Kwa mazingira ya biashara Tanzania, mikopo ni kinga ya lazima kwa biashara yako

Kwa mazingira ya biashara Tanzania, mikopo ni kinga ya lazima kwa biashara yako

Kwenye issue

Kwanza sio mikopo yote itakulazimu kuweka dhamana au sio bank zote wanalazimisha kuweka dhamana. Kuna mikopo mingi tu isiyo na dhamana mfano kuna kitu kinaitwa Invoice Discointing. Hiyo kama ukiwa tayar na mahusiano mazuri na benki na historia ya akaunti yako wanaifahamu labda kwa miaka hata 5 utashangaa unapatiwa mkopo kwa mda mchache.

Shida inakuja mtu kafungua akaunyi benki haina hata mwaka anakuja anataka milioni 100 hapo lazima benki watake kwanza kupata hati ya nyumba ya thamani ya milioni 200.

Ila kwa mteja wa siku nyingi na tayari wanamfahamu, dhamana ni kitu cha mwisho sana sema huwa kinaonekana kuwa cha kwanza
Mkopo bila hati labda microfinance ndogo ndogo na benki ndogo ndogo na mkopo unakuwa mdogo.
Kwa benki kubwa Tz level za Crdb,nmb,tcb,exim,nbc,azania,akiba, lazima hati ya kiwanja iwekwe bond yenye thamani kubwa kuliko mkopo.


Naomba unitajie hiyo benki inayokopesha bila hati.
 
Mkopo bila hati labda microfinance ndogo ndogo na benki ndogo ndogo na mkopo unakuwa mdogo.
Kwa benki kubwa Tz level za Crdb,nmb,tcb,exim,nbc,azania,akiba, lazima hati ya kiwanja iwekwe bond yenye thamani kubwa kuliko mkopo.


Naomba unitajie hiyo benki inayokopesha bila hati.
Mkuu mambo yanayohusu mikopo ni sanaa na sio sayansi yenye mstari mnyoofu kama rula.

Kuna watu wanapata mikopo kwa dhamana ya corporate guarantee ya kampuni fulani (na hii guarantee ni kitu intangible)

Na kuwa na hati ya nyumba nzuri pia sio kigezo cha kupata mkopo, kwani sio hati na nyumba kinacholipa mkopo, mkopo unalipwa kwa makusanyo ya biashara au chanzo chako cha mapato ambacho kipo constant.

Kuna watu kimtaani wanakuambia "mimi nina hati bana nataka benki wakanikopeshe" wakati unakuta hana biashara yenye cash flow yeyote ya kulipa mkopo
 
Mkuu mambo yanayohusu mikopo ni sanaa na sio sayansi yenye mstari mnyoofu kama rula.

Kuna watu wanapata mikopo kwa dhamana ya corporate guarantee ya kampuni fulani (na hii guarantee ni kitu intangible)

Na kuwa na hati ya nyumba nzuri pia sio kigezo cha kupata mkopo, kwani sio hati na nyumba kinacholipa mkopo, mkopo unalipwa kwa makusanyo ya biashara au chanzo chako cha mapato ambacho kipo constant.

Kuna watu kimtaani wanakuambia "mimi nina hati bana nataka benki wakanikopeshe" wakati unakuta hana biashara yenye cash flow yeyote ya kulipa mkopo
Kibongobongo mikopo ni hati+connection
 
Hivi ni kweli NMB/CRDB Ukichukua mkopo wa miaka 2-3, riba yao ni 13%?
Si kweli.

Hakuna bank yenye riba chini ya 18% kwa mwaka.

Miaka 2 ni 36%, na miaka 3 ni 54%.

Wanakata katika Reducing balance.

-----

Ushauri wangu WaTZ unganeni, unganisheni nguvu kwa watu wenye nia na waaminifu.

Bank na taasisi za fedha zitawafilisi.

Wanaonufaika na bank ni wafanyabiashara wakubwa, ambao wengi hutumia OVERDRAFT (yaani kama SONGESHA) na siyo mikopo ya miaka mingi kwa riba ya 18% kwa mwaka.

Huyu mshauri anasema Bima, kiuhalisia hiyo Bima siyo ya biashara yako, ni bima ya mkopo wajo, ambao hukatwa kwenye lesa uliyoomba na kuilipia riba.

Yaani ukikopa milioni 10, wana-calculate kwanza riba kwenye milioni 10, halafu hupati hiyo milioni 10, maana itakatwa Processing fee, bima na VAT then unapewa baki.
 
Ov
Si kweli.

Hakuna bank yenye riba chini ya 18% kwa mwaka.

Miaka 2 ni 36%, na miaka 3 ni 54%.

Wanakata katika Reducing balance.

-----

Ushauri wangu WaTZ unganeni, unganisheni nguvu kwa watu wenye nia na waaminifu.

Bank na taasisi za fedha zitawafilisi.

Wanaonufaika na bank ni wafanyabiashara wakubwa, ambao wengi hutumia OVERDRAFT (yaani kama SONGESHA) na siyo mikopo ya miaka mingi kwa riba ya 18% kwa mwaka.

Huyu mshauri anasema Bima, kiuhalisia hiyo Bima siyo ya biashara yako, ni bima ya mkopo wajo, ambao hukatwa kwenye lesa uliyoomba na kuilipia riba.

Yaani ukikopa milioni 10, wana-calculate kwanza riba kwenye milioni 10, halafu hupati hiyo milioni 10, maana itakatwa Processing fee, bima na VAT then unapewa baki.
Overdraft si ni mkopo tu, ila naskia iwe na akaunt ya benk ya biashara kama ya kampuni hiv
 
Ov
Overdraft si ni mkopo tu, ila naskia iwe na akaunt ya benk ya biashara kama ya kampuni hiv
OVerdraft ni mkopo, ila ukipewa riba inahesabika mpaka siku ukilipa inaishia hapo.

Ni kama SoNGESHA ya Voda.

Wajanja wanachukua bank, wanaagiza mźigo, kadri wanavyouza wanalipa deni, mpaka linaisha.

Ni tifauti na mikopo yetu ya kufilisj ya 18% kwa mwaka.
 
OVerdraft ni mkopo, ila ukipewa riba inahesabika mpaka siku ukilipa inaishia hapo.

Ni kama SoNGESHA ya Voda.

Wajanja wanachukua bank, wanaagiza mźigo, kadri wanavyouza wanalipa deni, mpaka linaisha.

Ni tifauti na mikopo yetu ya kufilisj ya 18% kwa mwaka.
Ila mabenki ya Tanzania yanatesa mno.
 
Si kweli.

Hakuna bank yenye riba chini ya 18% kwa mwaka.

Miaka 2 ni 36%, na miaka 3 ni 54%.

Wanakata katika Reducing balance.

-----

Ushauri wangu WaTZ unganeni, unganisheni nguvu kwa watu wenye nia na waaminifu.

Bank na taasisi za fedha zitawafilisi.

Wanaonufaika na bank ni wafanyabiashara wakubwa, ambao wengi hutumia OVERDRAFT (yaani kama SONGESHA) na siyo mikopo ya miaka mingi kwa riba ya 18% kwa mwaka.

Huyu mshauri anasema Bima, kiuhalisia hiyo Bima siyo ya biashara yako, ni bima ya mkopo wajo, ambao hukatwa kwenye lesa uliyoomba na kuilipia riba.

Yaani ukikopa milioni 10, wana-calculate kwanza riba kwenye milioni 10, halafu hupati hiyo milioni 10, maana itakatwa Processing fee, bima na VAT then unapewa baki.
Duh ss kama n hivyo c kwenye 10 million itabaki 5 au 7?
 
Braza hii bongo hakuna mkopo bila dhamana.
Mimi binafsi nina kampuni tena ina biashara nzuri tu.
Mwaka jana na mwaka huu nishatafuta sanaa pesa kwa ajili ya kufanya jambo fulani la kukuza soko langu, ila kila nilipoingia walitaka DHAMANA.

Wanakwambia
1. Uwe mteja wetu wa zaidi ya miezi 6
2. Uwe na dhamana isiyo hamishika.

Bila dhamana kwa benki za bongo HUTOBOI.

#YNWA
#YANGA_BINGWA
 
Mengi yanatapeli wateja.

Ndio maana bank kama NMB, CRDB zina miaka mingi lakini hazina matawi nje. Maana bongo zinajiendesha mitapeli.

Equity ni bank ya Kenya imeanza juzi tu lakini iko chi zote za Afrika Mashariki
Hao NMB na wenzake wanabebwa na serikali na mikopo ya matrilioni inaenda kukopesha watumishi wa umma kwenye mishahara yao. Asilimia fulani inayobakia ndio inaenda kwa wafanyabiashara
 
Braza hii bongo hakuna mkopo bila dhamana.
Mimi binafsi nina kampuni tena ina biashara nzuri tu.
Mwaka jana na mwaka huu nishatafuta sanaa pesa kwa ajili ya kufanya jambo fulani la kukuza soko langu, ila kila nilipoingia walitaka DHAMANA.

Wanakwambia
1. Uwe mteja wetu wa zaidi ya miezi 6
2. Uwe na dhamana isiyo hamishika.

Bila dhamana kwa benki za bongo HUTOBOI.

#YNWA
#YANGA_BINGWA
Kibongobongo mikopo ya kibiashara wanataka hati moja au zaidi, ambayo ni kiwanja cha location nzuri na ndani kuwe na kitu kama nyumba, apartment, fremu, bar, gesti, hoteli, sheli,shule, kiwanda, godown, stoo n.k


Ndio maana matajiri wa kibongobongo unakuta ana hati 70. Au ana hoteli na magesti mengi ili kurahisisha kupata mikopo ili kubusti biashara zao. Kwa hiyo hizo hoteli na gesti dhumuni ni mikopo. Masuala ya wateja wa hotel au gesti sio kipaumbele.
 
Mhh labda kama wamefanya maboresho sahivi... ila wapo volatile sana miaka 3 au 4 walikuwa wanapumua kwa shida sana ila nahisi kuna transition ina take place maana nawaona wamerudi kwa speed japo
Wanatoa hadi 400 hao sio poa,hizo M10 ndio kama njugu
 
Back
Top Bottom