LIMBOMAMBOMA
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 10,482
- 14,007
Ndo maana ccm Walitaka mbowe awe mwenyekiti
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nobody can stop reggaeHuyu Tundu Lissu ni mtu wa hatari sana.
Nilikuwa naangqlia live anavyochambua hoja kwa hoja kuwaelezea Watanzania kwa nini wanasema No Reform No Election.
Nonso alizokuwa anatema Lissu hata uwe kilaza wa mwisho lazima utamwelewa. Alikuwa anatoa na takwimu sahihi bila kusoma popote.
Naona Simu itakuwa imetoka Addis kumwambia pedeshee wa TCRA akatw mtandao watu wasiendelee kula madini live
Kweli CCM maji ya shingo😅😅😅😅
Wasiyempenda kaja😄😄😄Huyu Tundu Lissu ni mtu wa hatari sana.
Nilikuwa naangqlia live anavyochambua hoja kwa hoja kuwaelezea Watanzania kwa nini wanasema No Reform No Election.
Nonso alizokuwa anatema Lissu hata uwe kilaza wa mwisho lazima utamwelewa. Alikuwa anatoa na takwimu sahihi bila kusoma popote.
Naona Simu itakuwa imetoka Addis kumwambia pedeshee wa TCRA akatw mtandao watu wasiendelee kula madini live
Kweli CCM maji ya shingo😅😅😅😅
Adui mkubwa wa Tanzania ni siasaWasiyempenda kaja😄😄😄
Huwa najiuliza sana nashindwa kupata jibu. Hivi CCM kwa wingi wao na ukubwa na ukongwe wa chama chao, kumekosekana watu wenye utimamu wa kujua nchi inaelekea kubaya wakadai mabadiliko? Wote mmekubali kuwa sehemu ya historia ya angulo la nchi kisa tu ni maslahi ya muda mfupi wanayoyapata?TUNDU LISSU ni moto wa kuotea mbali...hii nchi ingekuwa na kina TUNDU LISSU kama watano ingechangamka sana ila ndio ivyo tena imejaa kina juma lokole na kina James delicious....HATARI SANA
Kwa hali ilivyo nchi inahitaji zaidi ya TAL, tunahitaji TraoreWasiyempenda kaja😄😄😄