Kwa mazingira ya biashara Tanzania, mikopo ni kinga ya lazima kwa biashara yako

Kwa mazingira ya biashara Tanzania, mikopo ni kinga ya lazima kwa biashara yako

Online nimekopa na nimekinbia na line nimebadili...
😀 😀 😀 hapo unajiharibia tu mkuu, kama una mpango wa kukopa benki na hauna dhamana. Wanakuwa wanakujua mkuu endapo jina lakolitatokea katika list ya wadaiwa sugu na kama unatumia vitambulisho vyako ndio unaharibu vizuri.

Mfano siku hizi kuna mikopo ya simu, mtu unaenda kumfanyia mtu mchakato kwa kitambulisho chako anakupoza. Sasa tabu nikuwa siku akikacha wewe unasomeka kama unadaiwa, hata kama unaona ahawakutafuti. Kuna namna inawezakuja kukupa ugumu mbele
 
Kwakuwa watanzania wengi wajasiriamali bado ni wageni wa masuala ya kifedha na mikopo, sio vibaya tukaelimishana kuhusu huchi kitu. Mazingira ya biashara Tanzania sote twayajua, unaweza lala una biashara ukaamka huna biashara, refer ile case ya masoko kuungua. Au unalala una biashara yako, kesho yake unaamka unakutana na TRA wanasema wanakudai kodi ya malimbikizo bilioni moja au wakati mwingine biashara inafungwa kabisa. Au unasikia account ya benki imefungwa.

Kwa mazingira hatarishi kama hayo kwenye biashara, kuwa na mkopo benki kunatoa kinga kwa mmiliki wa biashara. Mfano kwa suala la majanga kama moto kwenye biashara, ikiwa ulichukua mkopo benki na kununua stocks maana yake kuna kipengele ambacho benki huwa wanaweka, kwamba bidhaa zinakuwa insured na majanga kama moto n.k.

Kwa upande mwingine na wa kuzingatia, biashara yenye mkopo benki sio rahisi sana kupigwa tanji na mamlaka za kodi i.e. kufungwa kwasababu hiyo hatua itakuwa na collateral damage kwenye taasisi za fedha zilizokukopesha. Ila biashara isiyo na mkopo maana yake ni kama binti ambaye ni bikra kwamba anakuwa attractive kwa watu wengi.

Wakati mwngine kama biashara yako ina qualify kupata mkopo wa milioni 200, wewe ichukue tu hiyo hela ukawekeze pembezoni kwenye nyumba au kwenye bonds maana yake inakupa ulinzi mkubwa sana incase kitatokea chochote.

Unakuta mfanyabiashara wa Tanzania anajisifu kutokuwa na mkopo benki, hili sio jambo la kujisifu hata kidogo ndugu zanguni. Nakaribisha michango.

Kwa usaidizi wowote kuhusiana na masuala ya mikopo au ushauri wa kupata mikopo usisite kuwasiliana na mimi. Nina ujuzi mkubwa kwenye haya masuala.

Karibuni.
Umenikumbusha juzi kati Kuna mtu kaniambia Jane hutaki mikopo utaishia kutusindikiza tu dah🤣🤣🤣
 
Kwenye issue

Kwanza sio mikopo yote itakulazimu kuweka dhamana au sio bank zote wanalazimisha kuweka dhamana. Kuna mikopo mingi tu isiyo na dhamana mfano kuna kitu kinaitwa Invoice Discointing. Hiyo kama ukiwa tayar na mahusiano mazuri na benki na historia ya akaunti yako wanaifahamu labda kwa miaka hata 5 utashangaa unapatiwa mkopo kwa mda mchache.

Shida inakuja mtu kafungua akaunyi benki haina hata mwaka anakuja anataka milioni 100 hapo lazima benki watake kwanza kupata hati ya nyumba ya thamani ya milioni 200.

Ila kwa mteja wa siku nyingi na tayari wanamfahamu, dhamana ni kitu cha mwisho sana sema huwa kinaonekana kuwa cha kwanza
Juzi nimeanda crdb,hela ndogo tuu nilikua nataka ila masharti kibaooooo.


Mtu mwaka huu tu account yangu kwao imekua na mzunguko wa 50m,ila wananinyima 5m. Wanata hadi title deed ya kiwanja.


Simu yangu yenyewe tuu transaction yake kwa mwaka ni 10m
 
Back
Top Bottom