Cauldron
JF-Expert Member
- Apr 27, 2016
- 362
- 586
Akoo TT Umetishawizi haunaga mipaka na hauna uhakika wa kesho tena...
mwizi anatabia ya kukomba kila kitu na anavuka hadi mipaka bila huruma....
R.I.P Laigwanan comrade ENL
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akoo TT Umetishawizi haunaga mipaka na hauna uhakika wa kesho tena...
mwizi anatabia ya kukomba kila kitu na anavuka hadi mipaka bila huruma....
R.I.P Laigwanan comrade ENL
Yes, Valentine yangu niliitumia kwenye Toba katika jumatano ya majivu,kuupokea mfungo wa kwaresma...My spiritual Mom, Joannah I'm sorry,
I love you mom 😘
By the way how are you doing?
It's my hopes that, your Valentine's day was cool, beautiful and so special than special itself🌹
Ni katikati hali nzito wanazopitia waliomo kwenye ndoa ngumu, nimejikuta nawiwa kwa ghadhabu na kwa nguvu ya ajabu, nkashindwa kujizuia, nkatamani kuanza kufundisha "Mapito na dhoruba nzito katika ndoa na uchumba" sababu zake na namna mujarabu yakukabiliana na hali hiyo bila ndoa au uchumba kupata msukosuko 🐒
And for your information,
kwa uchache kabla ya kuokoka watumishi wengi tumepita katika mapito na dhoruba mbalimbali nzito nzito ajabu.
Namshukuru mpaka wa leo baada ya kutoka gizani, mambo matatu ndio hobies na majukumu ninayoyafanya sasa na wakati ujao kulingana na vipaumbele....
Kuhubiri Neno na ukufunzi, by the way I am a lecture..
maybe I mate you udom, mzumbe, kiu or ustawi...
Siasa na diplomasia
Kilimo, ufugaji na biashara.
Sina kitu ingine naweza fanya vizur zaidi ya izo Mom 🌹
R.I.P Laigwanani comrade ENL
tatizo au dosari huwa ni moja tu miongoni mwa wanandoa wengi town....Hilo naweza nikaamini maana nikitumia usafiri wa umma naona mambo mazuri ila nikirudi kwenye Private huku sielewi. Sa ingine mnara unasoma 2G mwanzo mwisho aka EDGE. Ila nikienda kwa majirani 5G na haipoi ni kitu juu ya kitu. Kuna wanawake wana majini mahaba haki vile.
Kama wangu tuu, doggy anaona uhuniMwambie mkeo awe anakaa dog km mchepuko [emoji23][emoji23][emoji23]
Asante sana ila nafikiri chanzo ni mazoea tu.tatizo au dosari huwa ni moja tu miongoni mwa wanandoa wengi town....
Ni "kutokujua au kufahamu Ladha ya Kimwili na Kiroho ya Wenzi wao"
Thr is whr the problem is.
Ndoa ni kanyaga twende tu....
Yaani ili mwanaume afike mshindo kwa mkewe ni Lazima kwana aweze au amvutie hisia mchepuko wakati wa myaunduano anakaaje au anapepeta aje 🐒
Ukijua ladha ya kimwili ya mwenzi wako utahisi stayle alokupa jana au leo ukimtenga vizur na akanyumbulika vyema basi uwezajikuta unapata engo ambayo itakufanya uifukunyue ilipo ladha ya mkeo na kujikuta huna muda na mchepuko bali mkeo....
R.I.P Laigwanan comrade ENL
hiyo ni muzuri sana Mom 🌹,Yes, Valentine yangu niliitumia kwenye Toba katika jumatano ya majivu,kuupokea mfungo wa kwaresma...
Sawa,nimefurahishwa sana na masomo yako maana unaonyesha mchungaji wetu sio kolo😂😂😂ni mjanjaa
actuallyAsante sana ila nafikiri chanzo ni mazoea tu.
Away ni unyama sanaactually
hiyo ni Miongoni mwa sababu ya mwanzo sana ya hili timbwili la kukata pumzi ya home ground 🐒
Mtoa mada akubali tu uzee umebisha hodi....Nimejikuta nakumbuka tu law of marginal utility sijui kwa nini
away si unakua jambazi, mwizi ambae hazingatii mipaka anajali sana muda 🐒Away ni unyama sana
Hapana baba mtumishi umechachuka aiseee!!! 🤣umenichomea kwa my mom sio 🐒
si umeamua kua kijumbe waziri asie na wizara maalumu bana 🐒Hapana baba mtumishi umechachuka aiseee!!! 🤣
Hivi huyo tumbili unamuweka kumaanisha nini?? Ujue baba una vituko sana.!! Ni km kanasikia baridi hako katumbili 🤣🤣🤣🤣si umeamua kua kijumbe waziri asie na wizara maalumu bana 🐒
R.I.P Laigwanani comrade ENL
🤣ndio maana yake nina hofu hadi naskia baridi hadi natetemeka wakati nasubiri comment ngumu ngumu kutoka kwa wajuba mbalimbali humu jukwaani 🐒Hivi huyo tumbili unamuweka kumaanisha nini?? Ujue baba una vituko sana.!! Ni km kanasikia baridi hako katumbili 🤣🤣🤣🤣