Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Unajibu kama upo kijiwe cha wauza gongo, toa jibu lenye ushawishi.Alikuwa wakawaida bora ungenambia Jon terry
Umeongea mengi sana na nimekufananisha na muimba taarabu.Hadi Yesu anarudi hatatokea beki wa kati kama Alessandro Nesta. Ronaldo de lima, Ronaldinho, Messi, Cr7 hao wote hawakuwahi kumpita huyo jamaa. Unamzungumzia huyu Ferdinand aliyeburuzwa na Mchezaji Ricardo Kaka kama mtoto mechi Ac Milan na Manchester United old Trafford hadi wanapandiana mgongoni na mwenzie kama vichaa. Tafuta clip uangalie Nabii Gaucho anampiga kanzu Nesta then Nesta anaivua kanzu kwa kisigino, wakati huo Gattuso anapigwa vyenga anatambaa kama mtoto. Dinho anapiga goli dk ya 88 anawapiga chenga Khaka Kaladze na Nesta inaitwa Back and away ( Mpira unachapwa kofi upande wa kulia alafu unaamia upande wa kushoto huku Nesta na Kaladze wakiamini mpira ule Nabii Dinho anaingia nao upande wa kushoto. Mtukufu Ronaldinho anaupiga kwa shuti la mguu wa kushoto huku kipa Dida akishindwa kuufata mpira ule. Mm mwenyewe Juve damu ila ile Milan ilikua balaa jamani. Ukuta ulijengwa na Paul Maldini, Nesta,Kaladze, Cafu, Jaap Stam,
Mkuu nadhani hujamuelewa mleta maana anakwambia kwa miaka minne iliyopita..Hadi Yesu anarudi hatatokea beki wa kati kama Alessandro Nesta. Ronaldo de lima, Ronaldinho, Messi, Cr7 hao wote hawakuwahi kumpita huyo jamaa. Unamzungumzia huyu Ferdinand aliyeburuzwa na Mchezaji Ricardo Kaka kama mtoto mechi Ac Milan na Manchester United old Trafford hadi wanapandiana mgongoni na mwenzie kama vichaa. Tafuta clip uangalie Nabii Gaucho anampiga kanzu Nesta then Nesta anaivua kanzu kwa kisigino, wakati huo Gattuso anapigwa vyenga anatambaa kama mtoto. Dinho anapiga goli dk ya 88 anawapiga chenga Khaka Kaladze na Nesta inaitwa Back and away ( Mpira unachapwa kofi upande wa kulia alafu unaamia upande wa kushoto huku Nesta na Kaladze wakiamini mpira ule Nabii Dinho anaingia nao upande wa kushoto. Mtukufu Ronaldinho anaupiga kwa shuti la mguu wa kushoto huku kipa Dida akishindwa kuufata mpira ule. Mm mwenyewe Juve damu ila ile Milan ilikua balaa jamani. Ukuta ulijengwa na Paul Maldini, Nesta,Kaladze, Cafu, Jaap Stam,
Cannvaro ni miaka minne iliyopita?Beki zipo italy wewe peleleza.. uone shughuli ya kina cannavaro enzi zao.. huyo nesta bonge ya cb
Sahihisho dogo. Waliopandiana kama vichaa alikuwa Gabriel Heinze na Patrice Evra, mechi ya nusu fainali UCL mwaka 2007.Unamzungumzia huyu Ferdinand aliyeburuzwa na Mchezaji Ricardo Kaka kama mtoto mechi Ac Milan na Manchester United old Trafford hadi wanapandiana mgongoni na mwenzie kama vichaa.
Da watu wanachuki hadi wanaamua kutengeneza tukio la uongo apunguze wivu ndugu kaka alimpiga chenga heinz na patric evra tena evra akiwa mdogo sana akitokea monaco mishabik ya tanzania ina hasira sanaUmeongea mengi sana na nimekufananisha na muimba taarabu.
Ni lini Rio alipigwa chenga hiyo na kaka?
Au Rio Ferdinand wa huko kwenu Kibaigwa?
Hata england kulikuwa na mabek mjomba huwezi kumuacha john terry na vidic hapoBeki zipo italy wewe peleleza.. uone shughuli ya kina cannavaro enzi zao.. huyo nesta bonge ya cb
Kweli amejibu kama yupo kijiweni, lakini ukweli ni kuwa alikuwa wa kawaida sana.Unajibu kama upo kijiwe cha wauza gongo, toa jibu lenye ushawishi.
Sio kazi kubisha tu.