Kwa mazingira ya biashara Tanzania, mikopo ni kinga ya lazima kwa biashara yako

Kwa mazingira ya biashara Tanzania, mikopo ni kinga ya lazima kwa biashara yako

Mikopo Consultant

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2024
Posts
529
Reaction score
1,150
Kwakuwa watanzania wengi wajasiriamali bado ni wageni wa masuala ya kifedha na mikopo, sio vibaya tukaelimishana kuhusu huchi kitu. Mazingira ya biashara Tanzania sote twayajua, unaweza lala una biashara ukaamka huna biashara, refer ile case ya masoko kuungua. Au unalala una biashara yako, kesho yake unaamka unakutana na TRA wanasema wanakudai kodi ya malimbikizo bilioni moja au wakati mwingine biashara inafungwa kabisa. Au unasikia account ya benki imefungwa.

Kwa mazingira hatarishi kama hayo kwenye biashara, kuwa na mkopo benki kunatoa kinga kwa mmiliki wa biashara. Mfano kwa suala la majanga kama moto kwenye biashara, ikiwa ulichukua mkopo benki na kununua stocks maana yake kuna kipengele ambacho benki huwa wanaweka, kwamba bidhaa zinakuwa insured na majanga kama moto n.k.

Kwa upande mwingine na wa kuzingatia, biashara yenye mkopo benki sio rahisi sana kupigwa tanji na mamlaka za kodi i.e. kufungwa kwasababu hiyo hatua itakuwa na collateral damage kwenye taasisi za fedha zilizokukopesha. Ila biashara isiyo na mkopo maana yake ni kama binti ambaye ni bikra kwamba anakuwa attractive kwa watu wengi.

Wakati mwngine kama biashara yako ina qualify kupata mkopo wa milioni 200, wewe ichukue tu hiyo hela ukawekeze pembezoni kwenye nyumba au kwenye bonds maana yake inakupa ulinzi mkubwa sana incase kitatokea chochote.

Unakuta mfanyabiashara wa Tanzania anajisifu kutokuwa na mkopo benki, hili sio jambo la kujisifu hata kidogo ndugu zanguni. Nakaribisha michango.

Kwa usaidizi wowote kuhusiana na masuala ya mikopo au ushauri wa kupata mikopo usisite kuwasiliana na mimi. Nina ujuzi mkubwa kwenye haya masuala.

Karibuni.
 
Kwakuwa watanzania wengi wajasiriamali bado ni wageni wa masuala ya kifedha na mikopo, sio vibaya tukaelimishana kuhusu huchi kitu. Mazingira ya biashara Tanzania sote twayajua, unaweza lala una biashara ukaamka huna biashara, refer ile case ya masoko kuungua. Au unalala una biashara yako, kesho yake unaamka unakutana na TRA wanasema wanakudai kodi ya malimbikizo bilioni moja au wakati mwingine biashara inafungwa kabisa. Au unasikia account ya benki imefungwa.

Kwa mazingira hatarishi kama hayo kwenye biashara, kuwa na mkopo benki kunatoa kinga kwa mmiliki wa biashara. Mfano kwa suala la majanga kama moto kwenye biashara, ikiwa ulichukua mkopo benki na kununua stocks maana yake kuna kipengele ambacho benki huwa wanaweka, kwamba bidhaa zinakuwa insured na majanga kama moto n.k.

Kwa upande mwingine na wa kuzingatia, biashara yenye mkopo benki sio rahisi sana kupigwa tanji na mamlaka za kodi i.e. kufungwa kwasababu hiyo hatua itakuwa na collateral damage kwenye taasisi za fedha zilizokukopesha. Ila biashara isiyo na mkopo maana yake ni kama binti ambaye ni bikra kwamba anakuwa attractive kwa watu wengi.

Wakati mwngine kama biashara yako ina qualify kupata mkopo wa milioni 200, wewe ichukue tu hiyo hela ukawekeze pembezoni kwenye nyumba au kwenye bonds maana yake inakupa ulinzi mkubwa sana incase kitatokea chochote.

Unakuta mfanyabiashara wa Tanzania anajisifu kutokuwa na mkopo benki, hili sio jambo la kujisifu hata kidogo ndugu zanguni. Nakaribisha michango.

Kwa usaidizi wowote kuhusiana na masuala ya mikopo au ushauri wa kupata mikopo usisite kuwasiliana na mimi. Nina ujuzi mkubwa kwenye haya masuala.

Karibuni.
Tupeni mbinu za kukopa bank wakuu maana hizi online applications nahisi nimeshazimaliza.
 
Tupeni mbinu za kukopa bank wakuu maana hizi online applications nahisi nimeshazimaliza.
Unajishughulisha na biashara gani?

Ila kitu cha kwanza hakikisha una mahusiano ya kibenki tayari. Hii maana yake itakutengenezea mahusiano na kuaminika.

Pendelea sana kupitisha pesa ya mauzo benki hata kama sio yote, wewe hakikisha pesa fulani huwa inapita bank kwenye akaunt yako ya biashara.

Hiyo ndo first step
 
Kwakuwa watanzania wengi wajasiriamali bado ni wageni wa masuala ya kifedha na mikopo, sio vibaya tukaelimishana kuhusu huchi kitu. Mazingira ya biashara Tanzania sote twayajua, unaweza lala una biashara ukaamka huna biashara, refer ile case ya masoko kuungua. Au unalala una biashara yako, kesho yake unaamka unakutana na TRA wanasema wanakudai kodi ya malimbikizo bilioni moja au wakati mwingine biashara inafungwa kabisa. Au unasikia account ya benki imefungwa.

Kwa mazingira hatarishi kama hayo kwenye biashara, kuwa na mkopo benki kunatoa kinga kwa mmiliki wa biashara. Mfano kwa suala la majanga kama moto kwenye biashara, ikiwa ulichukua mkopo benki na kununua stocks maana yake kuna kipengele ambacho benki huwa wanaweka, kwamba bidhaa zinakuwa insured na majanga kama moto n.k.

Kwa upande mwingine na wa kuzingatia, biashara yenye mkopo benki sio rahisi sana kupigwa tanji na mamlaka za kodi i.e. kufungwa kwasababu hiyo hatua itakuwa na collateral damage kwenye taasisi za fedha zilizokukopesha. Ila biashara isiyo na mkopo maana yake ni kama binti ambaye ni bikra kwamba anakuwa attractive kwa watu wengi.

Wakati mwngine kama biashara yako ina qualify kupata mkopo wa milioni 200, wewe ichukue tu hiyo hela ukawekeze pembezoni kwenye nyumba au kwenye bonds maana yake inakupa ulinzi mkubwa sana incase kitatokea chochote.

Unakuta mfanyabiashara wa Tanzania anajisifu kutokuwa na mkopo benki, hili sio jambo la kujisifu hata kidogo ndugu zanguni. Nakaribisha michango.

Kwa usaidizi wowote kuhusiana na masuala ya mikopo au ushauri wa kupata mikopo usisite kuwasiliana na mimi. Nina ujuzi mkubwa kwenye haya masuala.

Karibuni.
Tupeni mbinu za kukopa bank wakuu maana hizi online applications nahisi nimeshazimaliza
Unajishughulisha na biashara gani?

Ila kitu cha kwanza hakikisha una mahusiano ya kibenki tayari. Hii maana yake itakutengenezea mahusiano na kuaminika.

Pendelea sana kupitisha pesa ya mauzo benki hata kama sio yote, wewe hakikisha pesa fulani huwa inapita bank kwenye akaunt yako ya biashara.

Hiyo ndo first step
Ok nimekupata na ni bank gani nzuri na naweza kupata mkopo kwa haraka?
 
Unajishughulisha na biashara gani?

Ila kitu cha kwanza hakikisha una mahusiano ya kibenki tayari. Hii maana yake itakutengenezea mahusiano na kuaminika.

Pendelea sana kupitisha pesa ya mauzo benki hata kama sio yote, wewe hakikisha pesa fulani huwa inapita bank kwenye akaunt yako ya biashara.

Hiyo ndo first step
Naomba niulize hapo. Nikiwa napitisha hela benki, hata zile zinazopita kwenye namba yangu ya simu benki inaweza kuziona kuwa ni mimi. Mfano nimetuma 500k kwa akaunti yangu ya benki XXX, pia nikatuma 500k kwa wakala ila nikaandika namba yangu ileile benki wanayotambua.
 
Tupeni mbinu za kukopa bank wakuu maana hizi online applications nahisi nimeshazimaliza

Ok nimekupata na ni bank gani nzuri na naweza kupata mkopo kwa haraka?
Ushauri wa kwanza, always usikimbilie banks ambazo tayar ni Giants kama CRDB au NMB, huko utakuwa disappointed. Kuna benk ndogo zenye mikopo ya haraka na bei au riba nafuu kwa wafanya biashara, huko ndo pakuanza napo kutafuta mahusiano.

Ukishakuwa mteja wao na unapeleka mauzo yako yanasoma kwenye akaunti maana yake hapo baadae itakutengenezea history ambayo itakuwa ni kigezo kimojawapo chenye nguvu sana kwa maafisa mikopo kukufikiria kukupa mkopo.
 
Naomba niulize hapo. Nikiwa napitisha hela benki, hata zile zinazopita kwenye namba yangu ya simu benki inaweza kuziona kuwa ni mimi. Mfano nimetuma 500k kwa akaunti yangu ya benki XXX, pia nikatuma 500k kwa wakala ila nikaandika namba yangu ileile benki wanayotambua.
Hata wasipoona kwamba ni wewe umetuma haina shida.. kwasababu kwenye biashara kuna wateja wanakulipa direct kwa ku deposit kwenye account yako.

Advantage ya pesa kupita kwenye account ya benki huwa inakuja kuonekana zaidi utapofanyiwa assessment ya mkopo. Mfano kama akaunti yako kila mwezi inaingiza Milioni 8 maana yake inaweza kutumika asaumption kwamba hata ukipewa mkopo wa marejesho ya milioni 1 kwa mwezi ni rahisi kulipa.

Tofauti na mtu asiye na records benki hawezi kuaminika kama biashara yake inatengeneza pesa kwasababu ukiangalia benk statement yake itakuwa haina miamala
 
Hivi ni kweli NMB/CRDB Ukichukua mkopo wa miaka 2-3, riba yao ni 13%?
Riba nyingi zategemea risk profile ya mkopaji.... Benki kuna mikopo mpaka ya asilimia 10. Hiyo 13% yaweza kuwa ni kwa watumishi ni kweli kuna muda walikuwa wanakopesha hapo ila kwa sasa itakuwa imepanda kidogo kwenye 14

Japo kuna wateja wengine benk hizo hizo wanakopa kwa rate za 17 kulingana na risks profile zao
 
Benki za kitanzania wanataka (wanalazimisha) uwe na hati ya kiwanja kwenye location nzuri ukubwa kuanzia 1000sqm na kuendelea mpaka 10,000sqm hata 100,000sqm. Ndani kuwe na kitu kama Nyumba, Bar, Guest house, hotel, godown,ghorofa, kiwanda, store,fremu,sheli, shule e.t.c



NB: ndio maana matajiri wengi wa mikopo wanakuwa na viwanja viiiiingiii mfano;unakuta mtu mmoja ana viwanja 70, wanaambiwa wewe na magesti,mahoteli,masheli, mafremu, mashule,maukumbi, maapartments, huku wakiwa na biashara zingine zikiendelea. Hayo ni maagizo toka benki hasa CRDB na NMB wanataka angalau uwe na hoteli au gesti ili wakupe mkopo wa maana kwa bond ya guest kuanzia 70m mpaka 300m kutegemea na eneo gesti ilipo na ukubwa wa uwanja na kwa bondi ya hotels ni 500m mpaka 5B+ inategemea na location ya hoteli na ukubwa na gharama ya ujenzi wa hotel.
 
Benki za kitanzania wanataka (wanalazimisha) uwe na hati ya kiwanja kwenye location nzuri ukubwa kuanzia 1000sqm na kuendelea mpaka 10,000sqm hata 100,000sqm. Ndani kuwe na kitu kama Nyumba, Bar, Guest house, hotel, godown,ghorofa, kiwanda, store,fremu,sheli, shule e.t.c



NB: ndio maana matajiri wengi wa mikopo wanakuwa na viwanja viiiiingiii, wanakuwa na magesti,mahoteli,masheli, mafremu, huku wakiwa na biashara zingine zikiendelea. Hayo ni maagizo toka benki hasa CRDB na NMB wanataka angalau uwe na hoteli au gesti ili wakupe mkopo wa maana kwa bond ya guest kuanzia 70m mpaka 300m kutegemea na eneo gesti ilipo na ukubwa wa uwanja na kwa bondi ya hotels ni 500m mpaka 5B+ inategemea na location ya hoteli na ukubwa na gharama ya ujenzi wa hotel.
Kwenye issue
Benki za kitanzania wanataka (wanalazimisha) uwe na hati ya kiwanja kwenye location nzuri ukubwa kuanzia 1000sqm na kuendelea mpaka 10,000sqm hata 100,000sqm. Ndani kuwe na kitu kama Nyumba, Bar, Guest house, hotel, godown,ghorofa, kiwanda, store,fremu,sheli, shule e.t.c



NB: ndio maana matajiri wengi wa mikopo wanakuwa na viwanja viiiiingiii unakuta mtu mmoja ana viwanja 70, wanaambiwa wewe na magesti,mahoteli,masheli, mafremu, huku wakiwa na biashara zingine zikiendelea. Hayo ni maagizo toka benki hasa CRDB na NMB wanataka angalau uwe na hoteli au gesti ili wakupe mkopo wa maana kwa bond ya guest kuanzia 70m mpaka 300m kutegemea na eneo gesti ilipo na ukubwa wa uwanja na kwa bondi ya hotels ni 500m mpaka 5B+ inategemea na location ya hoteli na ukubwa na gharama ya ujenzi wa hotel.
Kwanza sio mikopo yote itakulazimu kuweka dhamana au sio bank zote wanalazimisha kuweka dhamana. Kuna mikopo mingi tu isiyo na dhamana mfano kuna kitu kinaitwa Invoice Discointing. Hiyo kama ukiwa tayar na mahusiano mazuri na benki na historia ya akaunti yako wanaifahamu labda kwa miaka hata 5 utashangaa unapatiwa mkopo kwa mda mchache.

Shida inakuja mtu kafungua akaunyi benki haina hata mwaka anakuja anataka milioni 100 hapo lazima benki watake kwanza kupata hati ya nyumba ya thamani ya milioni 200.

Ila kwa mteja wa siku nyingi na tayari wanamfahamu, dhamana ni kitu cha mwisho sana sema huwa kinaonekana kuwa cha kwanza
 
Back
Top Bottom