Wewe si kila mwezi unavuja damu cha ajabu kipi hapo?Hakika tulimuhitaji Rais kama huyu wakuibadilisha Tanzania,pamoja na yote yanayoendelea Mimi nitampambani Rais wangu kwa njia yoyote hata kwa kuvuja damu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe si kila mwezi unavuja damu cha ajabu kipi hapo?Hakika tulimuhitaji Rais kama huyu wakuibadilisha Tanzania,pamoja na yote yanayoendelea Mimi nitampambani Rais wangu kwa njia yoyote hata kwa kuvuja damu
Itakuwa hukuzaliwa wakati wa awamu zilizopita.
Ushawahi ona mitutu kibao wakati wa kikwete?
Mwanakijiji,Kama Mambo ndani yako hivi Tena kwa watu wa karibu...kwa hawa tu tunaowajua..itakuwa vipi kwa Wale wengine tusiowajua?
Kumbe Obama na Bush kutembelea Tanzania ni sawa na Magufuli kutembelea Chato...kweli ujinga gunia zito la misumari!
Waulindao watadhani wao ndiyo wamelinda vyemaVipi Bwana akiulinda mji?
Ufanyavyo usifikiri wote wanafanyaNa nadhani huo ni ulinzi unaouona kwa macho,lakini kunaule unaoongezewa nguvu kila baada ya muda Fulani kule Chatle city..
How mkuu hebu fafanua hapoAnapambana na Deep State
Tuliambiwa ulinzi wa namna ile ulikuwa zidi ya mabeberu walionyang'anywa kitumbua mdomoni, akina Acacia.
Sasa ulinzi mkali zaidi unatakiwa zidi ya wapiga dili nchini, na maadui wapya walioko huko CCM.
Baada ya hapo itabidi uwepo ulinzi zidi ya wabaya toka vyama pinzani, hasa wale walionjeshwa 'joto' ya jiwe kwa namna moja ama nyingine, kama kusweka mahabusu, kubambikiwa kesi, n.k..
Tukishaimarisha huko kote, itatulazimu tuongeze ulinzi mkali zaidi kukinga dhidi ya wananchi/raia wasioridhika au wanaorubuniwa na makundi hayo yote hapo juu.
Nadhani itabidi to-'design' 'space capsule' tutakapomweka rais wetu asidhurike na kitu chochote, sio bacteria, virus, hewa chafu, chakula, maji na hata electronic boom zinazoweza kuelekezwa kwake zisimdhuru.
kafanya kazi gn kavuruga nchi 2Watanzania na waafrika kwa ujumla Trump aliwakusema tunitajika kuendeleqa tawaliwa miaka 100 mbele angalia ndo watuache tujitawale....Hivi bado wapo wanaopinga kazi anazofanya Magu kweli...hiii nipo Tanzania au uchi za nje?
Hivi Magufuli ulinzi wake ni mkali kushinda wa waliomtangulia?
Hili mbona wengi wanalijua? wengine huita "Ulimbukeni."Ni intimidation tu, hakuna kingine. Huyu mjamaa anapenda kuonekana tough, what better way kama sio kuzungukwa na mijitu yenye silaha!
Huyu alimwondosha Sadam Hussein madarakani kwa vita ya dhuruma.Nani jiwe au[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1159901
kwa yote yanayoendelea nchini naona hali ni kama ya zamani, hamkubuki hata polisi mitaani walikuwa hwatembei na siraha kali katika doria kama siku zaidi walikuwa na vilungu au matukio kama ya wale askari kadhaa kuuwawa maeneo ya kibiti, wakati mwingine tahadhari lazima zichukuliwe si kwa viongozi wa serikali pekee bali hata kwa wanasiasiasa wa upinzani pia. kwani tukio kama la Tundu Lisu, kama angekuwa na ulinzi hata kama wa diamond isingekuwa vileNa ugonjwa huu wa ulinzi mkali unaambukiza. Miaka 2 au 3 iliyopita magari ya baadhi ya majeshi yetu yanayovaa sare yameanza kuwa na utaratibu wa kutosimama kwenye taa za barabarani za kuongoza magari! Aidha majuzi nilishuhudia msafara wa mkuu wa jeshi letu moja dogo tu lakini rear guard yake ilikuwa na bunduki 6 at the ready!
JK alikaa muda mrefu wa kitisho cha Lowasa na hakuwa na ulinzi wa hivyo iweje hili la kina Makamba mtake kuhalilisha kuuza nguruwe msikitini? Bado mnaamini mnaweza kulazimisha matumizi mabovu kwa kisingizio cha maadui zake? Hiyo ni hali ya kawaida sana kwenye siasa, labda kama mlishiba hii propaganda mfu ya kimkakati kwamba anakubalika sana. Mzee acha kutaka kutakatisha Kaniki.