Mkuu
Unafeli mno,wewe na wenzako wa CCM
Bongo zenu by design politicians wanatumia short term thinking framework.
Wanasiasa short term thinking ndio thinking yao by design,ndio shida ya wanasiasa
Moshi unatakiwa uwe mji mdogo by design utumie eneo dogo mno ku-exist.
Kwa African standards unazotumia wewe,mji kua jiji unatakiwa uwe ume-cover bigger land area na ujinga mwingine mwingi na idadi kubwa ya watu na upumbavu mwingine mwingi sana
Moshi upo chini ya mlima,unatakiwa usikue zaidi ya hapo ili kuokoa huo mlima
Moshi inatakiwa iwe na idadi ndogo ya watu,itumie eneo dogo sana isiwe na systems nyingi za kuharibu mazingira
Ukijaza watu Moshi,wataharibu ardhi wapate makazi,wata-cover eneo kubwa zaidi,watapanda milimani kukata miti wapate makazi mji upanuke
Ni most definitely watapanda milimani zaidi kuliko bondeni kufata hali ya hewa...eneo litakua packed mno na ule mlima ndani ya miaka 20-30 utakufa kabisa
By design na makusudi makubwa,Moshi watu wazuiwe wasijae,watu waende miji mingine,Moshi kua JIJI kwa African standards ni kuua Mlima ambao ni world's heritage
Pamoja na kampeni mbali mbali za kuotesha miti na awareness mbalimbali tangu nikiwa mdogo mpaka leo mid 2000's Moshi ilikua kwenye brink ya kua jangwa na snow cap was the lowest ni its history
Leonidas Gama aliokoa that time kwamba ukitaka kukata tawi la mti shambani kwako ni lazima ukachukue kibali ofisi ya kata na ukikata makusudi unafungwa....Walao leo kuna vimiti somehow
Ukiwa rais wewe takataka utaharibu nchi nzima kwa euphoria ya stupid cities which do no make any sense in a long run.