Wakati Magu anaingia ndio nimeanza biashara ninayoifanya nilikuwa na kafremu kamoja. Sasa hivi nimechukua fremu nne, nimejenga nyumba moja, ya pili namalizia, nimenunua gari ya pili January. December nimeenda vacation wiki moja Dubai. Labda inawezekana ingekuwa awamu iliopita ningepata mafanikio zaidi ya hayo.
Hata mimi nimeshangaa.inawezekana hapa JF tungepata fursa ya kuwaona "LIVE" baadhi ya wachangiaji katika mada kama hizi tusingeshangaa sana wanachoandika.
2017 Land cruiser V8 siyo matako kila mtu awe nayo.Kasema ndinga kali. Ukiwa na 2017 Land Cruiser V8 unaweza kuwa masikini? Masikini utumie 300m kununua gari? Kuna gari kuwa na uwezo wa kuinunua lazima uwe tajiri achana na viusafiri vyetu akina sisi.
Nimeandika hio ujue kuwa KUNA GARI LAZIMA UWE TAJIRI ndio umiliki. Mkuu una stress sana sio? Mbona jazba hivyo? Relax.2017 Land cruiser V8 siyo matako kila mtu awe nayo.
Nimeandika hio ujue kuwa KUNA GARI LAZIMA UWE TAJIRI ndio umiliki. Mkuu una stress sana sio? Mbona jazba hivyo? Relax.
Acha utoto kwenye mambo serious wewe kibuyu cha mataputapuhalafu kwanini upitie mabondeni na milimani.? ina maana huko mjini kwenu hakuna barabara.?
Umeongea ukweli mtupu Biashara za sasa hivi zinaitaji noreji na visheni mpya.Miaka 18 kwenye biashara umezeeka ,huwezi mbinu mpya waachie vijana..
Ni ngumu sana kumfundisha mbwa mzee mbinu mpya
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilikua na kiosk changu mtaani tokea mwaka 2012, biashara ilikua nzuri japo changamoto hazikukosekana, average kwa siku nilikua nauza 90k - 120k, ila tokea 2016 biashara ilianza kushuka ilifika kipindi mauzo kwa siku unapata 30k ila nikajipa moyo hiki ni kipindi cha mpito baada ya miezi sita purchasing power ya watu itarudi waendelee kununua kwa sababu kuna siku inapita umeuza soda mbili tu, nilikomaa ila mwaka jana mwezi wa sita sikua na cha kufanya zaidi ya kufunga biashara, na stoo nilikua na bidhaa zingine, niliuza chache kwa jumla, nyingine nikagawa bure na nyingine ziliharibikia ndani, niliachia frem ikiwa na miezi miwili mbele!
Sent using Jamii Forums mobile app
Itakuwa umeolewa na mumeo bado anayo pesa....ukiambiwa biashara zimebinuka elewa...no jokings hapa
Haki ya mung nimecheka [emoji28][emoji28][emoji28]halafu kwanini upitie mabondeni na milimani.? ina maana huko mjini kwenu hakuna barabara.?
Subiri mama yako akupikie msosi ule utazame TV haya mambo waachie watu wazima wajadili.halafu kwanini upitie mabondeni na milimani.? ina maana huko mjini kwenu hakuna barabara.?
Acha kulalamika, unataka serikali ikufanyie nini ili mambo yako yaende, kwani nimekufunga jela, si bado una uhuru? Tatizo lipo wapiNina miaka 18 kwenye biashara katika kipindi chote hicho,Nimepitia milima na mabonde.” Yani changamoto” Kitu ambacho ni cha kawaida kwenye biashara yoyote.
Lakini leo nakiri kwamba, Awamu hii imeuwa juhudi za watu wengi kufikia malengo yao kibiashara, Biashara zimeyumba kabisa, Mauzo yameshuka kwa asilimia zaidi ya 70, huku mitaji mingi ya wajasiria mali ikiteketea.
Kinachoogopesha zaidi, Sioni juhudi zozote za makusudi kuokoa hali hii mbaya. Jamaa zangu wengi wameshindwa kulipia school fees,Wengine wameshindwa kulipia mapango ya frem,Wengine ndoa zao zimevunjika na wengine wamepata stroku.
Lakini tukiwasikiliza viongozi wetu wanasema tupo pazuri. Najiuliza pazuri wapi?
Mwanzoni nilijua labda baba anafanyia nyumba usafi, Cha kushangaza tunamaliza miaka tano hali imekuwa tete zaidi ya tulipo toka.
Kuna hitajika jitihada za ziada kwenye uchumi wetu tena kwa speed kubwa la sivyo tutazalisha taifa la wamachinga na wapiga vibomu. Maana soon kodi za pango na serekali hazitalupika tena.
Natamani hii biashara yangu nimpe bure Dr mpango aiendeshe kwa miezi tu ili ajue hali halisi sio kukaa ofisini huku tukimlipa mshahara mnono bila kusaidia uchumi wetu.
Dr. Mpango mweleze rais hali mtaani ni mbaya,Watu tunapiga kazi asubuhi mpaka jioni lakini tunatoka kapa kila siku.
Halafu nimegundua ukiwa na hali mbaya mfukoni na majukumu ndio yanabisha hodi kwa kasi kweli kweli.
Hivi ilani ya chama ndio ilinadiwa kutekeleza hali iwe ngumu hivi? Tukutane mwakani october tuelezane kwa vitendo.
''Gest'' ndiyo nyumba unayoijua tu wewe ehe!Sasa ulitaka kariakoo nyumba ziwe gest?
barabara zipo ila amekuta zote zinampeleka kwa mamako na dadako alafu akakumbuka ni mafundi wa kUDanGA, ndio maana akachagua hiyo milima na mabonde.halafu kwanini upitie mabondeni na milimani.? ina maana huko mjini kwenu hakuna barabara.?
Nani kakwambia ndinga ni hilo v8 !!! Unaelewa maana ya ndinga ???Kasema ndinga kali. Ukiwa na 2017 Land Cruiser V8 unaweza kuwa masikini? Masikini utumie 300m kununua gari? Kuna gari kuwa na uwezo wa kuinunua lazima uwe tajiri achana na viusafiri vyetu akina sisi.