Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Niwe muwazi na mkweli, toka kustaafu kwa beki wa kati wa zamani wa Man Utd, Leeds United, QPR na timu ya taifa ya England bado sijaona beki wa kariba yake barani Ulaya.
Rio ni miongoni mwa beki bora wa kati kutokana na uwezo wake mkubwa wa kuusoma mchezo, utulivu mkubwa, ball control bila kusahau matumizi makubwa ya akili licha kutobalikiwa nguvu lakini haikuwa rahisi kumpita huyu jamaa.
Niseme tu, nimeangalia mabeki wengi wanaotamba kwasasa barani Uropa bado sijaona beki anayemkaribia Rio Ferdinand katika nafasi ya beki namba 5. Pia Rio ni beki kiongozi pale nyuma kwani huweza kuwapanga wenzake vyema.
Refer magoli mawili waliyofungwa Man City jana kwa uzembe wa ukuta wao.
Povu ruksa.
Rio ni miongoni mwa beki bora wa kati kutokana na uwezo wake mkubwa wa kuusoma mchezo, utulivu mkubwa, ball control bila kusahau matumizi makubwa ya akili licha kutobalikiwa nguvu lakini haikuwa rahisi kumpita huyu jamaa.
Niseme tu, nimeangalia mabeki wengi wanaotamba kwasasa barani Uropa bado sijaona beki anayemkaribia Rio Ferdinand katika nafasi ya beki namba 5. Pia Rio ni beki kiongozi pale nyuma kwani huweza kuwapanga wenzake vyema.
Refer magoli mawili waliyofungwa Man City jana kwa uzembe wa ukuta wao.
Povu ruksa.