Kwa mchepuko round nyingi kwa mke kimoja chali

Kwa mchepuko round nyingi kwa mke kimoja chali

My spiritual Mom, Joannah I'm sorry,
I love you mom 😘

By the way how are you doing?

It's my hopes that, your Valentine's day was cool, beautiful and so special than special itself🌹

Ni katikati hali nzito wanazopitia waliomo kwenye ndoa ngumu, nimejikuta nawiwa kwa ghadhabu na kwa nguvu ya ajabu, nkashindwa kujizuia, nkatamani kuanza kufundisha "Mapito na dhoruba nzito katika ndoa na uchumba" sababu zake na namna mujarabu yakukabiliana na hali hiyo bila ndoa au uchumba kupata msukosuko 🐒

And for your information,
kwa uchache kabla ya kuokoka watumishi wengi tumepita katika mapito na dhoruba mbalimbali nzito nzito ajabu.

Namshukuru mpaka wa leo baada ya kutoka gizani, mambo matatu ndio hobies na majukumu ninayoyafanya sasa na wakati ujao kulingana na vipaumbele....

Kuhubiri Neno na ukufunzi, by the way I am a lecture..
maybe I mate you udom, mzumbe, kiu or ustawi...

Siasa na diplomasia

Kilimo, ufugaji na biashara.
Sina kitu ingine naweza fanya vizur zaidi ya izo Mom 🌹

R.I.P Laigwanani comrade ENL
Yes, Valentine yangu niliitumia kwenye Toba katika jumatano ya majivu,kuupokea mfungo wa kwaresma...
Sawa,nimefurahishwa sana na masomo yako maana unaonyesha mchungaji wetu sio kolo😂😂😂ni mjanjaa
 
Hilo naweza nikaamini maana nikitumia usafiri wa umma naona mambo mazuri ila nikirudi kwenye Private huku sielewi. Sa ingine mnara unasoma 2G mwanzo mwisho aka EDGE. Ila nikienda kwa majirani 5G na haipoi ni kitu juu ya kitu. Kuna wanawake wana majini mahaba haki vile.
tatizo au dosari huwa ni moja tu miongoni mwa wanandoa wengi town....

Ni "kutokujua au kufahamu Ladha ya Kimwili na Kiroho ya Wenzi wao"
Thr is whr the problem is.
Ndoa ni kanyaga twende tu....

Yaani ili mwanaume afike mshindo kwa mkewe ni Lazima kwana aweze au amvutie hisia mchepuko wakati wa myaunduano anakaaje au anapepeta aje 🐒

Ukijua ladha ya kimwili ya mwenzi wako utahisi stayle alokupa jana au leo ukimtenga vizur na akanyumbulika vyema basi uwezajikuta unapata engo ambayo itakufanya uifukunyue ilipo ladha ya mkeo na kujikuta huna muda na mchepuko bali mkeo....

R.I.P Laigwanan comrade ENL
 
tatizo au dosari huwa ni moja tu miongoni mwa wanandoa wengi town....

Ni "kutokujua au kufahamu Ladha ya Kimwili na Kiroho ya Wenzi wao"
Thr is whr the problem is.
Ndoa ni kanyaga twende tu....

Yaani ili mwanaume afike mshindo kwa mkewe ni Lazima kwana aweze au amvutie hisia mchepuko wakati wa myaunduano anakaaje au anapepeta aje 🐒

Ukijua ladha ya kimwili ya mwenzi wako utahisi stayle alokupa jana au leo ukimtenga vizur na akanyumbulika vyema basi uwezajikuta unapata engo ambayo itakufanya uifukunyue ilipo ladha ya mkeo na kujikuta huna muda na mchepuko bali mkeo....

R.I.P Laigwanan comrade ENL
Asante sana ila nafikiri chanzo ni mazoea tu.
 
Shida ni kuwa wanaume kwa wanawake tunaamini tukishakuwa mke na mume inabidi tuwe dull and boring as in hiyo ndo heshima ya ndoa.

Weeweeeew bana Fanyianeni tuvitu vitu huko ndani, sa mtu shuka halijabadilishwa wiki mbili, unafika hata humuandai, naye anapanda kitandani na kitendge Cha KTM bao zaidi utazitoa wapi?
La msingi

1. Badilisheni venue, muende hotels hata mara moja moja, au bedroom yenu ibadili hata uelekeo wa kitanda!!

2. Mkeo ajiweke kimalayamalaya( mnunulie vinguo vishenzi shenzi)
Akuvalie hata heels chumbani

3. Muandae kuliwa toka muda unaondoka kuelekea kazini mchana kutwa jitahidi kuflirt with her.

4. Kuwa mtundu na wewe sio unafika tu umemparamia. Cheza na mwili wake sio imekaa tu unasubiri kuchomekea uchomoe.

5. Mnunulie ka perfume unapenda apake mkiingia kitandani

6. Fanyianeni usafi wa mwili, massage, mnukie mpakane vya kunukia, uone kama hukumgonga bao za maana.

Sasa mmekaa tu na vitu vile vile boxer zile zile mindevu mizivu maji ya kuoga yaleyale kitanda hakivutii, chumba kina makorokoro kibao, kichwani Kuna mawazo una hofu kibao, upige bao 3 uzitoe wapi?
 
Yes, Valentine yangu niliitumia kwenye Toba katika jumatano ya majivu,kuupokea mfungo wa kwaresma...
Sawa,nimefurahishwa sana na masomo yako maana unaonyesha mchungaji wetu sio kolo😂😂😂ni mjanjaa
hiyo ni muzuri sana Mom 🌹,

Tumeskia katika somo na tumeelezwa,

"Lakin hata sasa, asema Bwana, nirudieni mimi, kwa mioyo yenu yote, na Kwa kufunga na kwa kulia na kwa kuomboleza....
Rarueni mioyo yenu na si mavazi yenu ,mkarudie Bwana Mungu wenu"

Nawatakia nyote mfungo pili Mwema wa kwaresma..

R I P laigwanani comrade ENL
 
Away ni unyama sana
away si unakua jambazi, mwizi ambae hazingatii mipaka anajali sana muda 🐒

unaona hii kitu nisipoifakamia vilivyo leo naweza nisiipate tena hivi karibu....

kwahivyo mkishazama tu hidden chobingo, conncentration yako ya unyanduzi inakua pale kunako 6kwa6 by 100%...

Na therefore performance itakua ni kama vile fainali ya AFCON, utakua unazingatia muda lakini pia utatumia muda vizur sana, upelekaji motro utakua ni wa kiwango cha 5G🐒

Na saa zingine unaweza kua unajumlisha ndrani kwa ndrani na hujawahi fanya hio kwa mkeo home ground 🐒

R.I.P Laigwanan comrade ENL
 
Mazoez muhim kwa afya,

Vuta picha chikwili umekata upepo kama km 3 hivi,, alafu unamaliza push up kama rp 100,, unapumzika kwa kushushia maji😂,, hapo ukisema ujiegeshe tu unaweza amka saa tatu asubuh,, nje ya mada 🤪
 
Wanawake zetu wanazingua yeye Anajua unataka kupanda mlimani ndo anaanza kukuambia sijasuka , kikoba, ada ,nk iyo nguvu inakata unawaza ela ila ugenini aaa hauna jipya utasikia zaidi ya kuimbiwa nyimbo na maneno ya kukufanya upande mlima vyema
 
Hivi huyo tumbili unamuweka kumaanisha nini?? Ujue baba una vituko sana.!! Ni km kanasikia baridi hako katumbili 🤣🤣🤣🤣
🤣ndio maana yake nina hofu hadi naskia baridi hadi natetemeka wakati nasubiri comment ngumu ngumu kutoka kwa wajuba mbalimbali humu jukwaani 🐒

R I P Laigwanan comrade ENL
 
Back
Top Bottom