Kwa matokeo haya ya wajumbe wa NEC, kipo kitu nyuma ya Pazia, Mwenyekiti shtuka

Kwa matokeo haya ya wajumbe wa NEC, kipo kitu nyuma ya Pazia, Mwenyekiti shtuka

Kwanza pole na ugonjwa wa ukabila. Pili NEC ni zaidi ya hao wajumbe 20. Tatu NEC siyo wapiga kura. Nne km ni suala la wasukuma wako wanne tu kati ya wajumbe 20 sawa na 20%. Ni Angela Mabula, Kasheku Joseph, Gwajima Joseph na nafikiri Mahenda Leonard ingawa sina uhahika na huyu bwana. Tano composition ya NEC ni kubwa sana nje ya hao wajumbe 20 ndugu. Hebu katibiwe huo ugonjwa utakufa kabla ya muda wako, hii nchi ni kubwa sana kahamasishe umoja na mshikamano. Halafu kwanini hamuoni aibu jukwaa hili ni wasukuma tu kati ya makabila 120? mna nini? mnajionaje? KWANINI HAMSTAARABIKI? NI KWELI JPM ALIHARIBU NCHI ILA HAITATOKEA TENA HATA BAADA YA WE KUFA SUBIRI WAJUKUU ZAKO KABURINI WATAKUELEZA HATATOKEA TENA RAIS MSUKUMA.
Mkuu umeua!! Akikujibu unitag, Niko pale
 
Marais bora nchi hii wamewahi toka kanda ya ziwa tu. Pwani wametoa wajanja wapigaji tu.
Namuheshimu sana mzee mwinyi kwa jinsi alivyokua anamsifu jpm. Mzee wetu sio mtu mbinafsi na amejaa busara kubwa.
Binafsi nafarijika kuona hawa wahuni hawajapenya wengi NEC. 2025 bila shaka tutaweza kupata mrithi wa Magufuli. Mtu mjamaa mwenye fikra za taifa kujitegemea sio kua ombaomba milele.
Nchi hii nakuapia hatokuja tokea tena Rais mwenye HAIBA ya yule Shetani. Rais mwongo, mwizi, muuaji na asiyejali Katiba. SAHAU kama ulivyosahau kunyonya ziwa la mama yako.
 
Nchi hii nakuapia hatokuja tokea tena Rais mwenye HAIBA ya yule Shetani. Rais mwongo, mwizi, muuaji na asiyejali Katiba. SAHAU kama ulivyosahau kunyonya ziwa la mama yako.
Mimba uliyodungwa na Magufuli utakufa nayo mbwa wewe.

Inaonekana alikubana kwenye kona na kukutatua marinda kwelikweli.
 
Nchi hii nakuapia hatokuja tokea tena Rais mwenye HAIBA ya yule Shetani. Rais mwongo, mwizi, muuaji na asiyejali Katiba. SAHAU kama ulivyosahau kunyonya ziwa la mama yako.

mshenzi ulaaniwe wewe katika maisha yako
 
Mimba uliyodungwa na Magufuli utakufa nayo mbwa wewe.

Inaonekana alikubana kwenye kona na kukutatua marinda kwelikweli.
Ukimgusa tu dikteta wa Chatolazima uone MISUKULE yake ikiteremka kwa ghadhabu
 
mshenzi ulaaniwe wewe katika maisha yako
Aliyelaaniwa ni Magufuli baada ya kuiba kura zote za uchaguzi wa Oktoba 2020 na ndiyo maana hakuvuka hata siku 120 AKAFARIKI. Kama unamuabudu basi kufa tukakuzike Chato
 
Aliyelaaniwa ni Magufuli baada ya kuiba kura zote za uchaguzi wa Oktoba 2020 na ndiyo maana hakuvuka hata siku 120 AKAFARIKI. Kama unamuabudu basi kufa tukakuzike Chato
Stuxnet inaonekana ulifirwa sana na Magufuli
 
Huwajui watu wakanda ya ziwa, wajumbe zaidi ya 75% wanatoka ukanda huo, halafu kamati kuu wakate jina la Mtu wao, halafu NEC watoke nje wajumbe zaidi ya 75%, wabaki kina nape peke yao ukumbini , unafikiri kuna kitu kitafanyika ndani humo, huwajui akina Gwajima ,msukuma wanapokuwa na mission town zao.

Mshikamano walio uonyesha kwenye huu uchaguzi, unafikiri wakiamua kuuonyesha 2025 watashindwa, Kwenye system kwenyewe Magufuri aliwajaza vijana kibao sana, kuanzia juu hadi chini
Vipi luhaga Mpina ana hali Gani?
 
Uchaguzi umekwisha , na wajumbe wa NEC wamechaguliwa.
Itoshe kusema kanda ya ziwa ndio walio shinda kwa kurudi na wagombea wao wote.

Matokeo Uchaguzi wa Wajumbe wa NEC-CCM Kwa Upande wa Tanzania Bara

[emoji1370][emoji1370][emoji1370][emoji1370][emoji1370]
Mkutano wa kumi wa CCM umefanyika na haya ndio majina ya wajumbe waliochaguliwa kuwa wajumbe wa NEC-CCM kwa Tanzania bara.

Wanawake
1. Dkt Angelina S Mabula Kura 770
2. Dkt Ashatu Kijaji Kura 764
3. Christina Solomon Mndeme Kura 761
4. Hellen Makungu Kura 755
5. Fenela A. Mukangara Kura 747
6. Angellah J. Kairuki Kura 730

Wanaume
1. Mahenda Leonard 845
2. Bashungwa Innocent 720
3. Wasira Steven 680
4. Msome Jackson William 591
5. Kasheku Msukuma 587
6. Kasesela Richard 574
7. Wambura Chacha Mwita 545
8. Bashe Hussein 510
9. Nnauye Nape Mosses 508
10. Gwajima Josephat 497
11. January Makamba 452
12. Mwigulu Nchemba 450
13. Macha 435
14. Msengi Ibrahimu 428

Kimsingi washindi karibu wote wametoka kanda moja huku maeneo mengine wakirudi mikono mitupu na wagombea wao, wakiendelea kulaumiana kwamba wapiga kura wao wamekosa umoja lakini kikubwa nilichokiona ni mshikamano wa wajumbe toka kanda ya ziwa kuamua kuwabeba watu wao, lakini pia kikubwa wasukuma wameamua kushikamana na kuonyesha kwamba wao ni wengi nchi hii na kuamua watu wao waingie katika chombo cha maamuzi. Pamoja na kutumia nguvu ya pesa. Lakini umoja na mshikamano wao umeonyesha dhahiri wakidhamiria kitu wanaweza, Hivi sasa wanapongezana kwamba wamefanikiwa mission yao kwa 100%

Swali la kujiuliza ni nani aliye nyuma ya hii kadhia, Mimi na wewe hakuna anayejua, lakini kuanzia sasa hadi 2025 tutaona kila aina ya rangi.

Mikoa ya kanda ya kusini kwa maana ya Lindi, Mtwara, Ruvuma na Njombe aliyepita ni Nape pekee. Tafsiri yake mikoa hiyo inabaki na wawakilishi wachache mno kwenye chombo hicho chenye mamlaka ya kupiga kura ya kumchagua Rais.

Mikoa ya Mbeya, Katavi, Rukwa, Iringa na Morogoro nadhani wameambulia patupu, wameondoka wakilaumiana.
Matokeo haya yanaashiria nini, mikoa ya kusini ndio ambayo imekuwa ngome kuu ya CCM, wamenyang"anywa rasmi ukuu huo, kwa kuwa hawana wawakilishi wengi. Kanda hiyo iliyoongoza kwa kutoa makada wakuu kama akina Nchimbi na wengineo sasa sio kitu tena.

Tutegemee nini?
Hawa wajumbe wa mkutano mkuu kwa matokeo haya tutegemee kwamba lolote linaweza kutokea 2025, kwa sababu wajumbe walio wengi ni ukanda ambao wamebezwa mno baada ya kifo cha mpendwa wao. Mikoa mingine kura walizonazo ni chache mno,hazitaweza kupingana na walio wengi kama tulivyoona.
Nini kifanyike

Kwa sasa anachoweza kufanya mwenyekiti ni kuhakikisha analichota kundi kubwa toka ukanda wenye wajumbe wengi ili kuvunja makundi, na kuhakikisha anapata uungwaji mkono mkubwa ili kujiweka katika mahali salama.
Hivi sasa maamuzi ya nani awe Rais yanategemea maamuzi ya kanda moja tu, kanda nyingine ni wasindikizaji tu. Maamuzi yanategemea mikoa michache yenye uwingi wa wajumbe.

Hii ni tafakuri fupi, itakayokusaidia kukuonyesha nguvu ya akina msukuma, Gwajima, Mabula, Bashiru ndani ya CCM.

Itoshe tu kusema kanda ya ziwa mmeupiga mwingi
Wewe acha kuchanganya kanda ya ziwa na wasukuma maana kanda ya Ziwa siyo ya wasukuma tu. Naona labda wewe hujui kanda ya Ziwa. Nilipofika hapo kanda ya Ziwa na wasukuma nikaacha kusoma maana hujui kutofautisha usukumani na kanda ya ziwa siyo kila aliye kanda ya ziwa ni msukuma

Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
 
Ndio mzee hovyo makamba na jk kwenye hotuba zao walionesha kupanic sana
Kwani huyo Mzee alipokua Katibu mkuu wasukuma hawakuwepo? Kikwete mmempa Uenyekiti mara 2 hao wasukuma hawakuwepo ndio aje kununa sahivi?

Acheni ukabila usio na tija, tukienda kwa style hiyo wasukuma ni 17% ya population hivyo kura zao pekee haziwezi amua Rais hata siku Moja hivyo Bado wanahitaji ushirikiano na makabila mengine.
 
Uchaguzi umekwisha , na wajumbe wa NEC wamechaguliwa.
Itoshe kusema kanda ya ziwa ndio walio shinda kwa kurudi na wagombea wao wote.

Matokeo Uchaguzi wa Wajumbe wa NEC-CCM Kwa Upande wa Tanzania Bara

[emoji1370][emoji1370][emoji1370][emoji1370][emoji1370]
Mkutano wa kumi wa CCM umefanyika na haya ndio majina ya wajumbe waliochaguliwa kuwa wajumbe wa NEC-CCM kwa Tanzania bara.

Wanawake
1. Dkt Angelina S Mabula Kura 770
2. Dkt Ashatu Kijaji Kura 764
3. Christina Solomon Mndeme Kura 761
4. Hellen Makungu Kura 755
5. Fenela A. Mukangara Kura 747
6. Angellah J. Kairuki Kura 730

Wanaume
1. Mahenda Leonard 845
2. Bashungwa Innocent 720
3. Wasira Steven 680
4. Msome Jackson William 591
5. Kasheku Msukuma 587
6. Kasesela Richard 574
7. Wambura Chacha Mwita 545
8. Bashe Hussein 510
9. Nnauye Nape Mosses 508
10. Gwajima Josephat 497
11. January Makamba 452
12. Mwigulu Nchemba 450
13. Macha 435
14. Msengi Ibrahimu 428

Kimsingi washindi karibu wote wametoka kanda moja huku maeneo mengine wakirudi mikono mitupu na wagombea wao, wakiendelea kulaumiana kwamba wapiga kura wao wamekosa umoja lakini kikubwa nilichokiona ni mshikamano wa wajumbe toka kanda ya ziwa kuamua kuwabeba watu wao, lakini pia kikubwa wasukuma wameamua kushikamana na kuonyesha kwamba wao ni wengi nchi hii na kuamua watu wao waingie katika chombo cha maamuzi. Pamoja na kutumia nguvu ya pesa. Lakini umoja na mshikamano wao umeonyesha dhahiri wakidhamiria kitu wanaweza, Hivi sasa wanapongezana kwamba wamefanikiwa mission yao kwa 100%

Swali la kujiuliza ni nani aliye nyuma ya hii kadhia, Mimi na wewe hakuna anayejua, lakini kuanzia sasa hadi 2025 tutaona kila aina ya rangi.

Mikoa ya kanda ya kusini kwa maana ya Lindi, Mtwara, Ruvuma na Njombe aliyepita ni Nape pekee. Tafsiri yake mikoa hiyo inabaki na wawakilishi wachache mno kwenye chombo hicho chenye mamlaka ya kupiga kura ya kumchagua Rais.

Mikoa ya Mbeya, Katavi, Rukwa, Iringa na Morogoro nadhani wameambulia patupu, wameondoka wakilaumiana.
Matokeo haya yanaashiria nini, mikoa ya kusini ndio ambayo imekuwa ngome kuu ya CCM, wamenyang"anywa rasmi ukuu huo, kwa kuwa hawana wawakilishi wengi. Kanda hiyo iliyoongoza kwa kutoa makada wakuu kama akina Nchimbi na wengineo sasa sio kitu tena.

Tutegemee nini?
Hawa wajumbe wa mkutano mkuu kwa matokeo haya tutegemee kwamba lolote linaweza kutokea 2025, kwa sababu wajumbe walio wengi ni ukanda ambao wamebezwa mno baada ya kifo cha mpendwa wao. Mikoa mingine kura walizonazo ni chache mno,hazitaweza kupingana na walio wengi kama tulivyoona.
Nini kifanyike

Kwa sasa anachoweza kufanya mwenyekiti ni kuhakikisha analichota kundi kubwa toka ukanda wenye wajumbe wengi ili kuvunja makundi, na kuhakikisha anapata uungwaji mkono mkubwa ili kujiweka katika mahali salama.
Hivi sasa maamuzi ya nani awe Rais yanategemea maamuzi ya kanda moja tu, kanda nyingine ni wasindikizaji tu. Maamuzi yanategemea mikoa michache yenye uwingi wa wajumbe.

Hii ni tafakuri fupi, itakayokusaidia kukuonyesha nguvu ya akina msukuma, Gwajima, Mabula, Bashiru ndani ya CCM.

Itoshe tu kusema kanda ya ziwa mmeupiga mwingi
Jifunze kutofautisha mambo. Mimi natoka kanda ya ziwa lakini siyo msukuma, siyo kila anayetoka kanda ya ziwa ni msukuma

Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
 
Luhaga mpina walijua atakachowafanya ndiyo maana wakakata jina lake mapema sana.

Wanajua shughuli ya Mpina siyo ya kitoto
Hapana achana na taifa ila aligombea level ya mkoa matokeo vipi?

Mlikua mnamjaza sana humu ila nadhani umeona jinsi mwenyekiti ndio alpha na omega huko CCM. Akiamua ndio imeisha hiyo, 2025 Mpina atakua benchi kma Makonda au Hapi!!!

Alienda upinzani ajiandae kupewa kesi ya uhujumu uchumi mpka iishe ni 2031 anamkuta uchaguzi umeisha kitambo. Ndio akili zitamrudi
 
Alichoona mtoa mada wengi hamjakiona Ila ukiangalia Kwa jicho la Tatu haya aliyosema yatakuja kutokea 2025.
Uzi huu utakuja kuwa valid 2025 najua Kwa SASA wenye Akili za kuchungulia kesho tumeshaona Hilo, sijui mtoa mada Kadoda nguku anatokea ukanda na wala sihitaji kujua ila ameongea Hali halisi
Mtoa mada na wewe ni wale wale msiotofautisha kati ya kanda ya ziwa na usukuma, siyo kila mtu wa kanda ya ziwa ni msukuma.

Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
 
Kwani huyo Mzee alipokua Katibu mkuu wasukuma hawakuwepo? Kikwete mmempa Uenyekiti mara 2 hao wasukuma hawakuwepo ndio aje kununa sahivi?

Acheni ukabila usio na tija, tukienda kwa style hiyo wasukuma ni 17% ya population hivyo kura zao pekee haziwezi amua Rais hata siku Moja hivyo Bado wanahitaji ushirikiano na makabila mengine.
Wachaga ni % ngapi ya population?
 
Wachaga ni % ngapi ya population?
Sasa jiulize waliwezaje kupata 40% ya kura 2015? Ndio maana nikasema siasa ni zaidi ya Ukanda. Hata Chadema mnakiita Cha wachagga ila kura nyingi wanatoa Dar, Kigoma, Mbeya, Moro, Mwanza, Mara etc.
 
Back
Top Bottom