- Thread starter
- #61
SawaKuna rafiki mmoja kasomea huko, njoo pm nikumbe namba yake nadhani atakuelewesha vyema.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SawaKuna rafiki mmoja kasomea huko, njoo pm nikumbe namba yake nadhani atakuelewesha vyema.
Ukiwa hauna akili timamu usini quoteWeka minimum requirement of MEDICINE as per TCU ........tujue umetumia ubongo ama rectum kufikiri
Weka vigezo vya TCUUkiwa hauna akili timamu usini quote
Hayo mawazo yako mkuu...ila anapata vizuri tu.HAKUNA CHUO CHOCHOTE ATAPA HATA KAMA NI VYUO BINAFSI.
KAMPALA UNIVERSITY CHA UGANDA.Naomba chuo kizuri Kwa Uganda ambacho unadhani kitamfaa zaid
Uganda Kuna Kampala ambayo ukienda kampala ya pale gongo la mboto wanakusaidia kufanya admission pia wanakozi nyingi km dental radiology mbbs ambayo ada yake n around 6.7mNaomba chuo kizuri Kwa Uganda ambacho unadhani kitamfaa zaid
Akienda Uganda labda afanye kazi hukohuko akirudi bongo aoneshe D ya physics ili asajiliwe kufanya kazi hapa nyumbaniUganda Kuna Kampala ambayo ukienda kampala ya pale gongo la mboto wanakusaidia kufanya admission pia wanakozi nyingi km dental radiology mbbs ambayo ada yake n around 6.7m
Ni kweli kabisa huwezi kosa minimum requirements hapa utafute njia ya pandaAkienda Uganda labda afanye kazi hukohuko akirudi bongo aoneshe D ya physics ili asajiliwe kufanya kazi hapa nyumbani
View attachment 3109837Anapatia wapi hapa?
Inasema At least D in Physics ,chemistry na Biology alafu yeye ana E ya P
Namshauri asome degree nyingine asipoteze muda hiyo MD yenyewe haina
hadhi kama zamani. Asome Human Nutrition, Food Science and Technology
Health System Management, Health Information System, BSc in Microbiology
na nyingine.
Hivi E na D inatofauti gani maana kwenye cheti chake zote wameandika ni principle pass,na zinawiano sawa,kwn E inaanzia ngapi na kuishia ngapi Kwa A levelDaktari gani ana E ya physics hata SUA kwenye udaktari wa mifugo hawakutaki
Naskia physics kwenye afya sio pana sana kama chemistry na biology,labda engineering ko labda akienda nje atakuwa vzr zaidi maana hata elimu ya nje itampa exposure zaidi na kujifunza maisha mengineNi kweli kabisa huwezi kosa minimum requirements hapa utafute njia ya panda
Ukirudi unapaswa ufanye equivalence ya foreign certificate pale TCU, na ufanye
Internship kama hukuwa na vigezo vilivyokuwa vinataka usome hiyo program
hapa nchini itakula kwako.
Aachane na mambo ya White Coat Syndrome, ila kama anautaka sawa
huo udaktari anzie na diploma in Clinical Medicine au kama anaona safari
itakuwa ndefu asome Bachelor nyingine hata kama sio afya.
Anatoboa vizuri tuHuyo mdogo wako ni kilaza sana kwa matokeo hayo msuli wa medicine hawezi toboa lazima adisco
TCU ndio inaeleza hivyo. TCU imesema minimum requirement ni D yaNaskia physics kwenye afya sio pana sana kama chemistry na biology,labda engineering ko labda akienda nje atakuwa vzr zaidi maana hata elimu ya nje itampa exposure zaidi na kujifunza maisha mengine
Kua hizo zingine ndio zina hazi kuliko MD?........hakuna replacement ya MDNamshauri asome degree nyingine asipoteze muda hiyo MD yenyewe haina
hadhi kama zamani. Asome Human Nutrition, Food Science and Technology
Health System Management, Health Information System, BSc in Microbiology
na nyingine.
Nimemueleza asome apate maarifa sio ajira.. kwani MD kazi zipo? Hao MD wanaoKua hizo zingine ndio zina hazi kuliko MD?........hakuna replacement ya MD
Maarifa lazina yawe specific:-Nimemueleza asome apate maarifa sio ajira.. kwani MD kazi zipo? Hao MD wanao
hangaika kwenye vijiwe huwaoni.
Kwa sasa mtu asome apate maarifa sio kuweka mbele habari ya ajira.