Kwa miaka 18 sijawahi kushudia ugumu wa biashara kama awamu hii ya Tano

You wishes. Thank you for sharing your dreams
 
Kasema ndinga kali. Ukiwa na 2017 Land Cruiser V8 unaweza kuwa masikini? Masikini utumie 300m kununua gari? Kuna gari kuwa na uwezo wa kuinunua lazima uwe tajiri achana na viusafiri vyetu akina sisi.
2017 Land cruiser V8 siyo matako kila mtu awe nayo.
 
Sasa kwa mfano alioutoa hapo juu kwamba watu wana magari huko kwenye halmashauri haiwezekani wakawa na aina hiyo ya gari .wengi ni hizo Toyota salon used kutoka Japan
Nimeandika hio ujue kuwa KUNA GARI LAZIMA UWE TAJIRI ndio umiliki. Mkuu una stress sana sio? Mbona jazba hivyo? Relax.
 
Miaka 18 kwenye biashara umezeeka ,huwezi mbinu mpya waachie vijana..

Ni ngumu sana kumfundisha mbwa mzee mbinu mpya

Sent using Jamii Forums mobile app
Umeongea ukweli mtupu Biashara za sasa hivi zinaitaji noreji na visheni mpya.

Kwa miaka hiyo 18 umekwepa sana kodi hivyo ni lazima Awamu hii upigike.

Au unashindwa kwenda na kasi hii ya Dunia ya leo ndio maana ngozi nyeupe wanafundisha watoto wao

Na watoto wao wanakuja na New vision kwa kizazi husika.. Unafikiri Baba yake MO ni mjinga kukaa pembeni? Ipo siku watoto wako watamsikia Mtoto wa MO

Biashara ina njia zake na Elimu yake na sio mazoea Kama ngozi nyeusi tunavyo fikiria.

Serikali inatengeneza beat swala la mpangilio wa sauti na hisia za mziki ni wewe.

Awamu ya tano ukishindwa ni wewe usitafute wa kumlaumu.

Ngoja nile bangi kwanza ili nipate kusoma game vizuri la Awamu ya tano.

One love.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilikua na kiosk changu mtaani tokea mwaka 2012, biashara ilikua nzuri japo changamoto hazikukosekana, average kwa siku nilikua nauza 90k - 120k, ila tokea 2016 biashara ilianza kushuka ilifika kipindi mauzo kwa siku unapata 30k ila nikajipa moyo hiki ni kipindi cha mpito baada ya miezi sita purchasing power ya watu itarudi waendelee kununua kwa sababu kuna siku inapita umeuza soda mbili tu, nilikomaa ila mwaka jana mwezi wa sita sikua na cha kufanya zaidi ya kufunga biashara, na stoo nilikua na bidhaa zingine, niliuza chache kwa jumla, nyingine nikagawa bure na nyingine ziliharibikia ndani, niliachia frem ikiwa na miezi miwili mbele!

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Smh
 
Acha kulalamika, unataka serikali ikufanyie nini ili mambo yako yaende, kwani nimekufunga jela, si bado una uhuru? Tatizo lipo wapi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kasema ndinga kali. Ukiwa na 2017 Land Cruiser V8 unaweza kuwa masikini? Masikini utumie 300m kununua gari? Kuna gari kuwa na uwezo wa kuinunua lazima uwe tajiri achana na viusafiri vyetu akina sisi.
Nani kakwambia ndinga ni hilo v8 !!! Unaelewa maana ya ndinga ???



Huna unachokijua wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…