Sol de Mayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 6,515
- 6,230
Habari yafo mmeku?
Kumbe kwafo ni Usseri vaita?
Lakini usijali, hata wasipotangaza Moshi kuwa jiji, rais ajae ambae hatakuwa m baguzi na mkabila atatangaza tu.
Kwahiyo hamtaki tena theluji ya Mlima Kilimanjaro iwepo? Kila sehemu ikiwa Manispaa itakuwa hatari Jamani ndiyo maana hata nyumba imegawanyika vyumba vyote haviwezi kuwa Master lazima kuwe na store sturdy room choo Umeelewa?Tengeneza kwanza Manispaa ya Rombo
Waache wenye Moshi yao
Unadhani nitashangaa ..kwa serikali hii hakuna cha ajabu...kama korona wanasema ni changamoto ya upumuaji au mafua ya kubana kama JPM anavyosema.Na kwa taarifa yako Chato inaenda kuwa Jiji kabla ya Moshi
Ila nashauri Moshi iendelee kuhifadhi ukijani kuulinda mlima unafaida zaidi ya hao watu ma majengo mnayotaka ya badilishe jina kuwa Jii
Kingereza unajua,Kiswahili unajua,nini tatizo sasa?
Kuna tatizo isipokua Jiji?
Watu wakizikiana na kutambika,nini tatizo?
Ni their native land,they can do what their ancestors did for 800years.
Hivi unadhani pahali pakiitwa JIJI ni kitu cha maana sana?
Linda mazingira wewe,acha ushabiki maandazi!
Hivi jiji hupewa mkoa?Mara nyingi huwa naiangalia Tanga na Mbeya halafu najiuliza kwanini Moshi haijawa Jiji hadi leo?
Najua kwamba Mwanza na Arusha zimeiacha mbali Moshi kimaendeleo na kipopulation lakini siyo Tanga ya Makamba na Mbeya Sugu.
Chadema imekuwa na mbunge na madiwani wengi Moshi kwa miaka 20 mfululizo lakini imefeli zaidi ya kuongoza kwa usafi tu, ngoja tumuone mbunge na madiwani wa CCM 2020/25.
Jaffo mtuangalie na sisi bwashee.
Johnthebaptist
Usseri Rombo
Maendeleo hayana vyama!
Mkuu,Mkuu
Unafeli mno,wewe na wenzako wa CCM
Bongo zenu by design politicians wanatumia short term thinking framework.
Wanasiasa short term thinking ndio thinking yao by design,ndio shida ya wanasiasa
Moshi unatakiwa uwe mji mdogo by design utumie eneo dogo mno ku-exist.
Kwa African standards unazotumia wewe,mji kua jiji unatakiwa uwe ume-cover bigger land area na ujinga mwingine mwingi na idadi kubwa ya watu na upumbavu mwingine mwingi sana
Moshi upo chini ya mlima,unatakiwa usikue zaidi ya hapo ili kuokoa huo mlima
Moshi inatakiwa iwe na idadi ndogo ya watu,itumie eneo dogo sana isiwe na systems nyingi za kuharibu mazingira
Ukijaza watu Moshi,wataharibu ardhi wapate makazi,wata-cover eneo kubwa zaidi,watapanda milimani kukata miti wapate makazi mji upanuke
Ni most definitely watapanda milimani zaidi kuliko bondeni kufata hali ya hewa...eneo litakua packed mno na ule mlima ndani ya miaka 20-30 utakufa kabisa
By design na makusudi makubwa,Moshi watu wazuiwe wasijae,watu waende miji mingine,Moshi kua JIJI kwa African standards ni kuua Mlima ambao ni world's heritage
Pamoja na kampeni mbali mbali za kuotesha miti na awareness mbalimbali tangu nikiwa mdogo mpaka leo mid 2000's Moshi ilikua kwenye brink ya kua jangwa na snow cap was the lowest ni its history
Leonidas Gama aliokoa that time kwamba ukitaka kukata tawi la mti shambani kwako ni lazima ukachukue kibali ofisi ya kata na ukikata makusudi unafungwa....Walao leo kuna vimiti somehow
Ukiwa rais wewe takataka utaharibu nchi nzima kwa euphoria ya stupid cities which do no make any sense in a long run.
Manispaa!
Umenikumbusha Charles Njonjo aliyepata kuwa Mwanasheria Mkuu na Waziri wa Katiba nchini Kenya miaka hiyo.Unasahau kuwa chama cha mapinduzi, kimejaa ubaguzi, majungu, na fitna Chadema hata wangefanya mazuri gani lkn Meko hawezi appreciate, kama alifikia anakwenda sehemu anaponda alafu baadae akiambiwa mbunge wa hapa wa CCM anasema basi kafanya kazi nzuri.
Mji wa Moshi ulioko mkoa wa Kilimakyaro uwe jiji? Kwa hiyo kila kiongozi anayetokea eneo fulani apewe fadhila ya jiji hizo ni akili zenye tija?Mara nyingi huwa naiangalia Tanga na Mbeya halafu najiuliza kwanini Moshi haijawa Jiji hadi leo?
Najua kwamba Mwanza na Arusha zimeiacha mbali Moshi kimaendeleo na kipopulation lakini siyo Tanga ya Makamba na Mbeya Sugu.
Chadema imekuwa na mbunge na madiwani wengi Moshi kwa miaka 20 mfululizo lakini imefeli zaidi ya kuongoza kwa usafi tu, ngoja tumuone mbunge na madiwani wa CCM 2020/25.
Jaffo mtuangalie na sisi bwashee.
Johnthebaptist
Usseri Rombo
Maendeleo hayana vyama!
Uhuru kamili kwanza kwa raia ndio mambo yajiji badaye. Itakusaidia nini ukiwa na jiji halafu unanira ya maksai shingoni.Mara nyingi huwa naiangalia Tanga na Mbeya halafu najiuliza kwanini Moshi haijawa Jiji hadi leo?
Najua kwamba Mwanza na Arusha zimeiacha mbali Moshi kimaendeleo na kipopulation lakini siyo Tanga ya Makamba na Mbeya Sugu.
Chadema imekuwa na mbunge na madiwani wengi Moshi kwa miaka 20 mfululizo lakini imefeli zaidi ya kuongoza kwa usafi tu, ngoja tumuone mbunge na madiwani wa CCM 2020/25.
Jaffo mtuangalie na sisi bwashee.
Johnthebaptist
Usseri Rombo
Maendeleo hayana vyama!
Mji wa Moshi ulioko mkoa wa Kilimakyaro uwe jiji? Kwa hiyo kila kiongozi anayetokea eneo fulani apewe fadhila ya jiji hizo ni akili zenye tija?
Fufueni kiwanda cha vipuri na 'Kilimanjaro Machine Tools Manufacturers Ltd' haraka acheni longolongo.
Fufueni kiwanda cha ngozi 'Moshi Leather Industries Ltd)' & '(Himo Tanneries Ltd)'.
Fufueni kiwanda cha madawa ya kilimo 'Twiga Chemicals Ltd'. Fufueni kwanda cha mazao ya mbao ' Kiliwood Products Ltd)'.
Fufueni kiwanda cha voberiti ' Kibo Match Ltd'.
Fufueni kiwanda cha karatasi 'Kibo Paper Ltd'.
Fufueni kiwanda cha magunia 'Tanzania Packaging Manufacturers'.
Fufueni kiwanda cha kukoboa mpunga Kilimanjaro Paddy Hulling Co. Ltd''.
Fufueni kiwanda cha matunda Bella view Fresh Fruits Company Limited'.'
Acheni kupora eneo la mashamba ya kiwanda cha sukari kisha kujenga makazi yenye jina la nchi ya Marekani [New Land]
Acheni kubadili kijiji cha wafugaji cha Mserekia kwa kuvamia na kuanzisha makazi hatarishi kwa ustawi wa upanuzi wa mashamba ya miwa ya kiwanda cha TPC kwenda Kahe.
Badilisheni tabia za wakaazi wa maeneo ya PASUA, KIBORORONI, FONGA, CHEKELENI na MAJENGO ziwe za kiungwana na maadili mema.
Punguzeni kushobokea kuoa au kuolewa na wazungu kwa kuwinda mali zao-naishia hapo
Eneo la wilaya ya Same liko sawa na ukijumuisha wilaya za Siha, Hai, Rombo, Marangu, Moshi-Maajabu ya duni halafu wanalilia kuwa jiji wanaposhauriwa namna bora ya kuipata sifa hiyo wanakushobokea-Too pathetic
Kwa hiyo usinifyatukie wakati wala hauijui vizuri Kilimakyaro
Hakikisheni mji unarejeshewa baridi asili kama ilivyokuwa zamani.
Kuitwa jiji ni jina tu jengeni mji wenuMara nyingi huwa naiangalia Tanga na Mbeya halafu najiuliza kwanini Moshi haijawa Jiji hadi leo?
Najua kwamba Mwanza na Arusha zimeiacha mbali Moshi kimaendeleo na kipopulation lakini siyo Tanga ya Makamba na Mbeya Sugu.
Chadema imekuwa na mbunge na madiwani wengi Moshi kwa miaka 20 mfululizo lakini imefeli zaidi ya kuongoza kwa usafi tu, ngoja tumuone mbunge na madiwani wa CCM 2020/25.
Jaffo mtuangalie na sisi bwashee.
Johnthebaptist
Usseri Rombo
Maendeleo hayana vyama!
The right message has nailed the hypocrites inside the din.Aisee una uchungu sana na Wachagga
Hakuna mtu anataka usifie chochote cha Moshi
Wewe una kwenu,mmeendelea,ni JIJI,ya nini unaifatafata Moshi isiyokua na hadhi ya JIJI?
Plus hawataki kua JIJI kulinda mlima wao,wewe unawapa pressure ya kua JIJI kama nani?
Utamaduni wa makabila mbalimbali ni mzuri na mbaya,wachagga ni hivyo hivyo,wana mazuri na mabaya...
Wewe inakuuma nini kabila kua na mabaya yake?
Nadhani unatamani sana ungekua mchagga,too bad umezaliwa pengine,kubali kwenu,wachagga achana nao,huna haja ya kuwatukana ili wewe ujisikie vizuri
Kabila lako ni precious pia,huna haja ya kutukana na kudharau makabila mengine ili ujisikie lako ni bora
I think ungekua na uwezo wa kuchagua wazazi wakuzae,ungechagua wazazi wa kichagga,too bad umezaliwa na wengine,ni hii bitterness unayoonesha hapa ni your own problem binafsi,una majuto of things you cant control.
Relax bwana na toa hoja mujarabu,acha kutukana the whole group of people as if walishakukosea chochote
Tuanze na Moshi bwashee.
Ule ni mji mkongwe!