Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
Mawe gani na wewe zile sio pamba za mbeya kweli ?Huyu Tundu Lissu ni mtu wa hatari sana.
Nilikuwa naangqlia live anavyochambua hoja kwa hoja kuwaelezea Watanzania kwa nini wanasema No Reform No Election.
Nonso alizokuwa anatema Lissu hata uwe kilaza wa mwisho lazima utamwelewa. Alikuwa anatoa na takwimu sahihi bila kusoma popote.
Naona Simu itakuwa imetoka Addis kumwambia pedeshee wa TCRA akatw mtandao watu wasiendelee kula madini live
Kweli CCM maji ya shingoπ π π π
Wafu wameshawasiliMawe gani na wewe zile sio pamba za mbeya kweli ?
Au pamba ya Mwanza?Huyu Tundu Lissu ni mtu wa hatari sana.
Nilikuwa naangqlia live anavyochambua hoja kwa hoja kuwaelezea Watanzania kwa nini wanasema No Reform No Election.
Nonso alizokuwa anatema Lissu hata uwe kilaza wa mwisho lazima utamwelewa. Alikuwa anatoa na takwimu sahihi bila kusoma popote.
Naona Simu itakuwa imetoka Addis kumwambia pedeshee wa TCRA akatw mtandao watu wasiendelee kula madini live
Kweli CCM maji ya shingoπ π π π
Unapenda kujitekenya na kucheka mwenyewe usije ukajikojolea tu.Huyu Tundu Lissu ni mtu wa hatari sana.
Nilikuwa naangqlia live anavyochambua hoja kwa hoja kuwaelezea Watanzania kwa nini wanasema No Reform No Election.
Nonso alizokuwa anatema Lissu hata uwe kilaza wa mwisho lazima utamwelewa. Alikuwa anatoa na takwimu sahihi bila kusoma popote.
Naona Simu itakuwa imetoka Addis kumwambia pedeshee wa TCRA akatw mtandao watu wasiendelee kula madini live
Kweli CCM maji ya shingoπ π π π
Lissu akiwa peke yake sisi tuwe 10+Imagine Bi Kizimkazi anasimama mdahalo na Lissu, si itakuwa aibu ya karne hiyo bandugu????!!!!.
Madini ambayo umeshindwa kuyaandika humu. Kwa kifupi, Lissu atakuwa kwa stress Kali sana. Subiri baada ya Oktoba, 2025 baada ya Uchaguzi Mkuu.Huyu Tundu Lissu ni mtu wa hatari sana.
Nilikuwa naangqlia live anavyochambua hoja kwa hoja kuwaelezea Watanzania kwa nini wanasema No Reform No Election.
Nonso alizokuwa anatema Lissu hata uwe kilaza wa mwisho lazima utamwelewa. Alikuwa anatoa na takwimu sahihi bila kusoma popote.
Naona Simu itakuwa imetoka Addis kumwambia pedeshee wa TCRA akatw mtandao watu wasiendelee kula madini live
Kweli CCM maji ya shingoπ π π π
Sema kweli! Ila watakuteka!Huyu Tundu Lissu ni mtu wa hatari sana.
Nilikuwa naangqlia live anavyochambua hoja kwa hoja kuwaelezea Watanzania kwa nini wanasema No Reform No Election.
Nonso alizokuwa anatema Lissu hata uwe kilaza wa mwisho lazima utamwelewa. Alikuwa anatoa na takwimu sahihi bila kusoma popote.
Naona Simu itakuwa imetoka Addis kumwambia pedeshee wa TCRA akatw mtandao watu wasiendelee kula madini live
Kweli CCM maji ya shingoπ π π π
Mwamba mimi sikuelew wew upo upande gani?Ukifanikiwa kukishinda kifo, unakuwa mtu asiyezuilika.
Lissu apewe tu mamlaka atuongoze
Kushinda au kushindwa hakutengui ukweli ulioueleza.Madini ambayo umeshindwa kuyaandika humu. Kwa kifupi, Lissu atakuwa kwa stress Kali sana. Subiri baada ya Oktoba, 2025 baada ya Uchaguzi Mkuu.
TUNDU LISSU ni moto wa kuotea mbali...hii nchi ingekuwa na kina TUNDU LISSU kama watano ingechangamka sana ila ndio ivyo tena imejaa kina juma lokole na kina James delicious....HATARI SANAIwapo elimu anayoitoa TAL ,ataendelea kuitoa nchi nzima,mjini na vijijini, Kuna dalili elimu hii,ikaiondoa CCM madarakani 2030.