Pre GE2025 Kwa mawe aliyokuwa anarusha Tundu Lissu leo Ikungi, imebidi tu wakate mtandao

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Nobody can stop reggae

Nobody can stop elections
 
Wasiyempenda kajaπŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
 
Wasiyempenda kajaπŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
Adui mkubwa wa Tanzania ni siasa

And we fall into the same trap

Come January 2026 Mtakua mnalalama tu Kwa ushabiki

Lissu can’t shake the bridge because wale wazungu kule kwao wameamua kufocus on their deed
 
TUNDU LISSU ni moto wa kuotea mbali...hii nchi ingekuwa na kina TUNDU LISSU kama watano ingechangamka sana ila ndio ivyo tena imejaa kina juma lokole na kina James delicious....HATARI SANA
Huwa najiuliza sana nashindwa kupata jibu. Hivi CCM kwa wingi wao na ukubwa na ukongwe wa chama chao, kumekosekana watu wenye utimamu wa kujua nchi inaelekea kubaya wakadai mabadiliko? Wote mmekubali kuwa sehemu ya historia ya angulo la nchi kisa tu ni maslahi ya muda mfupi wanayoyapata?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…