Ndebile
JF-Expert Member
- Sep 14, 2011
- 7,745
- 11,267
Kweli kavuruga uchumi hasa wa familia ya Makamba, Nape, Kinana, nk... kwa sisi tulio nje ya "system" maisha ni yale yale ya tangu awamu ya pili ya mzee Ruksa!Amevuruga sana uchumi na maisha ya watanzania kwa muda mchache sana.