Robot la Matope
JF-Expert Member
- Apr 10, 2015
- 8,174
- 16,794
Simple and easyKali sana [emoji120]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Simple and easyKali sana [emoji120]
nimeuona ndugu yangu nashkuruMzigo huo hapo ushindwe weweView attachment 3100570
Ndio unaweza ila uwepo site maana fund maiko akiachiwa site hana huruma itatafutwa mifuko tu ya siment alafu siment yako itauzwa na wewe utapigiwa picha siment haijatosha utajikuta umetumia milion 25Nina milioni 15 CASH na kiwanja kipo kigamboni nataka kujenga naomba kujua kwa pesa hiyo naweza kukamilisha nyumba nikahamia kabisa?
Nicheki Dm nikupe ramaniNina milioni 15 CASH na kiwanja kipo kigamboni nataka kujenga naomba kujua kwa pesa hiyo naweza kukamilisha nyumba nikahamia kabisa?
Kanunue ist yako uvimbe mjini, hizi nyumba za kujenga unahamia huku unaendeleza ujenzi sijuh Zina mapepo haziishagi alafu nyingi wanandoa hawaishi ugomvi humo ndani!
Nina milioni 15 CASH na kiwanja kipo kigamboni nataka kujenga naomba kujua kwa pesa hiyo naweza kukamilisha nyumba nikahamia kabisa?
yaani hapo tiles hamna???mshana acha basi hata aluminium hamna??Utajenga mpaka inapoishia kuongea kibantu tena room 4 tuu
Lakini tujue hajaacha kutafuta hela wakati nyumba inajengwa zitapatikana tu za kujazilizia kufanya haya uliyoorodhesha hapa.Mpigie na hesabu ya Choo, shimo la Choo pamoja na kulijengea, pesa ndogo Sana hiyo, inaweza ikatoka lakin ambayo haijapigwa plasta wala sealing board, sakafu? Kifusi, hela ya ufundi? Maji?
Hembu orodhesha kila kitu pamoja na hela ya ufundi, kupaua na Choo nione hiyo kali Sana kwa hela hiyo inatokaje pamoja na madirisha na milango