Kwa milioni 18 napata gari gani nzuri?

Mkuu hii reply yako huwa inanifikirisha sana.
Ulikuwa mtu wa nondo za moto...sijui umekumbwa na nini!
Historia yako na yule manzi (wa hapa jukwaani) sijui inachangia hali hii!?
Yote kwa yote maisha ni kuchagua...pole mkuu.
Hahaaaaa....mahondaw!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…