Hivi Magufuli ulinzi wake ni mkali kushinda wa waliomtangulia?
Hivi unaamini kuwa hakuna mamluki?Nahisi Raisi alikuwa anatamani aongee mengi kutujulisha watanzania jinsi watu wanavyoitaka roho yake lakini alikuwa anashindwa.
Ndio ujue zile kelele za Mange na wenzie kuwa walinzi wanatoka nchi jirani zilikuwa zinatoka kwa watu wa karibu yake walioshindwa kumdhuru.
Ili ufanikiwe kumdhuru lazima uwe na mamluki ndani ya walinzi wake.
Kweli ulinzi mkali kabisa unahitajika, aongeze zaidi ulinzi, kuanzia, hasa katika safari zake zote, hata ktk ndege zake aongeze ulinzi kote yaani, sbb kumbe maadui zake ni watu wakubwa wastaafu walioshika madaraka makubwa.. Kupambana na maadui kama hawa kweli unahitaji kutumia njia zote kushinda. Naunga mkono hoja aongeze ulinzi mkali kabisa
Wote wanaopinga hatua anazochukua ni waathirika wa hiki kinachoendelea yaa wanashiriki moves za kumkwamishaSasa nimeaza kumuelewa magufuli.watu hii inchi walifanya ya kwao sasa mkuu anataka kuondoa dhana hiyo
Tunahitaji mabadiliko kwa kweliHakuna lolote, yani kusiwe na ushindani wa kisiasa? Watu kutaka tu kugombea 2020 nayo inaonekana ni sababu ya mtu kujiongezea ulinzi? Watu wasikosoee?
Basi hakuna haja ya demokrasia. Hivi JK alivyokuwa anakosolewa na hata kutaka kupokonywa kiti ndani ya chama na Edo naye angesema aongezewe ulinzi.
Tusidanganyane, tusitafute kichaka cha kijifichia. Tumekwama kama Taifa, mtu kaharibu mambo wazalendo wanaona sasa inatosha hali hii haiwezi kwenda miaka 10. Kujenga ni kazi ngumu na ya muda mrefu kubomoa ni kazi kidogo sana.
Biashara vilio, kilimo huko ni vilio, uchumi hoi, watumishi hoi, mwaka wa tano huu tunazungumzia Stigler na SG ambao mpaka tukope ndio tujisogezee . Nini cha kujivunia kama Taifa?
Hakuna lolote, yani kusiwe na ushindani wa kisiasa? Watu kutaka tu kugombea 2020 nayo inaonekana ni sababu ya mtu kujiongezea ulinzi? Watu wasikosoee?
Basi hakuna haja ya demokrasia. Hivi JK alivyokuwa anakosolewa na hata kutaka kupokonywa kiti ndani ya chama na Edo naye angesema aongezewe ulinzi.
Tusidanganyane, tusitafute kichaka cha kijifichia. Tumekwama kama Taifa, mtu kaharibu mambo wazalendo wanaona sasa inatosha hali hii haiwezi kwenda miaka 10. Kujenga ni kazi ngumu na ya muda mrefu kubomoa ni kazi kidogo sana.
Biashara vilio, kilimo huko ni vilio, uchumi hoi, watumishi hoi, mwaka wa tano huu tunazungumzia Stigler na SG ambao mpaka tukope ndio tujisogezee . Nini cha kujivunia kama Taifa?
Hakuna lolote, yani kusiwe na ushindani wa kisiasa? Watu kutaka tu kugombea 2020 nayo inaonekana ni sababu ya mtu kujiongezea ulinzi? Watu wasikosoee?
Basi hakuna haja ya demokrasia. Hivi JK alivyokuwa anakosolewa na hata kutaka kupokonywa kiti ndani ya chama na Edo naye angesema aongezewe ulinzi.
Tusidanganyane, tusitafute kichaka cha kijifichia. Tumekwama kama Taifa, mtu kaharibu mambo wazalendo wanaona sasa inatosha hali hii haiwezi kwenda miaka 10. Kujenga ni kazi ngumu na ya muda mrefu kubomoa ni kazi kidogo sana.
Biashara vilio, kilimo huko ni vilio, uchumi hoi, watumishi hoi, mwaka wa tano huu tunazungumzia Stigler na SG ambao mpaka tukope ndio tujisogezee . Nini cha kujivunia kama Taifa?
Kama vipi asitoke ndani ya ikulu na nje ya nchi wasije wakapindua mezaKweli ulinzi mkali kabisa unahitajika, aongeze zaidi ulinzi, kuanzia, hasa katika safari zake zote, hata ktk ndege zake aongeze ulinzi kote yaani, sbb kumbe maadui zake ni watu wakubwa wastaafu walioshika madaraka makubwa.. Kupambana na maadui kama hawa kweli unahitaji kutumia njia zote kushinda. Naunga mkono hoja aongeze ulinzi mkali kabisa
AmenBwana asipoulinda mji waulindao wakesha bure
No one is interested in harming or killing him because he is better to be alive than dead.Kama Mambo ndani yako hivi Tena kwa watu wa karibu...kwa hawa tu tunaowajua..itakuwa vipi kwa Wale wengine tusiowajua?
Hivi Magufuli ulinzi wake ni mkali kushinda wa waliomtangulia?
Rais wa kuibadili Tanzania au kuibadili chato ,lipeni wastaafu jamani nyie genge la wahuni wa kijani .Hakika tulimuhitaji Rais kama huyu wakuibadilisha Tanzania,pamoja na yote yanayoendelea Mimi nitampambani Rais wangu kwa njia yoyote hata kwa kuvuja damu
Hata wapishi nina hakika wamebadilishwa
Sikuwahi kuona Kikwete asindikizwe na Chopa juu akiwa anatembea kwa gari ardhiniSijui kuhusu quantity au quality ya ulinzi lakini visibly ulinzi wa Magufuli unaonekana umezidi sana kwa watangulizi. Sikumbuki kuona watu na bunduki wakiwa na Kikwete
.Kama Mambo ndani yako hivi Tena kwa watu wa karibu...kwa hawa tu tunaowajua..itakuwa vipi kwa Wale wengine tusiowajua?
Kikulacho ki nguoni mwako... Kabila alidunguliwa na chawa wakeTena ulinzi wake uimarishe zaidi na zaidi maana maadui anao wengi sana ndani ya nchi