Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Mara nyingine akili yako in fyatu.
Unawezaje kufananisha kitisho cha lowassa ambaye hakuwa na back up ya wastaafu na kitisho cha sasa chenye harufu ya nguvu ya watu waliowahi kushika dola?
Usiwe mjinga, unaposema watu waliowahi kushika dola unamaanisha nini? Mtu aliyewahi kuwa waziri mkuu huyo sio mshika dola? Ama hujui unachoongea dogo?