Kwa mbali nimeanza kuuelewa ulinzi mkali wa Rais...

Kwa mbali nimeanza kuuelewa ulinzi mkali wa Rais...

Kikulacho ki nguoni mwako... Kabila alidunguliwa na chawa wake
Nilitamani uandike kuhusu tunguli maana ndio fani yako, huku kwingine hupawezi mkuu! Tofautisha Kabila era, na wakati huu...hata poronium ya aina Mwaky haitumiki tena!
 
Ukwapuzi nyumba za Serikali, ununuzi wa kivuko uozo bilioni 8, 6.5 trillions kwenye ripoti za CAG hazijulikani zilikopotelea na nduli wa chato kagomea ofisi ya CAG ifanye audit. Unadhani ni kwanini kagomea audit kama hakuna madudu ya kutisha!? Je, huyu ni mwizi na fisadi!?

Kweli ulinzi mkali kabisa unahitajika, aongeze zaidi ulinzi, kuanzia, hasa katika safari zake zote, hata ktk ndege zake aongeze ulinzi kote yaani, sbb kumbe maadui zake ni watu wakubwa wastaafu walioshika madaraka makubwa.. Kupambana na maadui kama hawa kweli unahitaji kutumia njia zote kushinda. Naunga mkono hoja aongeze ulinzi mkali kabisa
 
Usisahau Kikwete aliongezewa ulinzi usionekana na Sheikh Yahaya almaruhumu.


Kwa kauli hizi za baadhi ya wastafu zilizo jaa chuki ya bila kificho ni dhahiri ulinzi wa Rais unahitajika kuimarishwa na kuongezewa ubunifu na mbinu mpya kila wakati. Jamaa wana chuki na kinyongo dhidi yake kwa kumaanisha. The best technique is to identify the persons wanachochea hizo chuki na kumshughulikia mmoja baada ya mwengine kwa njia itayooneka muafaka. Hivyo tu.
Kuwa serious achana na 'chai' hizo. Kwani mbona huyu kaenda Malawi ziarani usiku kaenda mganga

Chuki kwa lipi? Hakuna jambo linasonga hiyo chuki inatoka wapi? Zaidi wanaona inatisha tu kuharibu Taifa. Yani leo Wakina Msekwa wawe na wivu huku wakina Rostam ndio wazalendo wanaokunywa chai white house
 
Hatari kwa hiyo watu wakitaka kugombea Urais ndani ya chama,2020 au 2025 basi ni maadui anahitaji ulinzi?
 
Siku hizi ccm imepata watetezi wengi sana kuliko wakosoaji mana wale tuliowategemea kukikosoa hiki chama ndio wamekuwa watetezi hata maovu ya mheshimiwa hawayaoni hasa mleta madalakani hii
Hilo zee limekuwa jinga kweli siku hizi
 
Wakati ule Makonda aliharibu kule Clouds fyekeo likamgeukia Nape. Leo kaharibu Musiba na makatibu wa zamani wamelalamika fyekeo limemla January.
Kuna vijana wanafaidi, wana ulinzi usioonekana hadi wakiitwa bungeni wanaingia na silaha hakuna wa kuuliza. Wanampa nini hadi hashtuki?
 
Ulinzi mkali kwasababu yeye anateka Watanzania na Kutwanga risasi wapinzani na vilevile kuua demokrasia
 
Kweli ulinzi mkali kabisa unahitajika, aongeze zaidi ulinzi, kuanzia, hasa katika safari zake zote, hata ktk ndege zake aongeze ulinzi kote yaani, sbb kumbe maadui zake ni watu wakubwa wastaafu walioshika madaraka makubwa.. Kupambana na maadui kama hawa kweli unahitaji kutumia njia zote kushinda. Naunga mkono hoja aongeze ulinzi mkali kabisa

Umejiuliza mkuu chanzo cha hao maadui wengi au wa karibu yake, kwanza kwa madaraka yale lazima awe na maadui wa karibu na mbali pia jingine labda kuna tabia za bwana mkuu zinahimiza maadui wengi kwa sasa kujitokeza na kubwa ni moja tu kudhibiti watu na hali sasa binaadam hajazoea hilo la kubanwa huko kuwe kuna sababu za msingi au hapana watu wataibuka wengi tu na pili namna anavyoendesha mambo mnasema ‘one man show’ wengine hawaoni kama hilo ni sahihi na hasa wale waliopigana ili yeye na chama chake wawe hapo
 
Back
Top Bottom