njumu za kosovo
JF-Expert Member
- Mar 9, 2017
- 3,820
- 9,625
Katoro zipo sana hizo mbona
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Outlander mitsubishi itakufaa sana ni gari ya uhakikaHabari nimejiandaa na pesa hiyo nitapata gari gani nzuri kwa ajili ya matumizi yangu na familia?
Hivi hizo Toyota wish mnazipendea nini gari imejaa kama BotiHapo utapata Premio first generation (2002-2007). Ukitaka 2nd generation (2008+) angalau uwe na 21mil+
Kama ni gari ya familia, una options mbili kwa bajeti hiyo. Kuna Toyota Wish (2nd generation) yenye injini ya 2ZR-FE ambayo ipo kwenye Premio 2nd generation.
Pia unaweza kuangalia Toyota Noah ya 2012 yenye injini ya 3ZR-FE. Hii ina eco mode ambayo itasaidia gari kutumia mafuta kdg kama huisukumi aggressively. Usiende kwenye Noah zenye injini za 3S au 1AZ.
Nchi ngumu sana hii Yani gari inatofauti ya umri Kwa miaka 8 ila tofauti ha Kodi ni laki 3 tu1. Ukilinganisha Probox ya 2018, na Voltz ya 2004, Voltz ina ushuru mkubwa kuliko Probox.
2. Probox ya 2010 ina ushuru mkubwa (7.6mil), huku Probox ya 2018 ina ushuru mdogo (7.3mil).
Huyo aliendekeza mapenzi ameshakuwa chizi kapigwa na kitu kizitoMkuu hii reply yako huwa inanifikirisha sana.
Ulikuwa mtu wa nondo za moto...sijui umekumbwa na nini!
Historia yako na yule manzi (wa hapa jukwaani) sijui inachangia hali hii!?
Yote kwa yote maisha ni kuchagua...pole mkuu.
Wale wanaopanda V8 za serikali wanakula pesa za umma wenyewe sio wahuniCrown, IST, VITZ..
Basi gari zote ni za wauni tu.
Uzuri wa kitu uko kwenye macho ya anayekitazama.Hivi hizo Toyota wish mnazipendea nini gari imejaa kama Boti
Hii kwa milioni ngapi mkuu?Utanishukuru baadaeView attachment 2817712View attachment 2817714
Nami nimeshangaa nikajua labda amefunga mfumo wa gesiKama haili mafuta kabsaaa kwa hiyo inatumia maji??
Around 30Hii kwa milioni ngapi mkuu?
Na wengine wanapata nazo ajali wakiwa na Wanawake humo.Wale wanaopanda V8 za serikali wanakula pesa za umma wenyewe sio wahuni
Halafu wanalindanaNa wengine wanapata nazo ajali wakiwa na Wanawake humo.
Subaru Forester izo... gari ni ya juu lakini siti kama umekaa kwenye vits [emoji1][emoji1]Unanunua gari ukikaa kwenye siti ya dereva upo kama umekaa kwenye kigoda
toyota axioHabari nimejiandaa na pesa hiyo nitapata gari gani nzuri kwa ajili ya matumizi yangu na familia?
Hichi kibox ndio kilikua ndoto yangu siku nikiokota hela. Ila raia mnakidis balaa[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Mtu yoyote akikutajia rumion mtukane
HII SAWA KABISAPremio new model ni chopa ya ardhini