Kwa milioni 18 napata gari gani nzuri?

Kwa milioni 18 napata gari gani nzuri?

Mkuu hii reply yako huwa inanifikirisha sana.
Ulikuwa mtu wa nondo za moto...sijui umekumbwa na nini!
Historia yako na yule manzi (wa hapa jukwaani) sijui inachangia hali hii!?
Yote kwa yote maisha ni kuchagua...pole mkuu.
Hahaaaaa....mahondaw!?
 
Back
Top Bottom