Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
Huyu Tundu Lissu ni mtu wa hatari sana.
Nilikuwa naangqlia live anavyochambua hoja kwa hoja kuwaelezea Watanzania kwa nini wanasema No Reform No Election.
Nonso alizokuwa anatema Lissu hata uwe kilaza wa mwisho lazima utamwelewa. Alikuwa anatoa na takwimu sahihi bila kusoma popote.
Naona Simu itakuwa imetoka Addis kumwambia pedeshee wa TCRA akatw mtandao watu wasiendelee kula madini live
Kweli CCM maji ya shingo😅😅😅😅
Nilikuwa naangqlia live anavyochambua hoja kwa hoja kuwaelezea Watanzania kwa nini wanasema No Reform No Election.
Nonso alizokuwa anatema Lissu hata uwe kilaza wa mwisho lazima utamwelewa. Alikuwa anatoa na takwimu sahihi bila kusoma popote.
Naona Simu itakuwa imetoka Addis kumwambia pedeshee wa TCRA akatw mtandao watu wasiendelee kula madini live
Kweli CCM maji ya shingo😅😅😅😅