Kwa mdada aliye Arusha, njoo PM tuyajenge

Kwa mdada aliye Arusha, njoo PM tuyajenge

Km kweli hapo kuoga ni uongo mahi wangu, huko hata maji ya kunywa mpk yale yaliyochemka na kutoa mvuke. Sasa Ikonda na makete ndo kabisa hata kunawa kipengele 🀣🀣🀣
mahi diha,,npo njombe sema nshazoea kuoga kwakwel πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚huko makete bwan ukute na yale maseve yanaangukaπŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎ
 
umetuachia sie vilimbukeni,, ingawa nmefunga piaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸΎila kuna mda nafungua kuchungulia kisha nafunga tena
Pm uwe makini usije kufanya jambo likakufanya uje kubadili id ohhh.!! Huko sio pouwa!!
Ukiomba afu tatu unaletwa wima wima huku πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
mahi diha,,npo njombe sema nshazoea kuoga kwakwel πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚huko makete bwan ukute na yale maseve yanaangukaπŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎ
🀣🀣🀣 Miso Missondo
 
Pm uwe makini usije kufanya jambo likakufanya uje kubadili id ohhh.!! Huko sio pouwa!!
Ukiomba afu tatu unaletwa wima wima huku πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Kwani wapo wenye hizo afutatu humu sasa
 
Yapo magonjwa mengi yanayoambukizwa kwa njia ya kujamiiana
Nayo baadhi ni UKIMWI, kaswende,kisonono, ini,,,nk
Maelezo mengi na PM ushafika Manker 🀣🀣🀣🀣🀣🀣 Extend my greetings lovely
 
Back
Top Bottom