Kwa mbali nimeanza kuuelewa ulinzi mkali wa Rais...

Kwa mbali nimeanza kuuelewa ulinzi mkali wa Rais...

Mara nyingine akili yako in fyatu.
Unawezaje kufananisha kitisho cha lowassa ambaye hakuwa na back up ya wastaafu na kitisho cha sasa chenye harufu ya nguvu ya watu waliowahi kushika dola?

Usiwe mjinga, unaposema watu waliowahi kushika dola unamaanisha nini? Mtu aliyewahi kuwa waziri mkuu huyo sio mshika dola? Ama hujui unachoongea dogo?
 
Usiwe mjinga, unaposema watu waliowahi kushika dola unamaanisha nini? Mtu aliyewahi kuwa waziri mkuu huyo sio mshika dola? Ama hujui unachoongea dogo?
Uwaziri Mkuu ni Dola gani?
Dola pekee ni yule mwenye mamlaka yote ndani ya nchi.
 
Usiwe mjinga, unaposema watu waliowahi kushika dola unamaanisha nini? Mtu aliyewahi kuwa waziri mkuu huyo sio mshika dola? Ama hujui unachoongea dogo?
Kama uwaziri mkuu ni authority/dola Pinda asingelia bungeni na kusema angekuwa rais....
!
 
Hakuna lolote, yani kusiwe na ushindani wa kisiasa? Watu kutaka tu kugombea 2020 nayo inaonekana ni sababu ya mtu kujiongezea ulinzi? Watu wasikosoee?

Basi hakuna haja ya demokrasia. Hivi JK alivyokuwa anakosolewa na hata kutaka kupokonywa kiti ndani ya chama na Edo naye angesema aongezewe ulinzi.

Tusidanganyane, tusitafute kichaka cha kijifichia. Tumekwama kama Taifa, mtu kaharibu mambo wazalendo wanaona sasa inatosha hali hii haiwezi kwenda miaka 10. Kujenga ni kazi ngumu na ya muda mrefu kubomoa ni kazi kidogo sana.

Biashara vilio, kilimo huko ni vilio, uchumi hoi, watumishi hoi, mwaka wa tano huu tunazungumzia Stigler na SG ambao mpaka tukope ndio tujisogezee . Nini cha kujivunia kama Taifa?
kwani na wewe ni mtz,
 
Uwaziri Mkuu ni Dola gani?
Dola pekee ni yule mwenye mamlaka yote ndani ya nchi.

Kwahiyo Makamba na Kinana nao waliwahi kuwa na mamlaka yote nchini? Acha hoja za kulazimisha dogo.
 
Kwahiyo Makamba na Kinana nao waliwahi kuwa na mamlaka yote nchini? Acha hoja za kulazimisha dogo.
Nakuacha maana hata haunipati nilipo.
Fikra zangu zipo mbali sana na ulipo.
Na hautanielewa kamwe kwa uwezo wako huo finyu.
Kwa heri!
 
Kama Mambo ndani yako hivi Tena kwa watu wa karibu...kwa hawa tu tunaowajua..itakuwa vipi kwa Wale wengine tusiowajua?
Mzee Mwanakijiji inamaana unaturidhisha majibu ya maswali yetu ya, "ni nani Hawa wasiojulikana??? Basi andiko lako linathibitisha pia wasiojulikana ni Akina nani....
 
Hivi hawa wastaafu ule waraka ulikuwa umemlenga nani? Maana naona kama goli linahamishwa
Kweli ulinzi mkali kabisa unahitajika, aongeze zaidi ulinzi, kuanzia, hasa katika safari zake zote, hata ktk ndege zake aongeze ulinzi kote yaani, sbb kumbe maadui zake ni watu wakubwa wastaafu walioshika madaraka makubwa.. Kupambana na maadui kama hawa kweli unahitaji kutumia njia zote kushinda. Naunga mkono hoja aongeze ulinzi mkali kabisa
 
ila inauma waliokuwa wanakesha kipindi kile wanapumulia gesi wkat akina bashite wanakula keki tu[emoji23][emoji16]
Walipaswa waache uovu. Hivi unadhani chini ya hao wakumbatia wezi nchi ingeendelea? Hata hivyo Dkt Magufuli vita keshaishinda, kilichopo ni mabaki ya wale waliotumia mbinu zote kushindwa sasa wanapiga kelele ka wachawi.
 
Nakuacha maana hata haunipati nilipo.
Fikra zangu zipo mbali sana na ulipo.
Na hautanielewa kamwe kwa uwezo wako huo finyu.
Kwa heri!

Kama haya unayosema ndio akili, basi kwangu ni uzandiki tu.
 
Back
Top Bottom