Kwa mbali nimeanza kuuelewa ulinzi mkali wa Rais...

Kwa mbali nimeanza kuuelewa ulinzi mkali wa Rais...

Hivi Magufuli ulinzi wake ni mkali kushinda wa waliomtangulia?

Ndio na mikwara kibao ya kuwapotezea watu muda pindi msafara wake unapopita. Sio ajabu barabara kufungwa zaidi ya masaa mawili kabla hajapita.
 
Nahisi Raisi alikuwa anatamani aongee mengi kutujulisha watanzania jinsi watu wanavyoitaka roho yake lakini alikuwa anashindwa.

Ndio ujue zile kelele za Mange na wenzie kuwa walinzi wanatoka nchi jirani zilikuwa zinatoka kwa watu wa karibu yake walioshindwa kumdhuru.

Ili ufanikiwe kumdhuru lazima uwe na mamluki ndani ya walinzi wake.
Hivi unaamini kuwa hakuna mamluki?
Nakuhakikishia kuwa duniani hakuna usalama wa 100%
Nalog off
 
Kweli ulinzi mkali kabisa unahitajika, aongeze zaidi ulinzi, kuanzia, hasa katika safari zake zote, hata ktk ndege zake aongeze ulinzi kote yaani, sbb kumbe maadui zake ni watu wakubwa wastaafu walioshika madaraka makubwa.. Kupambana na maadui kama hawa kweli unahitaji kutumia njia zote kushinda. Naunga mkono hoja aongeze ulinzi mkali kabisa

Sasa hao wastaafu anaweka ulinzi mkali hivyo, je ingekuwa maadui zake ni vijana si angewaleta CIA kabisa?
 
Sasa nimeaza kumuelewa magufuli.watu hii inchi walifanya ya kwao sasa mkuu anataka kuondoa dhana hiyo
Wote wanaopinga hatua anazochukua ni waathirika wa hiki kinachoendelea yaa wanashiriki moves za kumkwamisha
 
Hakuna lolote, yani kusiwe na ushindani wa kisiasa? Watu kutaka tu kugombea 2020 nayo inaonekana ni sababu ya mtu kujiongezea ulinzi? Watu wasikosoee?

Basi hakuna haja ya demokrasia. Hivi JK alivyokuwa anakosolewa na hata kutaka kupokonywa kiti ndani ya chama na Edo naye angesema aongezewe ulinzi.

Tusidanganyane, tusitafute kichaka cha kijifichia. Tumekwama kama Taifa, mtu kaharibu mambo wazalendo wanaona sasa inatosha hali hii haiwezi kwenda miaka 10. Kujenga ni kazi ngumu na ya muda mrefu kubomoa ni kazi kidogo sana.

Biashara vilio, kilimo huko ni vilio, uchumi hoi, watumishi hoi, mwaka wa tano huu tunazungumzia Stigler na SG ambao mpaka tukope ndio tujisogezee . Nini cha kujivunia kama Taifa?
Tunahitaji mabadiliko kwa kweli
Nalog off
 
Hakuna lolote, yani kusiwe na ushindani wa kisiasa? Watu kutaka tu kugombea 2020 nayo inaonekana ni sababu ya mtu kujiongezea ulinzi? Watu wasikosoee?

Basi hakuna haja ya demokrasia. Hivi JK alivyokuwa anakosolewa na hata kutaka kupokonywa kiti ndani ya chama na Edo naye angesema aongezewe ulinzi.

Tusidanganyane, tusitafute kichaka cha kijifichia. Tumekwama kama Taifa, mtu kaharibu mambo wazalendo wanaona sasa inatosha hali hii haiwezi kwenda miaka 10. Kujenga ni kazi ngumu na ya muda mrefu kubomoa ni kazi kidogo sana.

Biashara vilio, kilimo huko ni vilio, uchumi hoi, watumishi hoi, mwaka wa tano huu tunazungumzia Stigler na SG ambao mpaka tukope ndio tujisogezee . Nini cha kujivunia kama Taifa?

Mimi nadhani tunaposema mtu fulani ni mzalendo basi afunuliwe tuyaone matendo yake. Nani amejenga ikulu kijijini kwake tangia Nyerere mpaka Jk?
Uwanja wa ndege?
Nk
Je hawa wanaoitwa sio wazalendo wameharibu wapi nadhani tuyaweke bayana . Ni wazo tu
 
Hakuna lolote, yani kusiwe na ushindani wa kisiasa? Watu kutaka tu kugombea 2020 nayo inaonekana ni sababu ya mtu kujiongezea ulinzi? Watu wasikosoee?

Basi hakuna haja ya demokrasia. Hivi JK alivyokuwa anakosolewa na hata kutaka kupokonywa kiti ndani ya chama na Edo naye angesema aongezewe ulinzi.

Tusidanganyane, tusitafute kichaka cha kijifichia. Tumekwama kama Taifa, mtu kaharibu mambo wazalendo wanaona sasa inatosha hali hii haiwezi kwenda miaka 10. Kujenga ni kazi ngumu na ya muda mrefu kubomoa ni kazi kidogo sana.

Biashara vilio, kilimo huko ni vilio, uchumi hoi, watumishi hoi, mwaka wa tano huu tunazungumzia Stigler na SG ambao mpaka tukope ndio tujisogezee . Nini cha kujivunia kama Taifa?


Usisahau Kikwete aliongezewa ulinzi usionekana na Sheikh Yahaya almaruhumu.


Kwa kauli hizi za baadhi ya wastafu zilizo jaa chuki ya bila kificho ni dhahiri ulinzi wa Rais unahitajika kuimarishwa na kuongezewa ubunifu na mbinu mpya kila wakati. Jamaa wana chuki na kinyongo dhidi yake kwa kumaanisha. The best technique is to identify the persons wanachochea hizo chuki na kumshughulikia mmoja baada ya mwengine kwa njia itayooneka muafaka. Hivyo tu.
 
Kweli ulinzi mkali kabisa unahitajika, aongeze zaidi ulinzi, kuanzia, hasa katika safari zake zote, hata ktk ndege zake aongeze ulinzi kote yaani, sbb kumbe maadui zake ni watu wakubwa wastaafu walioshika madaraka makubwa.. Kupambana na maadui kama hawa kweli unahitaji kutumia njia zote kushinda. Naunga mkono hoja aongeze ulinzi mkali kabisa
Kama vipi asitoke ndani ya ikulu na nje ya nchi wasije wakapindua meza
 
Siku hizi ccm imepata watetezi wengi sana kuliko wakosoaji mana wale tuliowategemea kukikosoa hiki chama ndio wamekuwa watetezi hata maovu ya mheshimiwa hawayaoni hasa mleta madalakani hii
 
Hivi Magufuli ulinzi wake ni mkali kushinda wa waliomtangulia?
FB_IMG_1549781877339.jpg
 
Hakika tulimuhitaji Rais kama huyu wakuibadilisha Tanzania,pamoja na yote yanayoendelea Mimi nitampambani Rais wangu kwa njia yoyote hata kwa kuvuja damu
Rais wa kuibadili Tanzania au kuibadili chato ,lipeni wastaafu jamani nyie genge la wahuni wa kijani .
 
Sijui kuhusu quantity au quality ya ulinzi lakini visibly ulinzi wa Magufuli unaonekana umezidi sana kwa watangulizi. Sikumbuki kuona watu na bunduki wakiwa na Kikwete
Sikuwahi kuona Kikwete asindikizwe na Chopa juu akiwa anatembea kwa gari ardhini
 
Ulinzi wake unalenga kuwatisha raia zaidi.

Ukitizama kwenye mikutano yake, tofauti iliyopo kati ya wanamsafara na raia ni kubwa mno.

Yeye na msafara wake wapo na mashangingi na ma-AK47 masutizz huku raia ni vilio na malalamiko.

Kwa raia usafiri wao ni miguu yao, chakula ni cha kubangaiza, pesa ndio usiseme, elfu 20 kwa mwaka inasababisha vilio kila mahali....

Kwa hali hiyo anayoiona huko anakopita ni lazima apate hofu.
 
Back
Top Bottom