Kwa miaka 20 ya uongozi wa CHADEMA Manispaa ya Moshi imeshindwa kuwa Jiji, Jafo tuangalie kwa jicho la huruma!

Kwa miaka 20 ya uongozi wa CHADEMA Manispaa ya Moshi imeshindwa kuwa Jiji, Jafo tuangalie kwa jicho la huruma!

Mara nyingi huwa naiangalia Tanga na Mbeya halafu najiuliza kwanini Moshi haijawa Jiji hadi leo?

Najua kwamba Mwanza na Arusha zimeiacha mbali Moshi kimaendeleo na kipopulation lakini siyo Tanga ya Makamba na Mbeya Sugu.

Chadema imekuwa na mbunge na madiwani wengi Moshi kwa miaka 20 mfululizo lakini imefeli zaidi ya kuongoza kwa usafi tu, ngoja tumuone mbunge na madiwani wa CCM 2020/25.

Jaffo mtuangalie na sisi bwashee.

Johnthebaptist
Usseri Rombo

Maendeleo hayana vyama!
Moshi kamwe haiwezi kua JIJI Jiwe akiwa madarakani.....Iringa na Moro vitakua majiji kabla ya Moshi.
Jiwe ana allegy ya Kaskazin
 
Mara nyingi huwa naiangalia Tanga na Mbeya halafu najiuliza kwanini Moshi haijawa Jiji hadi leo?

Najua kwamba Mwanza na Arusha zimeiacha mbali Moshi kimaendeleo na kipopulation lakini siyo Tanga ya Makamba na Mbeya Sugu.

Chadema imekuwa na mbunge na madiwani wengi Moshi kwa miaka 20 mfululizo lakini imefeli zaidi ya kuongoza kwa usafi tu, ngoja tumuone mbunge na madiwani wa CCM 2020/25.

Jaffo mtuangalie na sisi bwashee.

Johnthebaptist
Usseri Rombo

Maendeleo hayana vyama!
Moshi haiwezi kuwa jiji kwa kuwa hakuna sifa hizo labda wachagga warejee wawekeze huko badala ya kukimbilia mikoani.
 
Halafu unasema upo kwenye kwaresma...
Sio kwamba nakuhukumu bwashee.
Mtu yoyote mwenye hofu ya Mungu hawezi kufanya upuuzi wa namna hii...
Bwashee umekwazika mimi kumuomba Jafo atuhurumie?!
 
Mkuu

Unafeli mno,wewe na wenzako wa CCM

Bongo zenu by design politicians wanatumia short term thinking framework.

Wanasiasa short term thinking ndio thinking yao by design,ndio shida ya wanasiasa

Moshi unatakiwa uwe mji mdogo by design utumie eneo dogo mno ku-exist.

Kwa African standards unazotumia wewe,mji kua jiji unatakiwa uwe ume-cover bigger land area na ujinga mwingine mwingi na idadi kubwa ya watu na upumbavu mwingine mwingi sana

Moshi upo chini ya mlima,unatakiwa usikue zaidi ya hapo ili kuokoa huo mlima

Moshi inatakiwa iwe na idadi ndogo ya watu,itumie eneo dogo sana isiwe na systems nyingi za kuharibu mazingira

Ukijaza watu Moshi,wataharibu ardhi wapate makazi,wata-cover eneo kubwa zaidi,watapanda milimani kukata miti wapate makazi mji upanuke

Ni most definitely watapanda milimani zaidi kuliko bondeni kufata hali ya hewa...eneo litakua packed mno na ule mlima ndani ya miaka 20-30 utakufa kabisa

By design na makusudi makubwa,Moshi watu wazuiwe wasijae,watu waende miji mingine,Moshi kua JIJI kwa African standards ni kuua Mlima ambao ni world's heritage

Pamoja na kampeni mbali mbali za kuotesha miti na awareness mbalimbali tangu nikiwa mdogo mpaka leo mid 2000's Moshi ilikua kwenye brink ya kua jangwa na snow cap was the lowest ni its history

Leonidas Gama aliokoa that time kwamba ukitaka kukata tawi la mti shambani kwako ni lazima ukachukue kibali ofisi ya kata na ukikata makusudi unafungwa....Walao leo kuna vimiti somehow

Ukiwa rais wewe takataka utaharibu nchi nzima kwa euphoria ya stupid cities which do no make any sense in a long run.
Umechanganya sana lugha lakini umeongea ukweli kwa vigezo vyote Moshi haiwezi kuwa Jiji itabaki kuwa sehemu ya kuzikia na Matambiko!
 
Bwashee nilikuwa pia sijui kumbe sehemu kuwa jiji ni huruma ya mtu fulani na si kuwa na vigezo?
Na kwa taarifa yako Chato inaenda kuwa Jiji kabla ya Moshi

Ila nashauri Moshi iendelee kuhifadhi ukijani kuulinda mlima unafaida zaidi ya hao watu ma majengo mnayotaka ya badilishe jina kuwa Jii
 
Na kwa taarifa yako Chato inaenda kuwa Jiji kabla ya Moshi

Ila nashauri Moshi iendelee kuhifadhi ukijani kuulinda mlima unafaida zaidi ya hao watu ma majengo mnayotaka ya badilishe jina kuwa Jii
Ni jambo jema!
 
Haya malumbano ya vyama kwa sasa hayana nafasi! tunataka Tanzania iwe kama UK kila mahali ni nyie msitafute sababu
 
Mara nyingi huwa naiangalia Tanga na Mbeya halafu najiuliza kwanini Moshi haijawa Jiji hadi leo?

Najua kwamba Mwanza na Arusha zimeiacha mbali Moshi kimaendeleo na kipopulation lakini siyo Tanga ya Makamba na Mbeya Sugu.

Chadema imekuwa na mbunge na madiwani wengi Moshi kwa miaka 20 mfululizo lakini imefeli zaidi ya kuongoza kwa usafi tu, ngoja tumuone mbunge na madiwani wa CCM 2020/25.

Jaffo mtuangalie na sisi bwashee.

Johnthebaptist
Usseri Rombo

Maendeleo hayana vyama!
Tengeneza kwanza Manispaa ya Rombo
Waache wenye Moshi yao
 
Mara nyingi huwa naiangalia Tanga na Mbeya halafu najiuliza kwanini Moshi haijawa Jiji hadi leo?

Najua kwamba Mwanza na Arusha zimeiacha mbali Moshi kimaendeleo na kipopulation lakini siyo Tanga ya Makamba na Mbeya Sugu.

Chadema imekuwa na mbunge na madiwani wengi Moshi kwa miaka 20 mfululizo lakini imefeli zaidi ya kuongoza kwa usafi tu, ngoja tumuone mbunge na madiwani wa CCM 2020/25.

Jaffo mtuangalie na sisi bwashee.

Johnthebaptist
Usseri Rombo

Maendeleo hayana vyama!
siku bosi akifurahishwa na mtu yeyote hapo kwenu atakutangazeni kua jiji hata kama vigezo bado usijali mkuu
 
Kwa utawala huu wa jiwe sahau. Kama Jiji limeporomoshwa kuwa Halmashauri, vp kwa Moshi si ndiyo ingeporomoshwa kabisa na kuwa Ngazi ya Kata?? Wivu umetawala sana kichwa cha mtu fulani. Ila nafurahi kwani anajiongezea stress hivyo anaweza asikamilishe lile suala lake la kujiongezea muda.
 
Kwa utawala huu wa jiwe sahau. Kama Jiji limeporomoshwa kuwa Halmashauri, vp kwa Moshi si ndiyo ingeporomoshwa kabisa na kuwa Ngazi ya Kata?? Wivu umetawala sana kichwa cha mtu fulani. Ila nafurahi kwani anajiongezea stress hivyo anaweza asikamilishe lile suala lake la kujiongezea muda.
Ndiyo maombi ya watz wengi mkuu
 
Habari yafo mmeku?

Kumbe kwafo ni Usseri vaita?

Lakini usijali, hata wasipotangaza Moshi kuwa jiji, rais ajae ambae hatakuwa m baguzi na mkabila atatangaza tu.
 
Nimekuelewa bwashee!

Badala ya kuwekeza wao hurudi kutambika tu!
Ni kama wapemba kwao pemba kuko hovyo acha hawawekezi kule pemba wapemba wamejazana kuwekeza Unguja na Tanzania bara kule kwako kuko hoi huwa wanaenda tu kulaghai kipindi cha uchaguzi wapemba wanasiasa wakaa unguja na Tanzania bara na wenye biashara zao unguja na Dar ndio vinara kulaghai Pemba!! Wachaga na wapemba ikija kwenye uwekezaji kwao wako zero kule kwao huenda tu kufanya matambiko lakini ukienda mikoa mingine wamewekeza sio mchezo ni uwekezaji wa kufa mtu
 
Geita ni zaidi ya Moshi haikupewa jiji
Shinyanga ni zaidi ya Moshi haikupewa jiji
Singida ni zaidi ya Moshi haikupewa jiji
Tabora ni zaidi ya Moshi haikupewa jiji
Morogoro ni zaidi ya Moshi haikupewa jiji

Huyo Moshi hata kwa kahama akasome mzee, level yake labda katavi
 
Back
Top Bottom