingine ni wasindikizaji tu. Maamuzi yanategemea mikoa michache yenye uwingi wa wajumbe.

Hii ni tafakuri fupi, itakayokusaidia kukuonyesha nguvu ya akina msukuma, Gwajima, Mabula, Bashiru ndani ya CCM.

Itoshe tu kusema kanda ya ziwa mmeupiga mwingi
Tangu lini kura zikaamua mshindi Chama cha Mambuzi?
Endelea kuota
 
Siasa za Tanzania ni bora ukashinda jukwaa la MMU kuliko hawa wanasiasa utajitia presha tu na kufa mapema for nothing
 
Nafurahi wamejua kosa walifanya kutaka kutuaminisha watz kuwa Magu alikuwa na mabaya pekee, Eti hakuenda jema hata moja!!!!

Wazee wameshajua hawana lao 2026.

Justice is coming,

God has remembered our nation Tanzania.

Amen.
 
Alichoona mtoa mada wengi hamjakiona Ila ukiangalia Kwa jicho la Tatu haya aliyosema yatakuja kutokea 2025.
Uzi huu utakuja kuwa valid 2025 najua Kwa SASA wenye Akili za kuchungulia kesho tumeshaona Hilo, sijui mtoa mada Kadoda nguku anatokea ukanda na wala sihitaji kujua ila ameongea Hali halisi
Kwan Kuna mtu anaamini bado Samia anagombea 2025??


Niliwah waambia Mahali humu Ndani,. Nguvu kubwa ya JPM ipo nyuma inafanya kazi.

Dola ,Dola Dola ilifundishwa na JPM ni Namna gani ya kulipigisha hatua hili TAIFA.

Subiri, mwaka 2025 Kuna watu watashangazwaa.


Nyie simnaona wameanza kujifanya óhooo 2025 ni Samiaaa, óhooo tupitisheee ohoooo Hamna kama Samia ndan nje .


HAWATAKAA KUJA NAHILO AZIMIO LA MAKAMBA.!!
KAMWEEEEEEEE
 
Uchaguzi umekwisha , na wajumbe wa NEC wamechaguliwa.
Itoshe kusema kanda ya ziwa ndio walio shinda kwa kurudi na wagombea wao wote.

Matokeo Uchaguzi wa Wajumbe wa NEC-CCM Kwa Upande wa Tanzania Bara

👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼
Mkutano wa kumi wa CCM umefanyika na haya ndio majina ya wajumbe waliochaguliwa kuwa wajumbe wa NEC-CCM kwa Tanzania bara.

Wanawake
1. Dkt Angelina S Mabula Kura 770
2. Dkt Ashatu Kijaji Kura 764
3. Christina Solomon Mndeme Kura 761
4. Hellen Makungu Kura 755
5. Fenela A. Mukangara Kura 747
6. Angellah J. Kairuki Kura 730

Wanaume
1. Mahenda Leonard 845
2. Bashungwa Innocent 720
3. Wasira Steven 680
4. Msome Jackson William 591
5. Kasheku Msukuma 587
6. Kasesela Richard 574
7. Wambura Chacha Mwita 545
8. Bashe Hussein 510
9. Nnauye Nape Mosses 508
10. Gwajima Josephat 497
11. January Makamba 452
12. Mwigulu Nchemba 450
13. Macha 435
14. Msengi Ibrahimu 428

Kimsingi washindi karibu wote wametoka kanda moja huku maeneo mengine wakirudi mikono mitupu na wagombea wao, wakiendelea kulaumiana kwamba wapiga kura wao wamekosa umoja lakini kikubwa nilichokiona ni mshikamano wa wajumbe toka kanda ya ziwa kuamua kuwabeba watu wao, lakini pia kikubwa wasukuma wameamua kushikamana na kuonyesha kwamba wao ni wengi nchi hii na kuamua watu wao waingie katika chombo cha maamuzi. Pamoja na kutumia nguvu ya pesa. Lakini umoja na mshikamano wao umeonyesha dhahiri wakidhamiria kitu wanaweza, Hivi sasa wanapongezana kwamba wamefanikiwa mission yao kwa 100%

Swali la kujiuliza ni nani aliye nyuma ya hii kadhia, Mimi na wewe hakuna anayejua, lakini kuanzia sasa hadi 2025 tutaona kila aina ya rangi.

Mikoa ya kanda ya kusini kwa maana ya Lindi, Mtwara, Ruvuma na Njombe aliyepita ni Nape pekee. Tafsiri yake mikoa hiyo inabaki na wawakilishi wachache mno kwenye chombo hicho chenye mamlaka ya kupiga kura ya kumchagua Rais.

Mikoa ya Mbeya, Katavi, Rukwa, Iringa na Morogoro nadhani wameambulia patupu, wameondoka wakilaumiana.
Matokeo haya yanaashiria nini, mikoa ya kusini ndio ambayo imekuwa ngome kuu ya CCM, wamenyang"anywa rasmi ukuu huo, kwa kuwa hawana wawakilishi wengi. Kanda hiyo iliyoongoza kwa kutoa makada wakuu kama akina Nchimbi na wengineo sasa sio kitu tena.

Tutegemee nini?
Hawa wajumbe wa mkutano mkuu kwa matokeo haya tutegemee kwamba lolote linaweza kutokea 2025, kwa sababu wajumbe walio wengi ni ukanda ambao wamebezwa mno baada ya kifo cha mpendwa wao. Mikoa mingine kura walizonazo ni chache mno,hazitaweza kupingana na walio wengi kama tulivyoona.
Nini kifanyike

Kwa sasa anachoweza kufanya mwenyekiti ni kuhakikisha analichota kundi kubwa toka ukanda wenye wajumbe wengi ili kuvunja makundi, na kuhakikisha anapata uungwaji mkono mkubwa ili kujiweka katika mahali salama.
Hivi sasa maamuzi ya nani awe Rais yanategemea maamuzi ya kanda moja tu, kanda nyingine ni wasindikizaji tu. Maamuzi yanategemea mikoa michache yenye uwingi wa wajumbe.

Hii ni tafakuri fupi, itakayokusaidia kukuonyesha nguvu ya akina msukuma, Gwajima, Mabula, Bashiru ndani ya CCM.

Itoshe tu kusema kanda ya ziwa mmeupiga mwingi
tatizo la ushamba kila kitu sikuizi ni UKABILA UKABILA TU. ukishawagawa watu wanaotokea nchi na chama kimoja kwa misingi ya ukabila kama hivi unapata faida gani sasa?
huwezi kujenga hoja hadi uataje ukabila/kanda sijui na upuuzi gani
 
Uchaguzi umekwisha , na wajumbe wa NEC wamechaguliwa.
Itoshe kusema kanda ya ziwa ndio walio shinda kwa kurudi na wagombea wao wote.

Matokeo Uchaguzi wa Wajumbe wa NEC-CCM Kwa Upande wa Tanzania Bara

👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼
Mkutano wa kumi wa CCM umefanyika na haya ndio majina ya wajumbe waliochaguliwa kuwa wajumbe wa NEC-CCM kwa Tanzania bara.

Wanawake
1. Dkt Angelina S Mabula Kura 770
2. Dkt Ashatu Kijaji Kura 764
3. Christina Solomon Mndeme Kura 761
4. Hellen Makungu Kura 755
5. Fenela A. Mukangara Kura 747
6. Angellah J. Kairuki Kura 730

Wanaume
1. Mahenda Leonard 845
2. Bashungwa Innocent 720
3. Wasira Steven 680
4. Msome Jackson William 591
5. Kasheku Msukuma 587
6. Kasesela Richard 574
7. Wambura Chacha Mwita 545
8. Bashe Hussein 510
9. Nnauye Nape Mosses 508
10. Gwajima Josephat 497
11. January Makamba 452
12. Mwigulu Nchemba 450
13. Macha 435
14. Msengi Ibrahimu 428

Kimsingi washindi karibu wote wametoka kanda moja huku maeneo mengine wakirudi mikono mitupu na wagombea wao, wakiendelea kulaumiana kwamba wapiga kura wao wamekosa umoja lakini kikubwa nilichokiona ni mshikamano wa wajumbe toka kanda ya ziwa kuamua kuwabeba watu wao, lakini pia kikubwa wasukuma wameamua kushikamana na kuonyesha kwamba wao ni wengi nchi hii na kuamua watu wao waingie katika chombo cha maamuzi. Pamoja na kutumia nguvu ya pesa. Lakini umoja na mshikamano wao umeonyesha dhahiri wakidhamiria kitu wanaweza, Hivi sasa wanapongezana kwamba wamefanikiwa mission yao kwa 100%

Swali la kujiuliza ni nani aliye nyuma ya hii kadhia, Mimi na wewe hakuna anayejua, lakini kuanzia sasa hadi 2025 tutaona kila aina ya rangi.

Mikoa ya kanda ya kusini kwa maana ya Lindi, Mtwara, Ruvuma na Njombe aliyepita ni Nape pekee. Tafsiri yake mikoa hiyo inabaki na wawakilishi wachache mno kwenye chombo hicho chenye mamlaka ya kupiga kura ya kumchagua Rais.

Mikoa ya Mbeya, Katavi, Rukwa, Iringa na Morogoro nadhani wameambulia patupu, wameondoka wakilaumiana.
Matokeo haya yanaashiria nini, mikoa ya kusini ndio ambayo imekuwa ngome kuu ya CCM, wamenyang"anywa rasmi ukuu huo, kwa kuwa hawana wawakilishi wengi. Kanda hiyo iliyoongoza kwa kutoa makada wakuu kama akina Nchimbi na wengineo sasa sio kitu tena.

Tutegemee nini?
Hawa wajumbe wa mkutano mkuu kwa matokeo haya tutegemee kwamba lolote linaweza kutokea 2025, kwa sababu wajumbe walio wengi ni ukanda ambao wamebezwa mno baada ya kifo cha mpendwa wao. Mikoa mingine kura walizonazo ni chache mno,hazitaweza kupingana na walio wengi kama tulivyoona.
Nini kifanyike

Kwa sasa anachoweza kufanya mwenyekiti ni kuhakikisha analichota kundi kubwa toka ukanda wenye wajumbe wengi ili kuvunja makundi, na kuhakikisha anapata uungwaji mkono mkubwa ili kujiweka katika mahali salama.
Hivi sasa maamuzi ya nani awe Rais yanategemea maamuzi ya kanda moja tu, kanda nyingine ni wasindikizaji tu. Maamuzi yanategemea mikoa michache yenye uwingi wa wajumbe.

Hii ni tafakuri fupi, itakayokusaidia kukuonyesha nguvu ya akina msukuma, Gwajima, Mabula, Bashiru ndani ya CCM.

Itoshe tu kusema kanda ya ziwa mmeupiga mwingi
Marais bora nchi hii wamewahi toka kanda ya ziwa tu. Pwani wametoa wajanja wapigaji tu.
Namuheshimu sana mzee mwinyi kwa jinsi alivyokua anamsifu jpm. Mzee wetu sio mtu mbinafsi na amejaa busara kubwa.
Binafsi nafarijika kuona hawa wahuni hawajapenya wengi NEC. 2025 bila shaka tutaweza kupata mrithi wa Magufuli. Mtu mjamaa mwenye fikra za taifa kujitegemea sio kua ombaomba milele.
 
Huu ukabila haukubaliki watanzania!
Uchaguzi umekwisha , na wajumbe wa NEC wamechaguliwa.
Itoshe kusema kanda ya ziwa ndio walio shinda kwa kurudi na wagombea wao wote.

Matokeo Uchaguzi wa Wajumbe wa NEC-CCM Kwa Upande wa Tanzania Bara

👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼
Mkutano wa kumi wa CCM umefanyika na haya ndio majina ya wajumbe waliochaguliwa kuwa wajumbe wa NEC-CCM kwa Tanzania bara.

Wanawake
1. Dkt Angelina S Mabula Kura 770
2. Dkt Ashatu Kijaji Kura 764
3. Christina Solomon Mndeme Kura 761
4. Hellen Makungu Kura 755
5. Fenela A. Mukangara Kura 747
6. Angellah J. Kairuki Kura 730

Wanaume
1. Mahenda Leonard 845
2. Bashungwa Innocent 720
3. Wasira Steven 680
4. Msome Jackson William 591
5. Kasheku Msukuma 587
6. Kasesela Richard 574
7. Wambura Chacha Mwita 545
8. Bashe Hussein 510
9. Nnauye Nape Mosses 508
10. Gwajima Josephat 497
11. January Makamba 452
12. Mwigulu Nchemba 450
13. Macha 435
14. Msengi Ibrahimu 428

Kimsingi washindi karibu wote wametoka kanda moja huku maeneo mengine wakirudi mikono mitupu na wagombea wao, wakiendelea kulaumiana kwamba wapiga kura wao wamekosa umoja lakini kikubwa nilichokiona ni mshikamano wa wajumbe toka kanda ya ziwa kuamua kuwabeba watu wao, lakini pia kikubwa wasukuma wameamua kushikamana na kuonyesha kwamba wao ni wengi nchi hii na kuamua watu wao waingie katika chombo cha maamuzi. Pamoja na kutumia nguvu ya pesa. Lakini umoja na mshikamano wao umeonyesha dhahiri wakidhamiria kitu wanaweza, Hivi sasa wanapongezana kwamba wamefanikiwa mission yao kwa 100%

Swali la kujiuliza ni nani aliye nyuma ya hii kadhia, Mimi na wewe hakuna anayejua, lakini kuanzia sasa hadi 2025 tutaona kila aina ya rangi.

Mikoa ya kanda ya kusini kwa maana ya Lindi, Mtwara, Ruvuma na Njombe aliyepita ni Nape pekee. Tafsiri yake mikoa hiyo inabaki na wawakilishi wachache mno kwenye chombo hicho chenye mamlaka ya kupiga kura ya kumchagua Rais.

Mikoa ya Mbeya, Katavi, Rukwa, Iringa na Morogoro nadhani wameambulia patupu, wameondoka wakilaumiana.
Matokeo haya yanaashiria nini, mikoa ya kusini ndio ambayo imekuwa ngome kuu ya CCM, wamenyang"anywa rasmi ukuu huo, kwa kuwa hawana wawakilishi wengi. Kanda hiyo iliyoongoza kwa kutoa makada wakuu kama akina Nchimbi na wengineo sasa sio kitu tena.

Tutegemee nini?
Hawa wajumbe wa mkutano mkuu kwa matokeo haya tutegemee kwamba lolote linaweza kutokea 2025, kwa sababu wajumbe walio wengi ni ukanda ambao wamebezwa mno baada ya kifo cha mpendwa wao. Mikoa mingine kura walizonazo ni chache mno,hazitaweza kupingana na walio wengi kama tulivyoona.
Nini kifanyike

Kwa sasa anachoweza kufanya mwenyekiti ni kuhakikisha analichota kundi kubwa toka ukanda wenye wajumbe wengi ili kuvunja makundi, na kuhakikisha anapata uungwaji mkono mkubwa ili kujiweka katika mahali salama.
Hivi sasa maamuzi ya nani awe Rais yanategemea maamuzi ya kanda moja tu, kanda nyingine ni wasindikizaji tu. Maamuzi yanategemea mikoa michache yenye uwingi wa wajumbe.

Hii ni tafakuri fupi, itakayokusaidia kukuonyesha nguvu ya akina msukuma, Gwajima, Mabula, Bashiru ndani ya CCM.

Itoshe tu kusema kanda ya ziwa mmeupiga mwingi
a
 
Rais aliyekuwepo madarakani 2015 alishindwa kumuweka Rais aliyemtaka yeye
 
Uchaguzi umekwisha , na wajumbe wa NEC wamechaguliwa.
Itoshe kusema kanda ya ziwa ndio walio shinda kwa kurudi na wagombea wao wote.

Matokeo Uchaguzi wa Wajumbe wa NEC-CCM Kwa Upande wa Tanzania Bara

👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼
Mkutano wa kumi wa CCM umefanyika na haya ndio majina ya wajumbe waliochaguliwa kuwa wajumbe wa NEC-CCM kwa Tanzania bara.

Wanawake
1. Dkt Angelina S Mabula Kura 770
2. Dkt Ashatu Kijaji Kura 764
3. Christina Solomon Mndeme Kura 761
4. Hellen Makungu Kura 755
5. Fenela A. Mukangara Kura 747
6. Angellah J. Kairuki Kura 730

Wanaume
1. Mahenda Leonard 845
2. Bashungwa Innocent 720
3. Wasira Steven 680
4. Msome Jackson William 591
5. Kasheku Msukuma 587
6. Kasesela Richard 574
7. Wambura Chacha Mwita 545
8. Bashe Hussein 510
9. Nnauye Nape Mosses 508
10. Gwajima Josephat 497
11. January Makamba 452
12. Mwigulu Nchemba 450
13. Macha 435
14. Msengi Ibrahimu 428

Kimsingi washindi karibu wote wametoka kanda moja huku maeneo mengine wakirudi mikono mitupu na wagombea wao, wakiendelea kulaumiana kwamba wapiga kura wao wamekosa umoja lakini kikubwa nilichokiona ni mshikamano wa wajumbe toka kanda ya ziwa kuamua kuwabeba watu wao, lakini pia kikubwa wasukuma wameamua kushikamana na kuonyesha kwamba wao ni wengi nchi hii na kuamua watu wao waingie katika chombo cha maamuzi. Pamoja na kutumia nguvu ya pesa. Lakini umoja na mshikamano wao umeonyesha dhahiri wakidhamiria kitu wanaweza, Hivi sasa wanapongezana kwamba wamefanikiwa mission yao kwa 100%

Swali la kujiuliza ni nani aliye nyuma ya hii kadhia, Mimi na wewe hakuna anayejua, lakini kuanzia sasa hadi 2025 tutaona kila aina ya rangi.

Mikoa ya kanda ya kusini kwa maana ya Lindi, Mtwara, Ruvuma na Njombe aliyepita ni Nape pekee. Tafsiri yake mikoa hiyo inabaki na wawakilishi wachache mno kwenye chombo hicho chenye mamlaka ya kupiga kura ya kumchagua Rais.

Mikoa ya Mbeya, Katavi, Rukwa, Iringa na Morogoro nadhani wameambulia patupu, wameondoka wakilaumiana.
Matokeo haya yanaashiria nini, mikoa ya kusini ndio ambayo imekuwa ngome kuu ya CCM, wamenyang"anywa rasmi ukuu huo, kwa kuwa hawana wawakilishi wengi. Kanda hiyo iliyoongoza kwa kutoa makada wakuu kama akina Nchimbi na wengineo sasa sio kitu tena.

Tutegemee nini?
Hawa wajumbe wa mkutano mkuu kwa matokeo haya tutegemee kwamba lolote linaweza kutokea 2025, kwa sababu wajumbe walio wengi ni ukanda ambao wamebezwa mno baada ya kifo cha mpendwa wao. Mikoa mingine kura walizonazo ni chache mno,hazitaweza kupingana na walio wengi kama tulivyoona.
Nini kifanyike

Kwa sasa anachoweza kufanya mwenyekiti ni kuhakikisha analichota kundi kubwa toka ukanda wenye wajumbe wengi ili kuvunja makundi, na kuhakikisha anapata uungwaji mkono mkubwa ili kujiweka katika mahali salama.
Hivi sasa maamuzi ya nani awe Rais yanategemea maamuzi ya kanda moja tu, kanda nyingine ni wasindikizaji tu. Maamuzi yanategemea mikoa michache yenye uwingi wa wajumbe.

Hii ni tafakuri fupi, itakayokusaidia kukuonyesha nguvu ya akina msukuma, Gwajima, Mabula, Bashiru ndani ya CCM.

Itoshe tu kusema kanda ya ziwa mmeupiga mwingi
Kazi ipo !! Na Karma ipo pia. !! Tusubiri tuone !
 
Back
Top Bottom